Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 855
- Thread starter
-
- #441
Hiyo pic siyo evidence one way or the othere.How can you tell that he is not a Bacar soldier being escorted to camp after a severe kichapo in the battlefield?
Well, basically they have to be treated humanely. That picture doesnt show that at all. With this age of technology, thats why you see soldiers in Iraq falling in dodoo. Basically, google 'Prisoners of War and the Geneva Convention or treatment'. Its a long article.
Just thought I point that out, as I have read a few of your posts and in this part and you are totally blind to this.
Some Article
Just do a bit of reading. Not all is fair in war!
Hiyo pic siyo evidence one way or the othere.How can you tell that he is not a Bacar soldier being escorted to camp after a severe kichapo in the battlefield?
Oh My Gosh!! dude get serious
Friendly fire wakati unaona wanamchapa, angalia sequence ya pictures nilizopost jana alafu useme walikuwa wanamsindikiza....
Maelezo ya picha yanasema wanamsuspect kushirikiana na Bacar, wenyewe hawana uhakika. Hicho kitendo ni cha kulaaaniwa na ninategemea Jeshi, Media na blogs za Tanzania zitakemea vitendo kama hivyo.
Circumstantial evidence, immaterial in the court of Judge Pundit. Get some videos, or some verifiable accounts from some neutral and respectable organizations then maybe.
Series of pictures could be depicting anything, a cry for mercy or even a Comoro version of Sindimba for all I know.
Nzoka,
I do understand what is the Geneva Convention, it is you who needs to do proper reading.
Vipi kama hiyo picha imepigwa wakati Askari wa AU wanamsindikiza mwanajeshi wa Bacar kwenye kambi ya mateka wa vita? Vipi kama alipigwa kwenye battlefield? Hapo Geneva Convention imekuwa violated?
Vipi kama huyu mtu amekuwa staged ili kupakazia majeshi ya AU?
Vipi kama midamu inatokana na friendly fire zao wenyewe wanajeshi wa Bacar?
Give me some videos clearly capturing abuses and I might consider abuses.
Nilichosema hiyo picha siyo sufficient evidence, haionyeshi kwa mfano, mtu anakuwa abused clearly kama katika zile picha za Abu Ghraib.Inaonyesha tu mtu anatoka damu na yuko chini ya ulinzi.Kwa hiyo kama mnataka kutumia picha hii ku prove abuses it is insufficient.
Sasa nieleze ni vipi sielewi Geneva Convention hapo?
Ha ha...ila wanajeshi wetu wanajulikana kwa kupiga raia kisa ugomvi wa bar au siti kwenye daladala(hili nalo utaomba evidence ya video na picha?) so sitoshangaa kuendeleza hayo matendo huko waliko.
Pundit, poa, hamna tatizo kama mimi sijaelewa. In life things can turn on you. This has happened to people like Charles Taylor etc. How the USA behaves, we shouldnt compare ourselves. Lakini western news, thats how they are reporting it. Soon you will have Amnesty international all over your face. The USA can handle them, but we are just another african country.
Breitbart.com
AFP
Yahoo News
I could go on and on. It is not what me and you think about it. It is the world at large.
Pundit: mbona unaonekana haya mambo ya jeshi unayajua kwa nini tena unaelekea kutetea uharamia kwa wananchi? Hizo picha zipo wazi hao sio wanajeshi. Hata ingekuwa wanajeshi wakisha-surrender hawastahili kuwa treated namna ile.
Sasa subiri in the next few days utasikia wazungu watakavyocharuka na hizo human rights unazotaka, inaonekana huwezi kuamini kitu mpaka wazungu waseme, haya wasubiri!
African-backed Comoros forces take rebel island
Ahmed Ali Amir , Reuters
Published: Tuesday, March 25, 2008
MORONI (Reuters) - Troops from the Indian Ocean archipelago of Comoros seized the rebel island of Anjouan on Tuesday with African Union military help and the government said its self-declared leader had fled dressed as a woman.
TEST FOR AFRICAN UNION
Spearheading the AU mission are Tanzania and Sudan, which themselves face calls for independence from semi-autonomous Zanzibar and southern Sudan respectively.
Heshima wakuu
Naomba nitoe maoni yangu machache juu ya mjadala mzima wa Issue ya comoro.
1.Nimecheck picha moja hapa+historia+makundi ya kidini(wakristo2%na waislamu98%)+local language ya hawa watu ni swahili yenye vionjo vya kiarabu na geographical postion.Namini hii ni sababu moja iliyomsukuma mhusika kutuma majeshi huko comoro.Kibinadamu hili ni jambo jema sana.Ila naomba mhusika wa oparesheni ajaribu kutuletea MAONI YA WAKRISTO WAISHIO COMMORO JUU YA UTAWALA WA BAKARI NA KIONGOZI MWINGINE YEYOTE hapo commoro.Ni vema tuangaangalia na kulisaidia kundi hili la 2% kwani kwa utafiti wa harakaharaka inaonesha kuwa nchi hii haina historia ya kutawalia na kiongozi mkristo na huenda hata viongzi wooote toka vyama na serikali hamna hata mmmoja amabye ni mkristo.Nasema hivi nikiwa na maana njema tuuu,political instabillit hii ya mapinduzi ya 19times huenda kuna ubaguzi fulafulani ambao MUNGU anataka kuwafundisha kitu hapa wenzetu hawa.Kwa wnaotaka kuivalidate idea hii wapendekeze tuu ina la mkrsito mwenye uwezo awe leader hapo,nadhani atawezatestify vema.Pia nashauri tena nashauri si jambo zuri kwa nchi ambazo ni republic kama tz kuwa na serikali(mfano zanzibar)ambayo viongozi wake woooote ni waislamu wakati kuna kundi kubwa tu la wakrsito na wapagani waishio hapa zanzibar.Hivi hawa wakristo wanafanya nini hapa zenj?au wao ni wasindikizaji?waongozwa?ni vipofu?hawawezi kuongoza?yapo mengi ya kuhoji juu ya hili swala,ila tukae tukaavyo kila mtu ana zake,wacomoro hawalali usingizi leo kwa kukosa amani na utulivu,naaamini haya yote ni matunda ya utawala uliopo awali ulivyolemea upande mmoja.Si vema na si busara hata kidogo,huku hawahawa waongozwa bado wanachangia kodi zao ktk pato la Taifa.Kwanini wasitengwe na huko kulipa kodi?nauliza na ile kasheshe ya sungusungu kuingia kanisani nakukatisha ibada ya ndugu zetu ilishia wapi?hivi ni lini na wakati gani sungusungu waliiingia msikitini na kukatisha swala?hivi hatuoni haya?ni madogo eeeeeeee.anyway..................kesho tutajadili zaidi
2.Nashauri kunaoukuwa na ushiriki wa majeshi yetu ktk majeshi ya Muungano kama haya,ni vema watu wetu wawe wamejipanga na kujiandaa sawia,kwan kuonesha madhaifu yeyote yale ni hatari sana,kwani ktk MUNGANO huohuo wapo wengine ni matraitors.Wataaluma naamini mnapata kitu hapa..........scroll down kwa maelezo zaidi.
Mwisho Tanzania hoyeeeeeeeeeeeeeeeee.
Heshima wakuu
Naomba nitoe maoni yangu machache juu ya mjadala mzima wa Issue ya comoro.
1.Nimecheck picha moja hapa+historia+makundi ya kidini(wakristo2%na waislamu98%)+local language ya hawa watu ni swahili yenye vionjo vya kiarabu na geographical postion.Namini hii ni sababu moja iliyomsukuma mhusika kutuma majeshi huko comoro.Kibinadamu hili ni jambo jema sana.Ila naomba mhusika wa oparesheni ajaribu kutuletea MAONI YA WAKRISTO WAISHIO COMMORO JUU YA UTAWALA WA BAKARI NA KIONGOZI MWINGINE YEYOTE hapo commoro.Ni vema tuangaangalia na kulisaidia kundi hili la 2% kwani kwa utafiti wa harakaharaka inaonesha kuwa nchi hii haina historia ya kutawalia na kiongozi mkristo na huenda hata viongzi wooote toka vyama na serikali hamna hata mmmoja amabye ni mkristo.Nasema hivi nikiwa na maana njema tuuu,political instabillit hii ya mapinduzi ya 19times huenda kuna ubaguzi fulafulani ambao MUNGU anataka kuwafundisha kitu hapa wenzetu hawa.Kwa wnaotaka kuivalidate idea hii wapendekeze tuu ina la mkrsito mwenye uwezo awe leader hapo,nadhani atawezatestify vema.Pia nashauri tena nashauri si jambo zuri kwa nchi ambazo ni republic kama tz kuwa na serikali(mfano zanzibar)ambayo viongozi wake woooote ni waislamu wakati kuna kundi kubwa tu la wakrsito na wapagani waishio hapa zanzibar.Hivi hawa wakristo wanafanya nini hapa zenj?au wao ni wasindikizaji?waongozwa?ni vipofu?hawawezi kuongoza?yapo mengi ya kuhoji juu ya hili swala,ila tukae tukaavyo kila mtu ana zake,wacomoro hawalali usingizi leo kwa kukosa amani na utulivu,naaamini haya yote ni matunda ya utawala uliopo awali ulivyolemea upande mmoja.Si vema na si busara hata kidogo,huku hawahawa waongozwa bado wanachangia kodi zao ktk pato la Taifa.Kwanini wasitengwe na huko kulipa kodi?nauliza na ile kasheshe ya sungusungu kuingia kanisani nakukatisha ibada ya ndugu zetu ilishia wapi?hivi ni lini na wakati gani sungusungu waliiingia msikitini na kukatisha swala?hivi hatuoni haya?ni madogo eeeeeeee.anyway..................kesho tutajadili zaidi
2.Nashauri kunaoukuwa na ushiriki wa majeshi yetu ktk majeshi ya Muungano kama haya,ni vema watu wetu wawe wamejipanga na kujiandaa sawia,kwan kuonesha madhaifu yeyote yale ni hatari sana,kwani ktk MUNGANO huohuo wapo wengine ni matraitors.Wataaluma naamini mnapata kitu hapa..........scroll down kwa maelezo zaidi.
Mwisho Tanzania hoyeeeeeeeeeeeeeeeee.
Mmmmh..sasa hayo mambo gani tena ya kutorture raia au mateka wa kivita huko Comoro? mimi nilifikiri jeshi letu lingekuwa ni mfano kwa majeshi mengine Afrika.Sasa hii inanifanya nihuzunike zaidi.Maana tunakuwa hatuna tofauti na akina Gen.Nkunda wa Congo ambao hufanya ukatili kwa raia kwa kuwabaka,kuwataka masikio na mikono!!! Mmmmh sijui kama tutafika!!!
-Wembe
Mmmmh..sasa hayo mambo gani tena ya kutorture raia au mateka wa kivita huko Comoro? mimi nilifikiri jeshi letu lingekuwa ni mfano kwa majeshi mengine Afrika.Sasa hii inanifanya nihuzunike zaidi.Maana tunakuwa hatuna tofauti na akina Gen.Nkunda wa Congo ambao hufanya ukatili kwa raia kwa kuwabaka,kuwataka masikio na mikono!!! Mmmmh sijui kama tutafika!!!
-Wembe