Majeshi yote yana askari na majeshi yote yana Wanajeshi

Majeshi yote yana askari na majeshi yote yana Wanajeshi

Kumekuwa na watu wengi tena wasomi na wengine ni viongozi wa serikali wanajua kwamba Ukisema mwanajeshi ni yule wa Jwtz ila ukisema askari ni wale wa mambo ya ndani yaani Magereza,polisi nk,,,,sasa twende pamoja uelimike na wewe uelimishe


Mwananajeshi ni muunganiko wa maneno mawili yaani
Mwana+jeshi=Mwanajeshi
Sasa basi hapa Tz tuna majeshi mbalimbali kila jeshi na majukumu yake yaani Jwtz,polisi,Magereza nk

Katika hali hiyo utakutana na Mwanajeshi wa Jwtz,Mwanajeshi wa jeshi la polisi,Mwanajeshi wa jeshi la Magereza nk (Hawa wote ni wanajeshi)

Elewa kwamba hakuna utambulisho wa askari KATIKA jeshi lolote wa kuitwa mwanajeshi bali wote katika Majeshi yote huitwa "ASKARI"
ISIPOKUWA askari hawa huko majeshini kwao hutenganishwa kwa kuitwa MAAFISA/ASKARI
Kwa maana Maafisa ni wale wenye single star na kuendelea
Na askari ni wale wenye kuanzia Private/constable/wdr mpaka RSM kama sijakosea

Nahitimisha kwa kusema kwamba majeshi yoooote yana askari
Na majeshi yoooote yana Wanajeshi wake.Naomba kuhitimisha mwenye swali karibu sana

Kwa msaada zaidi unaweza kusoma katiba Ibara 147 na ibara zake ndogo zote
Umechanganya mambo,kiswahili hakina msamiati wa kutosha,sie tukisema mwanajeshi tunamaanisha "member from army)sio police force,kwanza hata mafunzo yao ni tofauti,sasa wanakuaje Sawa?
Kule USA Kuna kitu kinaitwa "militarization of police force"yaani kufsnya polisi watende kama wanajeshi(army),sasa kama polisi ni Sawa na mwanajeshi,sasa kwanini Kuna kuifanya polisi iwe kama jeshi kivitendo?
Maelezo yako yatie kwenye lugha ya malikia utaona ulivyochemka.
 
Kuhusu refresher course hii inatolewa hata kama wanaoshiriki vita husika watakuwa ni Jwtz peke yake kwahy hilo umefeli,,,,alafu kupigwa refresher sio kwamba uaskari wako unakuwa na mashaka,hapana! Mfano kwenye mission za nje umakuta Jeshi la Ufaransa ama Us wanawapiga refresh askari kutoka nchi za Afrika kwhy hilo nalo ni kwamba majeshi hayajui kitu!!!? Kuhusu kuzifahamu vyema kazi ambazo wamekabidhiwa Jwtz hilo nalo sio hoja yenye mantiki kwa sababu Hata jwtz hawawezi kuzifahamu kazi za polisi kwa 100 % mpaka wapigwe refresh,,hivyo hivyo kwa Magereza Jwtz hawawezi kujua kazi zao bila kuwa refreshed,,,

Ulipokuja kuharibu nkaona unaleta ligi flani ambayo ipo cku zote kati w/ulinzi na w/ndani ni pale ulipoanza kuzidharau special forces ambazo ziko chini ya Magereza na Polisi,,hivi unafikiri kuwa mstari wa mbele kila siku kupambana na majambazi wenye silaha nzito ni mchezo na wengine ni askari waliofukuzwa au kuacha kazi huko huko jwtz lkn wanadhibitiwa ipasavyo na polisi hawa hawa,,,,Kumdhibiti mfungwa unadhani ni kazi nyepesi !!!? Kumbuka gerezani wahalifu ambao wengine ni makomandoo ambao wametoka huko huko jwtz ila wafanye ila wakifanya fyoko fyoko watasimulia jaramba watakalo kutana nalo

Kuhusu Mtwara mbona polisi walipiga kazi iliyotukuka na wale magaidi wakakimbia !!? Na pale iliunganishwa nguvu kutoka vyombo vyote sasa unaposema jwtz ndo walifanya kazi peke yao nakushangaa,,,,,Vipi kibiti napo hukuona kazi ya polisi kweli!!!?

Kuhusu kupigana vita hata raia anaweza kusonga front kumbuka vita ni ujasiri wala siyo mbwembwe,,,,kwhyo naamini hata Polisi na Magereza wakikabidhiwa jukumu la ulinzi wa Mipaka wanaliweza watakachohitaji ni uwezeshaji tu lkn kuhusu mafunzo msingi ya kijeshi wako fit tena sana

Walioko Jwtz ni watoto wetu tunawafahamu hawana maajabu yoyote yale,,,Sema tu dhamana na heshima waliyoibeba dhidi ya nchi hatunabudi kuwasema vizuri kama ilivyo kwa majeshi mengine ya Nchi,,,Wengine hata mimi raia najipigia vizuri tu hawana chochote ni bakabaka tu na crown ya nchi ndo tunaviheshimu sana kama ilivo kwa sare na crown za majeshi mengine
Polisi bana!!
 
Kuhusu refresher course hii inatolewa hata kama wanaoshiriki vita husika watakuwa ni Jwtz peke yake kwahy hilo umefeli,,,,alafu kupigwa refresher sio kwamba uaskari wako unakuwa na mashaka,hapana! Mfano kwenye mission za nje umakuta Jeshi la Ufaransa ama Us wanawapiga refresh askari kutoka nchi za Afrika kwhy hilo nalo ni kwamba majeshi hayajui kitu!!!? Kuhusu kuzifahamu vyema kazi ambazo wamekabidhiwa Jwtz hilo nalo sio hoja yenye mantiki kwa sababu Hata jwtz hawawezi kuzifahamu kazi za polisi kwa 100 % mpaka wapigwe refresh,,hivyo hivyo kwa Magereza Jwtz hawawezi kujua kazi zao bila kuwa refreshed,,,

Ulipokuja kuharibu nkaona unaleta ligi flani ambayo ipo cku zote kati w/ulinzi na w/ndani ni pale ulipoanza kuzidharau special forces ambazo ziko chini ya Magereza na Polisi,,hivi unafikiri kuwa mstari wa mbele kila siku kupambana na majambazi wenye silaha nzito ni mchezo na wengine ni askari waliofukuzwa au kuacha kazi huko huko jwtz lkn wanadhibitiwa ipasavyo na polisi hawa hawa,,,,Kumdhibiti mfungwa unadhani ni kazi nyepesi !!!? Kumbuka gerezani wahalifu ambao wengine ni makomandoo ambao wametoka huko huko jwtz ila wafanye ila wakifanya fyoko fyoko watasimulia jaramba watakalo kutana nalo

Kuhusu Mtwara mbona polisi walipiga kazi iliyotukuka na wale magaidi wakakimbia !!? Na pale iliunganishwa nguvu kutoka vyombo vyote sasa unaposema jwtz ndo walifanya kazi peke yao nakushangaa,,,,,Vipi kibiti napo hukuona kazi ya polisi kweli!!!?

Kuhusu kupigana vita hata raia anaweza kusonga front kumbuka vita ni ujasiri wala siyo mbwembwe,,,,kwhyo naamini hata Polisi na Magereza wakikabidhiwa jukumu la ulinzi wa Mipaka wanaliweza watakachohitaji ni uwezeshaji tu lkn kuhusu mafunzo msingi ya kijeshi wako fit tena sana

Walioko Jwtz ni watoto wetu tunawafahamu hawana maajabu yoyote yale,,,Sema tu dhamana na heshima waliyoibeba dhidi ya nchi hatunabudi kuwasema vizuri kama ilivyo kwa majeshi mengine ya Nchi,,,Wengine hata mimi raia najipigia vizuri tu hawana chochote ni bakabaka tu na crown ya nchi ndo tunaviheshimu sana kama ilivo kwa sare na crown za majeshi mengine
Refresher course inamaana ya kumpa vitu vinavyoendana na majukumu muhusika.
Sisi hapa tunavyo kwambia Jwtz ni jeshi la dunia ya kwanza,tunamaanisha hakunaga jeshi linalokujaga kutupiga refresher course, hivyo kwa maana nyingine tuko full kila idara, na siku ukiona wamekuja majeshi wa nchi rafiki/ wahisani. Humaanisha either mazoezi ya pamoja/kubadilishana ujuzi/Kuna mafunzo ya zana/silaha mpya zikizo ktk prosses ya kununuliwa au tumepewa kadhaa Kama msaada,ili tuzinunue.Hivyo jw hakunaga refresher kutoka hizo nchi zote unazo zijua wewe, Mission za amani kipo chuo chetu KISUNGURA, Special force nazani unajua tunavyo vinne vya hiyo Taaluma, Terrorist nafikiri uzoefu wetu haukupi shida hata kujua kua,ndugu zetu wamozambique waliogopa baada ya kupewa brief ya operation na ukizingatia ujirani.

Pia ujue msumbiji wanaamini ikishindikana kabisa hao jamaa nchi ya mwisho ya funga kazi. Ni kuikabidhi hiyo ardhi kwa TZ/Jwtz.

Hao vijana wenu wa Pk walienda tu Kama first choice ndio maana hata SA walianza kukataa kwa sababu za kiusalama,Hapa ilizingatiwa kuwa muingiliano wa radio ( Radio wave) kwani lazma mpeane uelekeo ili kuepusha kushambuliana wenyewe kwa wenyewe au makosa ya makusudi kua tulijihami tukihisi Ni adui Alie valia mavazi rasmi. pamoja na operation code. Ndio maana wenzetu waligoma maana ilifikirika kua Banyamulenga wangejikita katika kufatilia masasiliano ya wenzao maana lazma mpeane wave, kwa lengo la kupew a tabia na mwendo wa adui,uamrishaji na usambazaji wa huduma,Ugawaji na usambazaji wa silaha "Watu wa systems mtakua mnanielewa hapa". Pia usisahau silaha ya kwanza kwa adui yako ni taarifa Kisha masasiliano ndio zinakuja zana za kivita.

Hapo nafikiri unanielewa vzuri. Na ili kukuhakikishia Hilo mambo yandani ktk joint operation wameweka kambi mbili zilizo full equipment lkn bado wameomba kuwe na detachment ya Jwtz jirani nao ktk kila kambi. Na kambi hizo zimewahusisha Crt,Kmkm, CID,Ffu nafikiri na stpu. Kwaajili ya ufatiliaji. Na bado mnaogopa. Shida Nini nyinyi si wanajeshi Tena kwa Aina ya Askari mlio peleka jeshi lingesema linapeleka vijana namna hyo Basi hiyo ingekua Ni battalion ya special force.

Pamoja na hayo nafikiri huwa unaelewa mudagani Jwtz linachukuaga mamlaka ktk operation yeyote ile. Kumbuka Task force ya Hon Jakaya M Kikwete. Ilikua kwamba ishu ikiwa ngumu ndio muda was kuomba watoto wa baba waende wakaliokoe jahazi. Unakumbuka mlivyokua mnakula makofi Mkiru mlipokua mnafanya harassment kwa raia.😂😂😂.

Naomba nikukumbushe jeshini lipo somo la kareti lakini sio kila my analitilia maanani. Siku huko mtaani mkipiga vijana wa Maroon ballet au dark blue ndio mseme mmepiga wanajeshi. Ikiwezekana fanyeni kbsa sherehe. Ila huko vikosini wengine Ni mafundi,radar,ndege, plumber, welding, electrical, mechanics, weapon technician, filter mechanics, teachers,nawengine wengitu. Sasa nenda ukakutane na walio dhamilia kujua namna ya kuua mtu. Au hata walimu wa jkt/recruiters huku ndio utajua hujui. Sio mnatupigia warevi na wapenda madem mnasema mmepiga wanajeshi. Pia kumbuka jeshini watu hufundishwa kwa unit ukisha lijua Hilo basi utakua na adabu na walinzi wako.

Seniority must follow.

Ukiwa na swali niulize. Tupo hapa kurekebishana Kaka.
 
Kumekuwa na watu wengi tena wasomi na wengine ni viongozi wa serikali wanajua kwamba Ukisema mwanajeshi ni yule wa Jwtz ila ukisema askari ni wale wa mambo ya ndani yaani Magereza,polisi nk,,,,sasa twende pamoja uelimike na wewe uelimishe


Mwananajeshi ni muunganiko wa maneno mawili yaani
Mwana+jeshi=Mwanajeshi
Sasa basi hapa Tz tuna majeshi mbalimbali kila jeshi na majukumu yake yaani Jwtz,polisi,Magereza nk

Katika hali hiyo utakutana na Mwanajeshi wa Jwtz,Mwanajeshi wa jeshi la polisi,Mwanajeshi wa jeshi la Magereza nk (Hawa wote ni wanajeshi)

Elewa kwamba hakuna utambulisho wa askari KATIKA jeshi lolote wa kuitwa mwanajeshi bali wote katika Majeshi yote huitwa "ASKARI"
ISIPOKUWA askari hawa huko majeshini kwao hutenganishwa kwa kuitwa MAAFISA/ASKARI
Kwa maana Maafisa ni wale wenye single star na kuendelea
Na askari ni wale wenye kuanzia Private/constable/wdr mpaka RSM kama sijakosea

Nahitimisha kwa kusema kwamba majeshi yoooote yana askari
Na majeshi yoooote yana Wanajeshi wake.Naomba kuhitimisha mwenye swali karibu sana

Kwa msaada zaidi unaweza kusoma katiba Ibara 147 na ibara zake ndogo zote
upo sahihi mkuu
 
Refresher course inamaana ya kumpa vitu vinavyoendana na majukumu muhusika.
Sisi hapa tunavyo kwambia Jwtz ni jeshi la dunia ya kwanza,tunamaanisha hakunaga jeshi linalokujaga kutupiga refresher course, hivyo kwa maana nyingine tuko full kila idara, na siku ukiona wamekuja majeshi wa nchi rafiki/ wahisani. Humaanisha either mazoezi ya pamoja/kubadilishana ujuzi/Kuna mafunzo ya zana/silaha mpya zikizo ktk prosses ya kununuliwa au tumepewa kadhaa Kama msaada,ili tuzinunue.Hivyo jw hakunaga refresher kutoka hizo nchi zote unazo zijua wewe, Mission za amani kipo chuo chetu KISUNGURA, Special force nazani unajua tunavyo vinne vya hiyo Taaluma, Terrorist nafikiri uzoefu wetu haukupi shida hata kujua kua,ndugu zetu wamozambique waliogopa baada ya kupewa brief ya operation na ukizingatia ujirani.

Pia ujue msumbiji wanaamini ikishindikana kabisa hao jamaa nchi ya mwisho ya funga kazi. Ni kuikabidhi hiyo ardhi kwa TZ/Jwtz.

Hao vijana wenu wa Pk walienda tu Kama first choice ndio maana hata SA walianza kukataa kwa sababu za kiusalama,Hapa ilizingatiwa kuwa muingiliano wa radio ( Radio wave) kwani lazma mpeane uelekeo ili kuepusha kushambuliana wenyewe kwa wenyewe au makosa ya makusudi kua tulijihami tukihisi Ni adui Alie valia mavazi rasmi. pamoja na operation code. Ndio maana wenzetu waligoma maana ilifikirika kua Banyamulenga wangejikita katika kufatilia masasiliano ya wenzao maana lazma mpeane wave, kwa lengo la kupew a tabia na mwendo wa adui,uamrishaji na usambazaji wa huduma,Ugawaji na usambazaji wa silaha "Watu wa systems mtakua mnanielewa hapa". Pia usisahau silaha ya kwanza kwa adui yako ni taarifa Kisha masasiliano ndio zinakuja zana za kivita.

Hapo nafikiri unanielewa vzuri. Na ili kukuhakikishia Hilo mambo yandani ktk joint operation wameweka kambi mbili zilizo full equipment lkn bado wameomba kuwe na detachment ya Jwtz jirani nao ktk kila kambi. Na kambi hizo zimewahusisha Crt,Kmkm, CID,Ffu nafikiri na stpu. Kwaajili ya ufatiliaji. Na bado mnaogopa. Shida Nini nyinyi si wanajeshi Tena kwa Aina ya Askari mlio peleka jeshi lingesema linapeleka vijana namna hyo Basi hiyo ingekua Ni battalion ya special force.

Pamoja na hayo nafikiri huwa unaelewa mudagani Jwtz linachukuaga mamlaka ktk operation yeyote ile. Kumbuka Task force ya Hon Jakaya M Kikwete. Ilikua kwamba ishu ikiwa ngumu ndio muda was kuomba watoto wa baba waende wakaliokoe jahazi. Unakumbuka mlivyokua mnakula makofi Mkiru mlipokua mnafanya harassment kwa raia.😂😂😂.

Naomba nikukumbushe jeshini lipo somo la kareti lakini sio kila my analitilia maanani. Siku huko mtaani mkipiga vijana wa Maroon ballet au dark blue ndio mseme mmepiga wanajeshi. Ikiwezekana fanyeni kbsa sherehe. Ila huko vikosini wengine Ni mafundi,radar,ndege, plumber, welding, electrical, mechanics, weapon mechanics, filter mechanics, teachers,nawengine wengitu. Sasa nenda ukakutane na walio dhamilia kujua namna ya kuua mtu. Au hata walimu wa jkt/recruiters huku ndio utajua hujui. Sio mnatupigia warevi na wapenda madem mnasema mmepiga wanajeshi. Pia kumbuka jeshini watu hufundishwa kwa unit ukisha lijua Hilo basi utakua na adabu na walinzi wako.

Seniority must follow.

Ukiwa na swali niulize. Tupo hapa kurekebishana Kaka.
Kumbuka Adamoo la Lingwenya wamedakwa na kuteswa na Kingai tena kwa uonevu,,nakukumbusha Adamoo na Lingwenya ni makomandoo wa jwtz walioshiriki mission kibao lkn walidakwa na kingai tena akiwa na bastola tu
 
Kumbuka Adamoo la Lingwenya wamedakwa na kuteswa na Kingai tena kwa uonevu,,nakukumbusha Adamoo na Lingwenya ni makomandoo wa jwtz walioshiriki mission kibao lkn walidakwa na kingai tena akiwa na bastola tu
Sahihi hiyo ilikua ni kutii mamlaka, na haimaanishi kuzidiwa kiuwezo. Pia kumbuka wale tayali wako ktk Xfile huko ktk brigedi ya vikosi maalum/ LFC)MMJ, Tena wana onyo la kutofanya vulugu yeyote ile, Huku wakitoa taarifa za kila wabadilishapo anuani.
Kumbuka na Hilo.
 
Fahamu hivi.
Afisa wa jeshi ni mwanajeshi, lakini sio askali. Ni afisa au mwanajeshi.
Mwanajeshi anaweza kuwa askali lakini askali huwezi kuwa mwanajeshi. Labda baada ya training. Na vigezo vya kua mwanajeshi Ni kutokuwahi kuwa askali wa idara au service nyingine inayo tambulika katika ulinzi na usalama.

Mf. Agencies yeyote duniani ikihitaji kutrain watu au kusajiri. Huwa kunakigezo maalum kwa watu maalum, kwenda majeshi ya nchi zao. Hivyo ikitokea wamechukuliwa na watu kutoka defense force, huwa hata kazi zao ni tofauti pia.
Askari mgambo nae ni mwanajeshi!!?
 
Askari mgambo nae ni mwanajeshi!!?
Ni militia. Mgambo anafanya kazi kijeshi ila jeshini thamani yake nikubwa kuliko Polisi. Kwasababu Polisi tayali ana upolisi akilini mwake hivyo anajihisi yeye ni bora au ni sawa na mwanajeshi.

Ila msingi wa hoja kitaaluma Mgambo na Polisi wapo ktk kundi la reserve force/ paramilitary. Na ukija wito wote hupelekwa RFC
 
Hata jwtz uwa anajitambulisha"mimi ni Askari" sio "mimi mwanajeshi"
 
Afande
Askari
Mjeda
Mjeshi
Mwanajeshi
Poti
Soldier
Polisi
Agent


Wewe nawe unatuchanganya tu kwanza umeshaingiza maneno "kama sikosei" maana yake huna uhakika au hujui kabisa. Sasa unapotaka uulizwe maswali huoni ndio kabisa utazidi kutuingiza chaka?
 
Hivi ukiulizwa general wa jeshi la Tanzania utaanza kustasta bila kumtaja afande Gen. V. S. Mabeyo?

Yaani labda umtaje IGP Simon Sirro?

Tuna jeshi moja tu ambalo ni JWTZ pekee lenye kamandi zake

Lina silaha za kivita za ulinzi wa mipaka

Wanajeshi hupatikana ndani ya JWTZ pekee,

Tambua hii; wanajeshi wote ni askari ila si kila askari ni mwanajeshi.

Hao wengine wabaki kuhakikisha vibaka hawasumbui!

Polisi ni idara ya huduma za kiraia ambayo ndani yake kuna huduma mpka za ustawi wa jamii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

A soldier = mwanajeshi

Police officer = askari polisi


Huwezi kumuita polisi kuwa ni "soldier"
 
Hivi ukiulizwa general wa jeshi la Tanzania utaanza kustasta bila kumtaja afande Gen. V. S. Mabeyo?

Yaani labda umtaje IGP Simon Sirro?

Tuna jeshi moja tu ambalo ni JWTZ pekee lenye kamandi zake

Lina silaha za kivita za ulinzi wa mipaka

Wanajeshi hupatikana ndani ya JWTZ pekee,

Tambua hii; wanajeshi wote ni askari ila si kila askari ni mwanajeshi.

Hao wengine wabaki kuhakikisha vibaka hawasumbui!

Polisi ni idara ya huduma za kiraia ambayo ndani yake kuna huduma mpka za ustawi wa jamii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

A soldier = mwanajeshi

Police officer = askari polisi


Huwezi kumuita polisi kuwa ni "soldier"
Kwann anaitwa raia mkakamavu?je kwnn rais upendelea kuvaa combat na c idara zngine za ulinzi?
 
Polisi sio mwanajeshi na mwanajeshi ni askari vita
Polisi/magereza/uhamiaji/wanyamapori "game" hizi zote ni taasisi za kutolea huduma
 
Kuhusu refresher course hii inatolewa hata kama wanaoshiriki vita husika watakuwa ni Jwtz peke yake kwahy hilo umefeli,,,,alafu kupigwa refresher sio kwamba uaskari wako unakuwa na mashaka,hapana! Mfano kwenye mission za nje umakuta Jeshi la Ufaransa ama Us wanawapiga refresh askari kutoka nchi za Afrika kwhy hilo nalo ni kwamba majeshi hayajui kitu!!!? Kuhusu kuzifahamu vyema kazi ambazo wamekabidhiwa Jwtz hilo nalo sio hoja yenye mantiki kwa sababu Hata jwtz hawawezi kuzifahamu kazi za polisi kwa 100 % mpaka wapigwe refresh,,hivyo hivyo kwa Magereza Jwtz hawawezi kujua kazi zao bila kuwa refreshed,,,

Ulipokuja kuharibu nkaona unaleta ligi flani ambayo ipo cku zote kati w/ulinzi na w/ndani ni pale ulipoanza kuzidharau special forces ambazo ziko chini ya Magereza na Polisi,,hivi unafikiri kuwa mstari wa mbele kila siku kupambana na majambazi wenye silaha nzito ni mchezo na wengine ni askari waliofukuzwa au kuacha kazi huko huko jwtz lkn wanadhibitiwa ipasavyo na polisi hawa hawa,,,,Kumdhibiti mfungwa unadhani ni kazi nyepesi !!!? Kumbuka gerezani wahalifu ambao wengine ni makomandoo ambao wametoka huko huko jwtz ila wafanye ila wakifanya fyoko fyoko watasimulia jaramba watakalo kutana nalo

Kuhusu Mtwara mbona polisi walipiga kazi iliyotukuka na wale magaidi wakakimbia !!? Na pale iliunganishwa nguvu kutoka vyombo vyote sasa unaposema jwtz ndo walifanya kazi peke yao nakushangaa,,,,,Vipi kibiti napo hukuona kazi ya polisi kweli!!!?

Kuhusu kupigana vita hata raia anaweza kusonga front kumbuka vita ni ujasiri wala siyo mbwembwe,,,,kwhyo naamini hata Polisi na Magereza wakikabidhiwa jukumu la ulinzi wa Mipaka wanaliweza watakachohitaji ni uwezeshaji tu lkn kuhusu mafunzo msingi ya kijeshi wako fit tena sana

Walioko Jwtz ni watoto wetu tunawafahamu hawana maajabu yoyote yale,,,Sema tu dhamana na heshima waliyoibeba dhidi ya nchi hatunabudi kuwasema vizuri kama ilivyo kwa majeshi mengine ya Nchi,,,Wengine hata mimi raia najipigia vizuri tu hawana chochote ni bakabaka tu na crown ya nchi ndo tunaviheshimu sana kama ilivo kwa sare na crown za majeshi mengine
Ila we polisi mbona umeongea kwa uchungu mwingi sana sana? Jeshi la wananchi litabaki kuwa la wananchi
 
Back
Top Bottom