Majeshi yote yana askari na majeshi yote yana Wanajeshi

Majeshi yote yana askari na majeshi yote yana Wanajeshi

Kwann anaitwa raia mkakamavu?je kwnn rais upendelea kuvaa combat na c idara zngine za ulinzi?
Ndo ujue kuwa Jeshi ndiyo chombo cha ulinzi kinachowakilisha uimara wa kiulinzi ndani ya taifa lolote ikiwemo Tanzania.

images%20(2).jpg
 
Kuna kitu hujakielewa vizuri.
Walipo itisha uchangiaji wa askali kutoka idara za mambo ya ndani, wote kwanza walipigwa refresher course ambayo iliwatoa tongotongo. Huwezi kumchukua askali polisi/magereza ukampeleka vitani. Amini watatupa silaha na kufutikia kusikojulikana. Mfano ni hiyo ishu ya Mtwara. Watu walikataa wakasema Hilo sio jukumu lao.
Hivyo taasisi za kipolisi haziwezi kuingia vitani,Ffu,Kmkm Bado hamna kitu. Kmkm mnawaitaga makomandoo, waliifanya misheni gani ya kimedani Hadi mkawapa hichocheo?. Au kuwashitukiza wafungwa na kuwapiga malungu na mabuti tayali mna kua CDO. Kama Ni hivyo mi nakuhakikishia vijana wa jkt na mgambo wakikabidhiwa gereza mtawaita tactical special force. Imagine SUMA JKT muwape kiwira mbona wafungwa watasema wanalindwa na SAS. Crt atlist ila bado huwezi ukawaambia hata wakawatoweshe Maimai.

Labda nikuachie kazi uifanye. Hivi unajua Kama mrakibu wa kipolisi akiitwa jeshini anaenda kuhudumu renk gani?.
ACP/ACI wetu akifika akimkuta captain wa jeshini la polisi China kama ni senior wake anampigia saluti na lazma aifate itifaki.

Kama unaswali niulize
Mkuu kama sijakosea umesema mrakibu wa jeshi la polisi, jeshini rank yake ni Chini ya captain
 
Kuhusu refresher course hii inatolewa hata kama wanaoshiriki vita husika watakuwa ni Jwtz peke yake kwahy hilo umefeli,,,,alafu kupigwa refresher sio kwamba uaskari wako unakuwa na mashaka,hapana! Mfano kwenye mission za nje umakuta Jeshi la Ufaransa ama Us wanawapiga refresh askari kutoka nchi za Afrika kwhy hilo nalo ni kwamba majeshi hayajui kitu!!!? Kuhusu kuzifahamu vyema kazi ambazo wamekabidhiwa Jwtz hilo nalo sio hoja yenye mantiki kwa sababu Hata jwtz hawawezi kuzifahamu kazi za polisi kwa 100 % mpaka wapigwe refresh,,hivyo hivyo kwa Magereza Jwtz hawawezi kujua kazi zao bila kuwa refreshed,,,

Ulipokuja kuharibu nkaona unaleta ligi flani ambayo ipo cku zote kati w/ulinzi na w/ndani ni pale ulipoanza kuzidharau special forces ambazo ziko chini ya Magereza na Polisi,,hivi unafikiri kuwa mstari wa mbele kila siku kupambana na majambazi wenye silaha nzito ni mchezo na wengine ni askari waliofukuzwa au kuacha kazi huko huko jwtz lkn wanadhibitiwa ipasavyo na polisi hawa hawa,,,,Kumdhibiti mfungwa unadhani ni kazi nyepesi !!!? Kumbuka gerezani wahalifu ambao wengine ni makomandoo ambao wametoka huko huko jwtz ila wafanye ila wakifanya fyoko fyoko watasimulia jaramba watakalo kutana nalo

Kuhusu Mtwara mbona polisi walipiga kazi iliyotukuka na wale magaidi wakakimbia !!? Na pale iliunganishwa nguvu kutoka vyombo vyote sasa unaposema jwtz ndo walifanya kazi peke yao nakushangaa,,,,,Vipi kibiti napo hukuona kazi ya polisi kweli!!!?

Kuhusu kupigana vita hata raia anaweza kusonga front kumbuka vita ni ujasiri wala siyo mbwembwe,,,,kwhyo naamini hata Polisi na Magereza wakikabidhiwa jukumu la ulinzi wa Mipaka wanaliweza watakachohitaji ni uwezeshaji tu lkn kuhusu mafunzo msingi ya kijeshi wako fit tena sana

Walioko Jwtz ni watoto wetu tunawafahamu hawana maajabu yoyote yale,,,Sema tu dhamana na heshima waliyoibeba dhidi ya nchi hatunabudi kuwasema vizuri kama ilivyo kwa majeshi mengine ya Nchi,,,Wengine hata mimi raia najipigia vizuri tu hawana chochote ni bakabaka tu na crown ya nchi ndo tunaviheshimu sana kama ilivo kwa sare na crown za majeshi mengine
Hapana hapo Chini nakupinga sisi tuliopita JKT tunaelewa... Huwez linganisha coarse ya Askari wa polisi na JWTZ[emoji23][emoji23][emoji23]... Mkuu hapo haupo sahihi Askari polisi anaishia kupata mafunzo Machache Sana ya kimedani na utumiaji silaha... Kuna silaha tukizipeleka polisi za kivita watashindwa kabisa kuzitumia..kwene course ya upolisi hufundishwi Sana mafunzo ya kimedani.... Na kaa ukijua hakuna jeshi lenye uweledi kimafunzo, kikamavu, kimkakati, na rasilimali zaidi ya jeshi la ulinzi
 
Hapana hapo Chini nakupinga sisi tuliopita JKT tunaelewa... Huwez linganisha coarse ya Askari wa polisi na JWTZ[emoji23][emoji23][emoji23]... Mkuu hapo haupo sahihi Askari polisi anaishia kupata mafunzo Machache Sana ya kimedani na utumiaji silaha... Kuna silaha tukizipeleka polisi za kivita watashindwa kabisa kuzitumia..kwene course ya upolisi hufundishwi Sana mafunzo ya kimedani.... Na kaa ukijua hakuna jeshi lenye uweledi kimafunzo, kikamavu, kimkakati, na rasilimali zaidi ya jeshi la ulinzi
Kuna silaha ziko jeshi la Us zikiletwa jwtz hamuwezi kuzitumia,,,Je! Tuseme jwtz ni dhaifu kwa kutokujua silaha flani!!?Kwani JKT mlijifunza nini zaidi ya AK-47,SMG,LMG na tuliopita zamani jkt tuligusa RPG na G3 pia, hizi silaha ukienda polisi wanajifunza pia
 
Kuna silaha ziko jeshi la Us zikiletwa jwtz hamuwezi kuzitumia,,,Je! Tuseme jwtz ni dhaifu kwa kutokujua silaha flani!!?Kwani JKT mlijifunza nini zaidi ya AK-47,SMG,LMG na tuliopita zamani jkt tuligusa RPG na G3 pia, hizi silaha ukienda polisi wanajifunza pia
G3,Ak47 zipo kundi la SMG" sub machine gun". Usichanganye mambo, silaha kipolisi zinahifadhiwa na kutumika kwa level ya kituo,wilaya,mkoa Kisha makao makuu. Hivyo tusiweke mambo yote hapa. Jua kua askali wa kipolisi hufundishwa mwisho Lmg/Rpg kwasababu hizo Ni silaha za msaada ngazi ya Section mpaka platoon.

Na kuanzia ngazi ya Combania kipolisi hawana changamoto za namna hyo Tena hiyo ni kwa wale Crises response team. Nenda Mtwala,Kigoma,Katavi,Lukwa na Kagera ndio utaelewa hii. Ila usidanganye watu hapa.

Ile mizinga ya masafa mafupi tusiiingize hapa, Lengo Ni kukuelewesha usichanganye mambo.
Hivyo tunaelewa kuwa Polisi wapo kudeal na changamoto ndogo dogo za kiusalama. Walau wapambane na kikundi Cha watu 20_35 hivi lakini we Ni shuhuda. Huwa wakikutana na changamoto kubwa wanawahi kulipoti kwa wakuu wa kamati za ulinzi na usalama kwaajili ya rainfocement ya wavunja vyungu vya uyoga kutoka napalia mbele nyuma pajakawa.

Kaka nikuambietu. Hiyo platoon unayo izarau wewe inauwezo wa kuingia msituni na kutangaza uasi na Polisi mkashindwa kbsa kwa nyenzo zote kuikabili. Ebwana usifanye mchezo ati.

Usiwapime Polisi kulinganisha na jeshi kwa kuua na kukamata majambazi ambao wanavamia Huku wanaogopa kujulikana,kukamatwa pia wakijua kabisa hawana backup Tena wanapambana huku wakihakikisha hawajulikani na wakijua kabisa adui yao kawazidi kisilaha idadi na ile Hali ya uhalali huwa inanguvu fulani hivi.Usitolee Tena mfano wa majambazi ambao wanakuja kuvamia na silaha zilizo katwa kitako na magazine yenye lisasi Saba. Huku wenzao wakiwa na mpaka za akiba
 
Kwakua sio ligi na nilichohitaji ukifaham umekifaham Basi hapo hakuna jipya.

Nikukumbushe uwezo wa kijeshi upimwa kwa mission/silaha nk, je! Magereza ili wawe wakali waende field na kundi linalo kinzana nalo kijeshi. Mfungwa muweke pembeni.
Nitarudi
hujui lolote.unaongea mambo ya vijiweni.
 
Mkuu, mwananchi Omutontozi, kwa mantiki hiyo unataka tumuone amiri jeshi mkuu, akiwa ndani gwanda, za magereza, za polisi, za mgambo, za kikosi cha usalama wa raisi(PSU), za wanasalama barabarani, za JKT, za uamiaji, za zima moto, za wanyama pori, za wanamaji, za wanaanga na kadhalika, baadala ya kuonekana kutinga za jeshi la wananchi(JWTZ) pekee. Ili kuleta usawa katika kuwakilisha, hadhi ya majeshi hayo katika uso wa jamii, kwani kila moja lina umuhimu wa kwa taifa na kwa nchi kiujumla. Swali langu ni, hili, je amri jeshi mkuu, anapokuwa kavaa sare ya jeshi husika bila nyota hata moja, kwa maana ya kuwa afisa, na badala yake kuonekana kama askari wa kawaida, je maafisa wa jeshi hilo, ni sawa kupigia saruti sare, wanayo izidi cheo kimamlaka(kijeshi)?
Chunguza tena alivyokuwa kavaa hizo gwanda!

Angalia kola na kofia ndiyo utapata jibu, kwamba kuvaa nembo ya ikulu kwene kofia yake ndiyo alama hiyo ya amiri jeshi mkuu.

Hizo nyota nyota unazotaka kusema zinavaliwa na ma kada wa jeshi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kitu hujakielewa vizuri.
Walipo itisha uchangiaji wa askali kutoka idara za mambo ya ndani, wote kwanza walipigwa refresher course ambayo iliwatoa tongotongo. Huwezi kumchukua askali polisi/magereza ukampeleka vitani. Amini watatupa silaha na kufutikia kusikojulikana. Mfano ni hiyo ishu ya Mtwara. Watu walikataa wakasema Hilo sio jukumu lao.
Hivyo taasisi za kipolisi haziwezi kuingia vitani,Ffu,Kmkm Bado hamna kitu. Kmkm mnawaitaga makomandoo, waliifanya misheni gani ya kimedani Hadi mkawapa hichocheo?. Au kuwashitukiza wafungwa na kuwapiga malungu na mabuti tayali mna kua CDO. Kama Ni hivyo mi nakuhakikishia vijana wa jkt na mgambo wakikabidhiwa gereza mtawaita tactical special force. Imagine SUMA JKT muwape kiwira mbona wafungwa watasema wanalindwa na SAS. Crt atlist ila bado huwezi ukawaambia hata wakawatoweshe Maimai.

Labda nikuachie kazi uifanye. Hivi unajua Kama mrakibu wa kipolisi akiitwa jeshini anaenda kuhudumu renk gani?.
ACP/ACI wetu akifika akimkuta captain wa jeshini la polisi China kama ni senior wake anampigia saluti na lazma aifate itifaki.

Kama unaswali niulize
Sasa ungelitupatia ulinganifu wa hivyo vyeo kwa mtiririko, kwa mfano inspector wa Polisi ama SP akishikizwa jeshini atavishwa rank gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fahamu hivi.
Afisa wa jeshi ni mwanajeshi, lakini sio askali. Ni afisa au mwanajeshi.
Mwanajeshi anaweza kuwa askali lakini askali huwezi kuwa mwanajeshi. Labda baada ya training. Na vigezo vya kua mwanajeshi Ni kutokuwahi kuwa askali wa idara au service nyingine inayo tambulika katika ulinzi na usalama.

Mf. Agencies yeyote duniani ikihitaji kutrain watu au kusajiri. Huwa kunakigezo maalum kwa watu maalum, kwenda majeshi ya nchi zao. Hivyo ikitokea wamechukuliwa na watu kutoka defense force, huwa hata kazi zao ni tofauti pia.

"Afisa wa jeshi ni mwanajeshi, lakini siyo askari. Ni afisa au mwanajeshi.
Mwanajeshi anaweza kuwa askari lakini askari hawezi kuwa mwanajeshi"...why!

Contradiction kubwa sana hii!

Ninadhani katika ku distinguish kati ya Jwtz na polisi, magereza na idara zingine zinazohudumu katika wizara ya mambo ya ndani tungelisema hivi:

Inavyoeleweka kwa sasa, ukisema mwanajeshi ama jeshi, ni jina la jumla la maafisa na askari wa majeshi ya ulizi yaani Jwtz.

Katika majeshi hayo ya ulinzi, kuna makundi mawili ya vyeo, kuna kundi la maafisa wa vyeo mbali mbali na kuna kundi la askari wa vyeo mbali mbali.

Kwa hiyo hiyo dhana ya kusema askari hawezi kuwa mwanajeshi halipo.

Kuanzia askari hadi afisa wa cheo cha mwisho juu ni mwanajeshi.

Tukija kwenye idara za polisi, magereza na wengineo katika wizara ya mambo ya ndani:

Jina la jumla la polisi ama magereza huitwa maafisa wa Polisi, maafisa wa magereza, maafisa wa zimamoto ama maafisa wa uhamiaji nk.

Katika idara hizo pia kuna makundi mawili ya vyeo, kuna kundi la maafisa na kuna kundi la skari.

Sheria za majeshi ya ulizi (NDA) zimewataja polisi nk, kama civilian police, prison etc.

Hapa nimechangia kifupi sana kutoa mwanga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo hiyo dhana ya kusema askari hawezi kuwa mwanajeshi halipo.

Majeshi ya kipolisi hayawezi kua na mwanajeshi,Ni suala la kulazimishatu. Ila hicho kitu hakipo.

Ukishajua mwanajeshi ninani,majukumu yake,wajibu wake na anapaswa kuwa wapi. Itatufanya tumalize ubishi. Pia ukifahamu wajibu na majukumu ya kipolisi. Hapo ndio utakua mwisho wa mabishano. Nani Mwanajeshi Nani Polisi. Mi ninacho kipinga ni kutokujua kua yeyote mwenye kushika silaha kwa kiswahili huitwa askali au kamanda haijalishi ni nani. Ona kwenye lugha za wenzetu hata mgambo atatambulika hivyotu kua yeye Ni mgambo (Militia). Askali wanyama poli the same (Ranger). Kwahyo nadharia ya askali kwa kiswahili ni kwa kila askali haijalishi ni nani. Ila Sasa kwenye majukumu ndio tunawatenganisha, nisieleweke vibaya.
 
Kuna kitu hujakielewa vizuri.
Walipo itisha uchangiaji wa askali kutoka idara za mambo ya ndani, wote kwanza walipigwa refresher course ambayo iliwatoa tongotongo. Huwezi kumchukua askali polisi/magereza ukampeleka vitani. Amini watatupa silaha na kufutikia kusikojulikana. Mfano ni hiyo ishu ya Mtwara. Watu walikataa wakasema Hilo sio jukumu lao.
Hivyo taasisi za kipolisi haziwezi kuingia vitani,Ffu,Kmkm Bado hamna kitu. Kmkm mnawaitaga makomandoo, waliifanya misheni gani ya kimedani Hadi mkawapa hichocheo?. Au kuwashitukiza wafungwa na kuwapiga malungu na mabuti tayali mna kua CDO. Kama Ni hivyo mi nakuhakikishia vijana wa jkt na mgambo wakikabidhiwa gereza mtawaita tactical special force. Imagine SUMA JKT muwape kiwira mbona wafungwa watasema wanalindwa na SAS. Crt atlist ila bado huwezi ukawaambia hata wakawatoweshe Maimai.

Labda nikuachie kazi uifanye. Hivi unajua Kama mrakibu wa kipolisi akiitwa jeshini anaenda kuhudumu renk gani?.
ACP/ACI wetu akifika akimkuta captain wa jeshini la polisi China kama ni senior wake anampigia saluti na lazma aifate itifaki.

Kama unaswali niulize
Naona umemsifia kijana wa JKT na kumdharau KMKM, FFU na kuendelea kummwagia sifa Mpaka security guard wa SUMA JKT
Unasahau hao Watuliza ghasia gerezani na mtaani wote wamepita kwenye ujana wa JKT.
Hata huyo kijana wa JKT unaemsifia akiajiriwa tu upande usioupenda basi atapoteza hizo sifa unazompa.

Muache kudharauliana, serikali inatambua kila mmoja ni mtaalam kwenye majukumu yake.
 
Kumekuwa na watu wengi tena wasomi na wengine ni viongozi wa serikali wanajua kwamba Ukisema mwanajeshi ni yule wa Jwtz ila ukisema askari ni wale wa mambo ya ndani yaani Magereza,polisi nk,,,,sasa twende pamoja uelimike na wewe uelimishe


Mwananajeshi ni muunganiko wa maneno mawili yaani
Mwana+jeshi=Mwanajeshi
Sasa basi hapa Tz tuna majeshi mbalimbali kila jeshi na majukumu yake yaani Jwtz,polisi,Magereza nk

Katika hali hiyo utakutana na Mwanajeshi wa Jwtz,Mwanajeshi wa jeshi la polisi,Mwanajeshi wa jeshi la Magereza nk (Hawa wote ni wanajeshi)

Elewa kwamba hakuna utambulisho wa askari KATIKA jeshi lolote wa kuitwa mwanajeshi bali wote katika Majeshi yote huitwa "ASKARI"
ISIPOKUWA askari hawa huko majeshini kwao hutenganishwa kwa kuitwa MAAFISA/ASKARI
Kwa maana Maafisa ni wale wenye single star na kuendelea
Na askari ni wale wenye kuanzia Private/constable/wdr mpaka RSM kama sijakosea

Nahitimisha kwa kusema kwamba majeshi yoooote yana askari
Na majeshi yoooote yana Wanajeshi wake.Naomba kuhitimisha mwenye swali karibu sana

Kwa msaada zaidi unaweza kusoma katiba Ibara 147 na ibara zake ndogo zote
Safiii mkuu naongezea Happ na ndo maana huitwa ASKARI JESHI - JW
ASKARI POLISI
ASKARI MAGEREZA n.k
 
Umechanganya mambo,kiswahili hakina msamiati wa kutosha,sie tukisema mwanajeshi tunamaanisha "member from army)sio police force,kwanza hata mafunzo yao ni tofauti,sasa wanakuaje Sawa?
Kule USA Kuna kitu kinaitwa "militarization of police force"yaani kufsnya polisi watende kama wanajeshi(army),sasa kama polisi ni Sawa na mwanajeshi,sasa kwanini Kuna kuifanya polisi iwe kama jeshi kivitendo?
Maelezo yako yatie kwenye lugha ya malikia utaona ulivyochemka.
Mfumo wa kiusalama wa marekani ni tofauti na Tanzania, Marekani wana Police Departments katika mfumo wa eneo husika, usilinganishe na Hapa kwetu ambapo polisi wamepewa hadhi ya Jeshi.
 
Kwa hiyo hiyo dhana ya kusema askari hawezi kuwa mwanajeshi halipo.

Majeshi ya kipolisi hayawezi kua na mwanajeshi,Ni suala la kulazimishatu. Ila hicho kitu hakipo.

Ukishajua mwanajeshi ninani,majukumu yake,wajibu wake na anapaswa kuwa wapi. Itatufanya tumalize ubishi. Pia ukifahamu wajibu na majukumu ya kipolisi. Hapo ndio utakua mwisho wa mabishano. Nani Mwanajeshi Nani Polisi. Mi ninacho kipinga ni kutokujua kua yeyote mwenye kushika silaha kwa kiswahili huitwa askali au kamanda haijalishi ni nani. Ona kwenye lugha za wenzetu hata mgambo atatambulika hivyotu kua yeye Ni mgambo (Militia). Askali wanyama poli the same (Ranger). Kwahyo nadharia ya askali kwa kiswahili ni kwa kila askali haijalishi ni nani. Ila Sasa kwenye majukumu ndio tunawatenganisha, nisieleweke vibaya.
Hiyo dhana haipo mkuu, nakumbuka mara ya kwanza kumuona Mtu mmoja kamanda ilikuwa katika mavazi ya Askari jesh lakini baadae nikmuona akivaa sare za Askari polisi nafikiri kwasasa yupo usalama barabarani
 
Sasa ungelitupatia ulinganifu wa hivyo vyeo kwa mtiririko, kwa mfano inspector wa Polisi ama SP akishikizwa jeshini atavishwa rank gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawezi kushikizwa jeshini, Tena ni
rahisi kwa raia wa kawaida kuitwa jeshini kushiriki Jambo fulani kuliko askali kutoka hizo idara za kipolisi. Na ukiona wanajeshi wapo na Polisi basi ujue ni joint operation ambayo wao Polisi ndio wameomba, ikiwa jeshi linataka kufanya operation uraiani Basi jukumu la kipolisi wanalichukua Polisi wa Jeshi. Na Polisi hawato luhusiwa kuingilia operation hyo. Japo inakua imeingilia majukumu yao.

Suala la renk. Inafatwa seniority nani katangulia kupewa kamishenj. Ila sisi Tanzania tumepenyezewa siasa hadi huko kwenye vombo vya ulinzi na usalama. Ndiomaana CDF,IGP,DG,CGP,nk Wanaudhulia mikutano ya kisiasa Tena simpletu hata hawana stress alafu wanatudanganya hawafungamani na chama chechote.

Hivyo kwakua kipolisi huwa wanapewa kamisheni na kukabidhiwa majukumu makubwa. Yaani wanapewa kamisheni na kukabidhiwa labda kuongoza ukurugenzi wa makosa ya jinai ndipo hapo huwa wanapewa heshima Kama wateule wa Rais ngazi ya Kati chini. Mnielewe hivyohivyo hakuna namna. Sasa huyo unamringanisha na Nani jeshini nikua hatumlinganishi na afisa yeyote yule,Bali tunamchukulia Kama mteule wa Mh Rais kwenye hiyo ngazi. Na watu pekee wanao wajibishwa kijeshi katika kutokutii wakubwa wao. Ni wale NCO'S Pekee hakuna afisa yeyote yule kuanzia insign kwenda mbele. Rabda tu awe kamtangulia kupata commission kwa hivyo 2Lt to Commissioner..
Sasa kuanzia hao ASCP/I kuja mpaka kwa inspector msaidizi, jeshi haliwatambui Kama Ni maofisa hivyo wakienda jeshini watapigwa refresher course Kisha watakua wanajeshi wakawaida Hilo ni swala ambalo hata wao hawawezi kukubali.

Haya mengine unayo yaona yanaendelea ni kujalibu kuondoa migogoro isiyo na maana.
 
Hiyo dhana haipo mkuu, nakumbuka mara ya kwanza kumuona Mtu mmoja kamanda ilikuwa katika mavazi ya Askari jesh lakini baadae nikmuona akivaa sare za Askari polisi nafikiri kwasasa yupo usalama barabarani
Kwahiyo Kaka unafikiri huyo atakua Polisi mwanajeshi?. Mtu pekee anayeweza kuvaa vazi la idara nyingine ni Mwanajeshitu. Na hao wengine wakivaa wanahakikisha hawaingii mikononi mwa jeshi. Hivyo yaweza kua ulimuona kavaa lakini alikua kaziiba pahala. Maana Polisi ni in charge wa wenzao wengine wa mambo ya ndani Sasa hawezi kujihusisha na mambo yeyote ya jeshi la ulizi.
 
Kwahiyo Kaka unafikiri huyo atakua Polisi mwanajeshi?. Mtu pekee anayeweza kuvaa vazi la idara nyingine ni Mwanajeshitu. Na hao wengine wakivaa wanahakikisha hawaingii mikononi mwa jeshi. Hivyo yaweza kua ulimuona kavaa lakini alikua kaziiba pahala. Maana Polisi ni in charge wa wenzao wengine wa mambo ya ndani Sasa hawezi kujihusisha na mambo yeyote ya jeshi la ulizi.
Hakuna Afisa/Askari anaeweza kuvaa vazi la Jeshi Jingine.

Acheni kulishana upropaganda.
 
Back
Top Bottom