Ndo ujue kuwa Jeshi ndiyo chombo cha ulinzi kinachowakilisha uimara wa kiulinzi ndani ya taifa lolote ikiwemo Tanzania.Kwann anaitwa raia mkakamavu?je kwnn rais upendelea kuvaa combat na c idara zngine za ulinzi?
Mkuu kama sijakosea umesema mrakibu wa jeshi la polisi, jeshini rank yake ni Chini ya captainKuna kitu hujakielewa vizuri.
Walipo itisha uchangiaji wa askali kutoka idara za mambo ya ndani, wote kwanza walipigwa refresher course ambayo iliwatoa tongotongo. Huwezi kumchukua askali polisi/magereza ukampeleka vitani. Amini watatupa silaha na kufutikia kusikojulikana. Mfano ni hiyo ishu ya Mtwara. Watu walikataa wakasema Hilo sio jukumu lao.
Hivyo taasisi za kipolisi haziwezi kuingia vitani,Ffu,Kmkm Bado hamna kitu. Kmkm mnawaitaga makomandoo, waliifanya misheni gani ya kimedani Hadi mkawapa hichocheo?. Au kuwashitukiza wafungwa na kuwapiga malungu na mabuti tayali mna kua CDO. Kama Ni hivyo mi nakuhakikishia vijana wa jkt na mgambo wakikabidhiwa gereza mtawaita tactical special force. Imagine SUMA JKT muwape kiwira mbona wafungwa watasema wanalindwa na SAS. Crt atlist ila bado huwezi ukawaambia hata wakawatoweshe Maimai.
Labda nikuachie kazi uifanye. Hivi unajua Kama mrakibu wa kipolisi akiitwa jeshini anaenda kuhudumu renk gani?.
ACP/ACI wetu akifika akimkuta captain wa jeshini la polisi China kama ni senior wake anampigia saluti na lazma aifate itifaki.
Kama unaswali niulize
Hapana hapo Chini nakupinga sisi tuliopita JKT tunaelewa... Huwez linganisha coarse ya Askari wa polisi na JWTZ[emoji23][emoji23][emoji23]... Mkuu hapo haupo sahihi Askari polisi anaishia kupata mafunzo Machache Sana ya kimedani na utumiaji silaha... Kuna silaha tukizipeleka polisi za kivita watashindwa kabisa kuzitumia..kwene course ya upolisi hufundishwi Sana mafunzo ya kimedani.... Na kaa ukijua hakuna jeshi lenye uweledi kimafunzo, kikamavu, kimkakati, na rasilimali zaidi ya jeshi la ulinziKuhusu refresher course hii inatolewa hata kama wanaoshiriki vita husika watakuwa ni Jwtz peke yake kwahy hilo umefeli,,,,alafu kupigwa refresher sio kwamba uaskari wako unakuwa na mashaka,hapana! Mfano kwenye mission za nje umakuta Jeshi la Ufaransa ama Us wanawapiga refresh askari kutoka nchi za Afrika kwhy hilo nalo ni kwamba majeshi hayajui kitu!!!? Kuhusu kuzifahamu vyema kazi ambazo wamekabidhiwa Jwtz hilo nalo sio hoja yenye mantiki kwa sababu Hata jwtz hawawezi kuzifahamu kazi za polisi kwa 100 % mpaka wapigwe refresh,,hivyo hivyo kwa Magereza Jwtz hawawezi kujua kazi zao bila kuwa refreshed,,,
Ulipokuja kuharibu nkaona unaleta ligi flani ambayo ipo cku zote kati w/ulinzi na w/ndani ni pale ulipoanza kuzidharau special forces ambazo ziko chini ya Magereza na Polisi,,hivi unafikiri kuwa mstari wa mbele kila siku kupambana na majambazi wenye silaha nzito ni mchezo na wengine ni askari waliofukuzwa au kuacha kazi huko huko jwtz lkn wanadhibitiwa ipasavyo na polisi hawa hawa,,,,Kumdhibiti mfungwa unadhani ni kazi nyepesi !!!? Kumbuka gerezani wahalifu ambao wengine ni makomandoo ambao wametoka huko huko jwtz ila wafanye ila wakifanya fyoko fyoko watasimulia jaramba watakalo kutana nalo
Kuhusu Mtwara mbona polisi walipiga kazi iliyotukuka na wale magaidi wakakimbia !!? Na pale iliunganishwa nguvu kutoka vyombo vyote sasa unaposema jwtz ndo walifanya kazi peke yao nakushangaa,,,,,Vipi kibiti napo hukuona kazi ya polisi kweli!!!?
Kuhusu kupigana vita hata raia anaweza kusonga front kumbuka vita ni ujasiri wala siyo mbwembwe,,,,kwhyo naamini hata Polisi na Magereza wakikabidhiwa jukumu la ulinzi wa Mipaka wanaliweza watakachohitaji ni uwezeshaji tu lkn kuhusu mafunzo msingi ya kijeshi wako fit tena sana
Walioko Jwtz ni watoto wetu tunawafahamu hawana maajabu yoyote yale,,,Sema tu dhamana na heshima waliyoibeba dhidi ya nchi hatunabudi kuwasema vizuri kama ilivyo kwa majeshi mengine ya Nchi,,,Wengine hata mimi raia najipigia vizuri tu hawana chochote ni bakabaka tu na crown ya nchi ndo tunaviheshimu sana kama ilivo kwa sare na crown za majeshi mengine
Kuna silaha ziko jeshi la Us zikiletwa jwtz hamuwezi kuzitumia,,,Je! Tuseme jwtz ni dhaifu kwa kutokujua silaha flani!!?Kwani JKT mlijifunza nini zaidi ya AK-47,SMG,LMG na tuliopita zamani jkt tuligusa RPG na G3 pia, hizi silaha ukienda polisi wanajifunza piaHapana hapo Chini nakupinga sisi tuliopita JKT tunaelewa... Huwez linganisha coarse ya Askari wa polisi na JWTZ[emoji23][emoji23][emoji23]... Mkuu hapo haupo sahihi Askari polisi anaishia kupata mafunzo Machache Sana ya kimedani na utumiaji silaha... Kuna silaha tukizipeleka polisi za kivita watashindwa kabisa kuzitumia..kwene course ya upolisi hufundishwi Sana mafunzo ya kimedani.... Na kaa ukijua hakuna jeshi lenye uweledi kimafunzo, kikamavu, kimkakati, na rasilimali zaidi ya jeshi la ulinzi
G3,Ak47 zipo kundi la SMG" sub machine gun". Usichanganye mambo, silaha kipolisi zinahifadhiwa na kutumika kwa level ya kituo,wilaya,mkoa Kisha makao makuu. Hivyo tusiweke mambo yote hapa. Jua kua askali wa kipolisi hufundishwa mwisho Lmg/Rpg kwasababu hizo Ni silaha za msaada ngazi ya Section mpaka platoon.Kuna silaha ziko jeshi la Us zikiletwa jwtz hamuwezi kuzitumia,,,Je! Tuseme jwtz ni dhaifu kwa kutokujua silaha flani!!?Kwani JKT mlijifunza nini zaidi ya AK-47,SMG,LMG na tuliopita zamani jkt tuligusa RPG na G3 pia, hizi silaha ukienda polisi wanajifunza pia
hujui lolote.unaongea mambo ya vijiweni.Kwakua sio ligi na nilichohitaji ukifaham umekifaham Basi hapo hakuna jipya.
Nikukumbushe uwezo wa kijeshi upimwa kwa mission/silaha nk, je! Magereza ili wawe wakali waende field na kundi linalo kinzana nalo kijeshi. Mfungwa muweke pembeni.
Nitarudi
Chunguza tena alivyokuwa kavaa hizo gwanda!Mkuu, mwananchi Omutontozi, kwa mantiki hiyo unataka tumuone amiri jeshi mkuu, akiwa ndani gwanda, za magereza, za polisi, za mgambo, za kikosi cha usalama wa raisi(PSU), za wanasalama barabarani, za JKT, za uamiaji, za zima moto, za wanyama pori, za wanamaji, za wanaanga na kadhalika, baadala ya kuonekana kutinga za jeshi la wananchi(JWTZ) pekee. Ili kuleta usawa katika kuwakilisha, hadhi ya majeshi hayo katika uso wa jamii, kwani kila moja lina umuhimu wa kwa taifa na kwa nchi kiujumla. Swali langu ni, hili, je amri jeshi mkuu, anapokuwa kavaa sare ya jeshi husika bila nyota hata moja, kwa maana ya kuwa afisa, na badala yake kuonekana kama askari wa kawaida, je maafisa wa jeshi hilo, ni sawa kupigia saruti sare, wanayo izidi cheo kimamlaka(kijeshi)?
Sasa ungelitupatia ulinganifu wa hivyo vyeo kwa mtiririko, kwa mfano inspector wa Polisi ama SP akishikizwa jeshini atavishwa rank gani?Kuna kitu hujakielewa vizuri.
Walipo itisha uchangiaji wa askali kutoka idara za mambo ya ndani, wote kwanza walipigwa refresher course ambayo iliwatoa tongotongo. Huwezi kumchukua askali polisi/magereza ukampeleka vitani. Amini watatupa silaha na kufutikia kusikojulikana. Mfano ni hiyo ishu ya Mtwara. Watu walikataa wakasema Hilo sio jukumu lao.
Hivyo taasisi za kipolisi haziwezi kuingia vitani,Ffu,Kmkm Bado hamna kitu. Kmkm mnawaitaga makomandoo, waliifanya misheni gani ya kimedani Hadi mkawapa hichocheo?. Au kuwashitukiza wafungwa na kuwapiga malungu na mabuti tayali mna kua CDO. Kama Ni hivyo mi nakuhakikishia vijana wa jkt na mgambo wakikabidhiwa gereza mtawaita tactical special force. Imagine SUMA JKT muwape kiwira mbona wafungwa watasema wanalindwa na SAS. Crt atlist ila bado huwezi ukawaambia hata wakawatoweshe Maimai.
Labda nikuachie kazi uifanye. Hivi unajua Kama mrakibu wa kipolisi akiitwa jeshini anaenda kuhudumu renk gani?.
ACP/ACI wetu akifika akimkuta captain wa jeshini la polisi China kama ni senior wake anampigia saluti na lazma aifate itifaki.
Kama unaswali niulize
Fahamu hivi.
Afisa wa jeshi ni mwanajeshi, lakini sio askali. Ni afisa au mwanajeshi.
Mwanajeshi anaweza kuwa askali lakini askali huwezi kuwa mwanajeshi. Labda baada ya training. Na vigezo vya kua mwanajeshi Ni kutokuwahi kuwa askali wa idara au service nyingine inayo tambulika katika ulinzi na usalama.
Mf. Agencies yeyote duniani ikihitaji kutrain watu au kusajiri. Huwa kunakigezo maalum kwa watu maalum, kwenda majeshi ya nchi zao. Hivyo ikitokea wamechukuliwa na watu kutoka defense force, huwa hata kazi zao ni tofauti pia.
Naona umemsifia kijana wa JKT na kumdharau KMKM, FFU na kuendelea kummwagia sifa Mpaka security guard wa SUMA JKTKuna kitu hujakielewa vizuri.
Walipo itisha uchangiaji wa askali kutoka idara za mambo ya ndani, wote kwanza walipigwa refresher course ambayo iliwatoa tongotongo. Huwezi kumchukua askali polisi/magereza ukampeleka vitani. Amini watatupa silaha na kufutikia kusikojulikana. Mfano ni hiyo ishu ya Mtwara. Watu walikataa wakasema Hilo sio jukumu lao.
Hivyo taasisi za kipolisi haziwezi kuingia vitani,Ffu,Kmkm Bado hamna kitu. Kmkm mnawaitaga makomandoo, waliifanya misheni gani ya kimedani Hadi mkawapa hichocheo?. Au kuwashitukiza wafungwa na kuwapiga malungu na mabuti tayali mna kua CDO. Kama Ni hivyo mi nakuhakikishia vijana wa jkt na mgambo wakikabidhiwa gereza mtawaita tactical special force. Imagine SUMA JKT muwape kiwira mbona wafungwa watasema wanalindwa na SAS. Crt atlist ila bado huwezi ukawaambia hata wakawatoweshe Maimai.
Labda nikuachie kazi uifanye. Hivi unajua Kama mrakibu wa kipolisi akiitwa jeshini anaenda kuhudumu renk gani?.
ACP/ACI wetu akifika akimkuta captain wa jeshini la polisi China kama ni senior wake anampigia saluti na lazma aifate itifaki.
Kama unaswali niulize
Safiii mkuu naongezea Happ na ndo maana huitwa ASKARI JESHI - JWKumekuwa na watu wengi tena wasomi na wengine ni viongozi wa serikali wanajua kwamba Ukisema mwanajeshi ni yule wa Jwtz ila ukisema askari ni wale wa mambo ya ndani yaani Magereza,polisi nk,,,,sasa twende pamoja uelimike na wewe uelimishe
Mwananajeshi ni muunganiko wa maneno mawili yaani
Mwana+jeshi=Mwanajeshi
Sasa basi hapa Tz tuna majeshi mbalimbali kila jeshi na majukumu yake yaani Jwtz,polisi,Magereza nk
Katika hali hiyo utakutana na Mwanajeshi wa Jwtz,Mwanajeshi wa jeshi la polisi,Mwanajeshi wa jeshi la Magereza nk (Hawa wote ni wanajeshi)
Elewa kwamba hakuna utambulisho wa askari KATIKA jeshi lolote wa kuitwa mwanajeshi bali wote katika Majeshi yote huitwa "ASKARI"
ISIPOKUWA askari hawa huko majeshini kwao hutenganishwa kwa kuitwa MAAFISA/ASKARI
Kwa maana Maafisa ni wale wenye single star na kuendelea
Na askari ni wale wenye kuanzia Private/constable/wdr mpaka RSM kama sijakosea
Nahitimisha kwa kusema kwamba majeshi yoooote yana askari
Na majeshi yoooote yana Wanajeshi wake.Naomba kuhitimisha mwenye swali karibu sana
Kwa msaada zaidi unaweza kusoma katiba Ibara 147 na ibara zake ndogo zote
Mfumo wa kiusalama wa marekani ni tofauti na Tanzania, Marekani wana Police Departments katika mfumo wa eneo husika, usilinganishe na Hapa kwetu ambapo polisi wamepewa hadhi ya Jeshi.Umechanganya mambo,kiswahili hakina msamiati wa kutosha,sie tukisema mwanajeshi tunamaanisha "member from army)sio police force,kwanza hata mafunzo yao ni tofauti,sasa wanakuaje Sawa?
Kule USA Kuna kitu kinaitwa "militarization of police force"yaani kufsnya polisi watende kama wanajeshi(army),sasa kama polisi ni Sawa na mwanajeshi,sasa kwanini Kuna kuifanya polisi iwe kama jeshi kivitendo?
Maelezo yako yatie kwenye lugha ya malikia utaona ulivyochemka.
Hiyo dhana haipo mkuu, nakumbuka mara ya kwanza kumuona Mtu mmoja kamanda ilikuwa katika mavazi ya Askari jesh lakini baadae nikmuona akivaa sare za Askari polisi nafikiri kwasasa yupo usalama barabaraniKwa hiyo hiyo dhana ya kusema askari hawezi kuwa mwanajeshi halipo.
Majeshi ya kipolisi hayawezi kua na mwanajeshi,Ni suala la kulazimishatu. Ila hicho kitu hakipo.
Ukishajua mwanajeshi ninani,majukumu yake,wajibu wake na anapaswa kuwa wapi. Itatufanya tumalize ubishi. Pia ukifahamu wajibu na majukumu ya kipolisi. Hapo ndio utakua mwisho wa mabishano. Nani Mwanajeshi Nani Polisi. Mi ninacho kipinga ni kutokujua kua yeyote mwenye kushika silaha kwa kiswahili huitwa askali au kamanda haijalishi ni nani. Ona kwenye lugha za wenzetu hata mgambo atatambulika hivyotu kua yeye Ni mgambo (Militia). Askali wanyama poli the same (Ranger). Kwahyo nadharia ya askali kwa kiswahili ni kwa kila askali haijalishi ni nani. Ila Sasa kwenye majukumu ndio tunawatenganisha, nisieleweke vibaya.
Hawezi kushikizwa jeshini, Tena niSasa ungelitupatia ulinganifu wa hivyo vyeo kwa mtiririko, kwa mfano inspector wa Polisi ama SP akishikizwa jeshini atavishwa rank gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo Kaka unafikiri huyo atakua Polisi mwanajeshi?. Mtu pekee anayeweza kuvaa vazi la idara nyingine ni Mwanajeshitu. Na hao wengine wakivaa wanahakikisha hawaingii mikononi mwa jeshi. Hivyo yaweza kua ulimuona kavaa lakini alikua kaziiba pahala. Maana Polisi ni in charge wa wenzao wengine wa mambo ya ndani Sasa hawezi kujihusisha na mambo yeyote ya jeshi la ulizi.Hiyo dhana haipo mkuu, nakumbuka mara ya kwanza kumuona Mtu mmoja kamanda ilikuwa katika mavazi ya Askari jesh lakini baadae nikmuona akivaa sare za Askari polisi nafikiri kwasasa yupo usalama barabarani
Polisi wanaupiga mwingiNnachoona hapa ni Polisi kujitutumua kushindana na JWTZ
Hakuna Afisa/Askari anaeweza kuvaa vazi la Jeshi Jingine.Kwahiyo Kaka unafikiri huyo atakua Polisi mwanajeshi?. Mtu pekee anayeweza kuvaa vazi la idara nyingine ni Mwanajeshitu. Na hao wengine wakivaa wanahakikisha hawaingii mikononi mwa jeshi. Hivyo yaweza kua ulimuona kavaa lakini alikua kaziiba pahala. Maana Polisi ni in charge wa wenzao wengine wa mambo ya ndani Sasa hawezi kujihusisha na mambo yeyote ya jeshi la ulizi.
Walimu sasa tujiandae, shule ya msingi na sekondari nani zaidi.Nnachoona hapa ni Polisi kujitutumua kushindana na JWTZ