Maji ya baraka ya (RC) vs maji ya upako ya (Mwamposa)

Mtume Meshach wa UKWELI ministry, Amiel Katelela, Mwakasege, Mch Misholi, Mch Maghembe, Askofu Gwajima, Mch Gamanywa , nk nk.

Pia usisubiri kutajiwa, wapo wengi, Muulize Roho mtakatifu atathibitisha.
Unatumia kigezo kipi?
 
Kuhani na Mwalimu Musa Mwacha...

Mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu...

Vifaa vyake vinaitwa vitakatifu au vya kiroho...

Kuna maji, mafuta nk...

Tuanze na maji, yapo ya aina nyingi...

Maji ya mfuniko mweupe ndio maji yanayofichua vilivyosirini ila ukiamini kwa jina la YESU utapata majibu...
 
😂 Donatila Kulingana na biblia, huo wadhifa wa mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni Yesu Kristo je, Kuhani Musa anakaimu au vipi?
 
[emoji23] Donatila Kulingana na biblia, huo wadhifa wa mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni Yesu Kristo je, Kuhani Musa anakaimu au vipi?
YESU ni Kuhani Mkuu...

Sipendi kuwasema wapakwa mafuta wa Bwana, ila kifupi tu Kuhani Musa ni mtumishi anayetumiwa na Bwana...

Namshukuru Mungu hata mimi kwa kupitia mafundisho ya neno la Mungu kwa Kuhani Musa nimekuwa na nguvu za Rohoni...

Ninaouwezo wa kujua kuwa mtumishi huyu ni wa Bwana kwa kupitia Roho Mtakatifu..

Na mambo yajayo...

Bwana YESU atukuzwe
 
Maji ya baraka unayanunua kwa sadaka, zaka unazotoa. Biashara ni ile ile sawa na Mwamposa.
 
Nyie mnaofananisha uganga wa buldoza na kanisa katoloki ni kama kufananisha kifo na usingizi
 
Wanao tumia ndio wanajua nguvu ya hayo maji na keki za upako

tofauti ipo
 
Mi ni mkristo ila nimecheka jinsi ambavyo hukuzingatia mafundisho ya kipaimara.Eti damu kweli na mwili kweli!!!! Mwenyewe Aliumega Mkate akawapa akisema.....fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu.
Ule ni mfano wa kukumbuka.Tungekuwa tunakula mwili wake wa ukweli tangu enzi hizo si huo mwili ungekuwa umeisha? Kha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…