Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 3,000
- 5,606
Maji ya Kilimnjaro yalifariki na mzee Mengi mwenyewe maana sikuhizi sio kwa chumvi hiyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe siuwe una nunua kwa kabila lako acha kulalamika by the way charity begins at home, usipo myungisha ndugu yako huo ni uzwazwaJamaa ni nouma Sana yaani kuuza bidhaa za wengine hakuna yaani Wana ukenya Ile mbaya. Itafikia hakuna kununua maduka Yao Mana na wao huwa hawanunui maduka ya wengine aka vyasaka
Mimi nwenyewe sinywi too much chumvi wakati zamani yalikuwa na ladha ka maji ya chemchemiYana chumvi balaa. Hupati ile taste original ya clean water; sijui walifanyaje!
Hill water maji yao matamu sana aisee, walete Sasa yale makubwaMaji ya Kilimanjaro yalianza kuchakachuliwa Tangu mzee Mengi alipofariki Yalianza kuwa na chumvi balaa!! Kwa kweli na ukweli toka Moyoni Hill water wana maji Matamu sana!!Napenda hill water kuliko maji yoyote yale
Hata mikoani tu yana chumvi hivo hivo nimekunywa mwanza, Arusha hata dodoma ni same too much chumvi ka uhaiMaji ya kilimanjaro tunayokunywa dar sio yale yanayotoka bonite. Yanantengenezwa hapo kibaha tu. Hata taste yake ni.chumvi tu. Tofauti kabisa na ukinywa yale origional ya moshi/arusha
Huijui Arusha Vizuri Mkuu!! Biashara ya miguu ya kuku na utumbo ipo sana, Ingia Ngarenaro oysterbay barabarani kabisa utaikuta, sogea matejoo ktkt pale utaikuta Tena Wananogesha na vindizi vya kukaanga.85% ya wakaazi wa Dar ni masikini wa kutupa!! Wengi huishi chini ya mstari wa dola moja kwa siku sasa watawezea wapi maji ya 1ltr kwa 1000-1500?
Hill water ni 500 tu unapata lita so ni kawaida ndo maana huwezi kuta biashara ya miguu na utumbo wa kuku iringa au Arusha.
Unyonge unawatafuna sana, chuki kwa wachanga imekuwa kubwa kwa taarifa tu hata hayo Hill water ni Mchaga Hillary Shoomchaga mbaguzi sana yeye anaweka maji ya kilimanjaro tu dukani kwake halafu anakwambia inauzikana sana sasa hivi maji ya kilimanjaro hawapati soko ndio maana uzalishaji mdogo
Hill water inauzika kwa sababu ya taste yake na sio uchagga bidhaa yoyote nzuri it obvious itapata wateja na sio kwa ajili ya kabilaMbona Hill Water nayo ni ya mchaga, au wachaga wanabaguana wenyewe?
Hao Kilimanjaro walijisahau.Yaani bei 1/2 lita ya kilimanjaro,unapata lita 1.5 ya uhai masafi au afya.Ubora wa maji ni ule ule.wajinga pekee ndiyo wanaweza poteza hela kijingaHill Water ndo yanaongoza kwa kuuzika huku Dar, yakifatiwa na Afya, Masafi etc.
Maji ya Kilimanjaro yapo kwa uchache sana Madukani, sijui Bonite hawana stock ya maji au watu hawayanunui tena.
Jibu mujarabu sana hili. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]85% ya wakaazi wa Dar ni masikini wa kutupa!! Wengi huishi chini ya mstari wa dola moja kwa siku sasa watawezea wapi maji ya 1ltr kwa 1000-1500?
Hill water ni 500 tu unapata lita so ni kawaida ndo maana huwezi kuta biashara ya miguu na utumbo wa kuku iringa au Arusha.
Dew drop je?afya ndio inauzika sana nenda kwa wauza maji wenye maduka wakwambie mimi nauza maji afya ndio inayoongoza tanzania sio dar tu
Hukupata habari kuwa tuko uchumi wa kati?85% ya wakaazi wa Dar ni masikini wa kutupa!! Wengi huishi chini ya mstari wa dola moja kwa siku sasa watawezea wapi maji ya 1ltr kwa 1000-1500?
Hill water ni 500 tu unapata lita so ni kawaida ndo maana huwezi kuta biashara ya miguu na utumbo wa kuku iringa au Arusha.
Ishu ni bei ndugu.Hill Water ndo yanaongoza kwa kuuzika huku Dar, yakifatiwa na Afya, Masafi etc.
Maji ya Kilimanjaro yapo kwa uchache sana Madukani, sijui Bonite hawana stock ya maji au watu hawayanunui tena.
Yanachumvi'aje wakati kitaalamu tunaambiwa hayo siyo maji ya 'kudimbula' bali ni purified (distilled)water, yaani maji mvuke!Maji Yana chumvi na poor quality nilikuwa mpenzi wa hayo maji ila sikuhizi sitaki kuyaona. Sijui Wana kwama wapi aisee, hata package yake tu ni shida
Uhai kubwa lita 1.5 wanauza buku jero, eti wanaita sapong jinga sana hawa watu