Maji ya chupa ya Kilimanjaro yameanza kupotea sokoni Dar

Maji ya chupa ya Kilimanjaro yameanza kupotea sokoni Dar

Maji ya kilimanjaro iliwalenga watu wenye uwezo....
Baada ya wadau kuingia kwa kasi ktk biashara ya maji na kuuza kwa bei ya chini hapo ndipo soko la maji ya kili ilipoanza potea
Ila naona mpaka sasa maji ya kili bado wanawalenga watu fulani tu

Ova
Yanawalenga vipi na huku hata pH yake sio Ile ya 7.3865 ambayo ndo ya mwili.
Binafsi huwa nakunywa maji yaliyo na pH from 7.2+ Mana hapa body inatakiwa uwe katika alkaline media zaidi kuliko acidic media.

Naona wameanza kulialia kuwa hawajateuliwa Tena Mana na maji Yao hayanunuliwi.
 
85% ya wakaazi wa Dar ni masikini wa kutupa!! Wengi huishi chini ya mstari wa dola moja kwa siku sasa watawezea wapi maji ya 1ltr kwa 1000-1500?

Hill water ni 500 tu unapata lita so ni kawaida ndo maana huwezi kuta biashara ya miguu na utumbo wa kuku iringa au Arusha.
Hapo Kwenye utumbo na miguu ya kuku umeongopa, Ngarenaro, majengo, unga ltd, matejoo haziko Arusha?
 
Huna uwezo wa kufikia kutokununua kitu kwa mchaga
Na hapa nishajua Mana nimekugusa. Ukiweka biashara Moshi hakuna wa kununua kazi ni kuuliza huyu jamaa wa wapi.
Yaani mna ubaguzi,unakumbuka chifu wa kibosho alivyoshirikiana na wajerumani kumpiga mangi wa marangu.
Hiyo ni nguvu ya ukabila.
Unajua Ethiopia kinachoendelea. Rwanda 94 unakumbuka,Nigeria ndio usiseme.
Kuna muda walilamika kuwa mbona hatujateuliwa enzi zile ilikuwa ni elimu saivi Hadi kuku wamesoma Sasa sijui kigezo kingine kinakuwa ni Nini.

Mkuu ukabila na udini ni mbayaa mno.
Yaani bado ukiwa Moshi mjini mmachame atajiona Yuko juu ya mmarangu na mtabaguana.
Unakumbuka Ile clip ya mkibosho anamaindi kijana wake kumuoa mmchame Bora akawe padri.
Wewe kisa umesoma na hela unazo sio kisa Cha kumdharau jirani yako kuwa hafai kuishi,ama kuwa na wadhifa fulani Bali wewe tu.

Cheki hii sheli ya olasiti ya hapa mwanza magari yote ya huko yanajaza mafuta huko.
Kwingine hakuna.
Unaijua nguvu ya ukabila ndugu.
 
Mchaga mbaguzi sana yeye anaweka maji ya kilimanjaro tu dukani kwake halafu anakwambia inauzikana sana sasa hivi maji ya Kilimanjaro hawapati soko ndio maana uzalishaji mdogo
Afu wanajitetea ya kwao ni classic kwa u class gani na huku oh yake hata sio favourable mwilini. Cheki Mana ya Mana pH mwilini na magonjwa mengi huwa yanastawi huku mwili ukiwa katika acidic media kuliko alkaline.

Kwa ushauri mzuri ukiwa unakula unakunywa kitu cheki he kitakuongezea pH iwe alkaline ama inashusha to acidic media.
 
Na hapa nishajua Mana nimekugusa. Ukiweka biashara Moshi hakuna wa kununua kazi ni kuuliza huyu jamaa wa wapi.
Watakutukana sana lakini hoja yako ina mshiko kabisa. Kwa upande wangu maji ya Kilimanjaro yamebadilika sana tu Chumvi ni nyingisana. Pia kuna maji yanaitwa TUKUYU ni mazuri sana.
 
Huna uwezo wa kufikia kutokununua kitu kwa mchaga
Maji ya Kilimakyasharo natawazia chooni mbona ama unataka nipige video call nilionyesha mkuu.
. Sema waafrika pia hatuna uwezo wa kurithi biashara,ulizaliwa baba akiwa nazo unabweteka.
Mengi biashara zake akaachia MTT wa dada na wa Kaka yake watt wake hakuna kitu.

Waafrika tunafeli Sana tunajua ukabila na udini ngono na dance na hakuna kitu.

Cheki Kama biashara labda yaweza kwenda mpaka kizazi Cha 5.
Mangi bana, weee ni mkibosho mmarangu,mmachame ama mie ni kyasaka so unawajua vyasaka akina vishoia.

Egoism inakutafuna mangi,ego is demon residing to your soul
 
Watakutukana sana lakini hoja yako ina mshiko kabisa. Kwa upande wangu maji ya Kilimanjaro yamebadilika sana tu Chumvi ni nyingisana. Pia kuna maji yanaitwa TUKUYU ni mazuri sana.
Wao wanajua ama wanajiamini wao ndio wajanja Tanzania nzima.
Sawa baabu zao walisoma huku babu zetu wakichunga ng'ombe ilo hatukatai Sasa saivi hatuchungi na watt wetu na wetu watasoma pia.

Kama vipi tutawanyike kila kabila liwe ni nchi inayojitegemea.
Ukabila na udini ni sumu mbaya. Mana ni Imani na Imani Ina nguvu Sana inakuja kuwa sawa na emotions ambazo not controlled
 
Hill Water ndiyo yanaongoza kwa kuuzika huku Dar, yakifatiwa na Afya, Masafi etc.

Maji ya Kilimanjaro yapo kwa uchache sana Madukani, sijui Bonite hawana stock ya maji au watu hawayanunui tena.
Huku kanda ya ziwa tupo na jambo
 
Wao wanajua ama wanajiamini wao ndio wajanja Tanzania nzima.
Sawa baabu zao walisoma huku babu zetu wakichunga ng'ombe ilo hatukatai Sasa saivi hatuchungi na watt wetu na wetu watasoma pia.

Kama vipi tutawanyike kila kabila liwe ni nchi inayojitegemea.
Ukabila na udini ni sumu mbaya. Mana ni Imani na Imani Ina nguvu Sana inakuja kuwa sawa na emotions ambazo not controlled
Nakuelewa sana tu, kuna mambo mengi yanaendelea lkn tuombe MUNGU atusaidie tusifikie kila kabila kuwa nchi. Wenzetu wana ubaguzi (wao wanaita umoja) wa hovyo sana
 
Maji ni Afya tu mi nishawauliza wauzaji wengi wa mtaani na madukani wanakwambi Afya ni baba lao Sasa hivi naona na pangani anajitahidi sema aongeze uzalishaji.
 
Kwa mikutano ya wakubwa bado meza zinapambwa na maji ya Kilimanjaro. Kama unajiweza ni maji ya uhakika.
 
Jamaa ni nouma Sana yaani kuuza bidhaa za wengine hakuna yaani Wana ukenya Ile mbaya. Itafikia hakuna kununua maduka Yao Mana na wao huwa hawanunui maduka ya wengine aka vyasaka.
Niambie duka la mchagga uliloenda na kukuta bidhaa zote anazouza ni za wachaga wenzake!! Yaani kuanzia chumvi hadi vibiriti na dawa ya meno,watu mna bichuki vya ki3enge sana na hao wachaga,tena bila sababu ya maana,hebu ona kama wewe hapo umejidhalilisha mchana kweupe
 
Hill Water ndiyo yanaongoza kwa kuuzika huku Dar, yakifatiwa na Afya, Masafi etc.

Maji ya Kilimanjaro yapo kwa uchache sana Madukani, sijui Bonite hawana stock ya maji au watu hawayanunui tena.
Sio kweli kwa dar maji yanayouzika sana kwa sasa ni AFYA!!na ndio yamempiku UHAI, utafiti mdogo nilioufanya hayo hill water yananyweka , huko ushuani, lakini kwa kuanzia kariakoo, tmk, mbagala, buguruni, gongolamboto, kuna hata watu hawayafahamu!!kuna baadhi ya maeneo lita 1.5 ya maji ya Afya Yanauzwa kwa 500!!
 
Ruka kama Mangi! Kutwa kudangi dangi! Eeh! Nimewachapa kidudee! Hakichomoki kidudee! 😂😂
Mwaka 97 Kama ulikuwa mkubwa Mombasa walizipiga kuwa wahamiaji wa makabila mengine warudi kwao waachie wenyeji mji wao.
Kuna watu wakiaambiwa wakae kwao watawahi kufa. Ardhi hawana tokea enzi za mkoloni walikuwa wanapigania ardhi.

Tigray wanajiona wao ni Bora Sana wanataka kujitenga Mana awamu hii watu wao hawajapewa uongozi serikalini.
Walizoea wao tu kuila nchi saivi wamewekwa kando so wanaumia Sana.
Haya magari ni ya mmachame,mmarangu ,mkibosho ama ni wasiha,mu uru ,mu old Moshi ,na huko bado marangu na huko bado Kuna koo, Koo ipi ya mbowe ama ipi, Mana usikute hata Koo yako haijulikani kwa chochote Kama vyasaka ama vishoia tu unajitapa na Mali za mrombo kumbe wewe ni mkibosho
 
Back
Top Bottom