Kwa sisi tunaofanya water quality,tunakuambia kuwa maji yanayotengenezwa dar es salaam yote chanzo chake Ni DAWASCO,kasoro maji ya AFYA tu,yaliyopo kigamboni.
Utajiuliza Ni kwa nn? Jibu Ni rahisi tu ,kutumia maji ya dawasco gharama ipo chini,maana tayari wameshacontrol pH(alkalinity na acidity)kitu ambacho kwenye utengenezaji wa maji Ni gharama kidogo,hvyo kwa kutumia maji ya dawasco Kuna gharama utaziepuka,Ni vitu vidogo utatakiwa ugharamike Kama kiasi Cha chlorine kwenye maji,kiasi Cha mwanga unaipita kwenye maji(turbidity)
Ukija kwenye maji ya chemchem kama kitulo,udzungwa, Kilimanjaro,ndanda, Abbey n.k vitu Kama pH na nutrients zingne vpo katika uwiano mzuri kasoro chlorine baadhi ya maji inakuwa ipo juu inayopelekea hata meno kuungua
Kwa hyo sio kweli maji ya Kilimanjaro Yana chumvi,labda Ni fake,pia sio kweli kwamba maji ya Kilimanjaro yanatengenezwa kibaha,
Maji ya Kilimanjaro yanatoka Moshi ,eneo linaitwa shirimatunda Kama unaenda TPC
Hauwezi kuita maji ya Kilimanjaro Kama hayatoki eneo husika,