Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekata tiket kutok moshi kwenda Arusha?! 🥋💈🙂Mleta uzi any update..
Nime login kwa ajili ya huu uzi maaana niko moshi na ninategemea kusafiri saa kumi na mbili jion ya leo na nimeshakata ticket🥺🥺🥺
Umekata tiket kutok moshi kwenda Arusha?! 🥋💈🙂
Ahirisha safari mamaMleta uzi any update..
Nime login kwa ajili ya huu uzi maaana niko moshi na ninategemea kusafiri saa kumi na mbili jion ya leo na nimeshakata ticket[emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Mleta uzi any update..
Nime login kwa ajili ya huu uzi maaana niko moshi na ninategemea kusafiri saa kumi na mbili jion ya leo na nimeshakata ticket🥺🥺🥺
Moshi ipi, hiyo jioni wapita ArushaMleta uzi any update..
Nime login kwa ajili ya huu uzi maaana niko moshi na ninategemea kusafiri saa kumi na mbili jion ya leo na nimeshakata ticket🥺🥺🥺
Wakati wenzako wanasoma Geography kuhusu circle ya formulation ya mvua ulikuwa bize kula kamasiNajiulizagaa hivi kwann maji yakishafika huku chini ndio yanaleta shida? Mbona yakiwa huko juu mawinguni hayaleti shida? Uko mawinguni yanatulizwaje wenge?
Mimi kesho na mimi huyo naelekea mwanza.Nimekata ticket kutoka Arusha kwenda Mwanza mimi niko moshi
Sasa mleta uzi ameitolea wapi hii habari?Nipo king'ori hapa Hali shwari magari yanapita bila shida tena ukifika panone n vumbi tupu labda huko mbele ngoja tuone