Street Hustler
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 2,175
- 4,299
Huenda kulikuwq na changamoto hyo ila pale kia hapafai maji yanatiririka hatari japo mvua haijanyesha maneno hayo huko milimani kama Sanya, ngare, west huenda Kuna mvua kubwa sana.Sasa mleta uzi ameitolea wapi hii habari?
Huko juu yanakuwa mbali mbali. Huku chini yanaunganaNajiulizagaa hivi kwann maji yakishafika huku chini ndio yanaleta shida? Mbona yakiwa huko juu mawinguni hayaleti shida? Uko mawinguni yanatulizwaje wenge?
Ya mjiniMoshi ipi, hiyo jioni wapita Arusha
Nashukuru sana mkuu.wacha nianze safari.ubarikiweHuenda kulikuwq na changamoto hyo ila pale kia hapafai maji yanatiririka hatari japo mvua haijanyesha maneno hayo huko milimani kama Sanya, ngare, west huenda Kuna mvua kubwa sana.
Barabara ipo salama Sasa nipo boma
Mungu akutangulie kwrnye safari yako mkuu.Mimi kesho na mimi huyo naelekea mwanza.
Kwenye kitimoto panaitwaje??Daaah kin'gori hapo ni tatizo kubwa la mda mrefu na linaojulikana.hapo ni kusubiri hadi yapungue.ukiweza chukua namba ya mtu uwe unamcheki akujulishe yatapopungua.kasikilizie pale boma kuna dada mmoja anatengeneza kitimoto safi sana yuko ndani ndani hivi kidogo kutoka main road
maji yanatumia haki yake ya kikatibaMleta uzi any update..
Nime login kwa ajili ya huu uzi maaana niko moshi na ninategemea kusafiri saa kumi na mbili jion ya leo na nimeshakata ticket🥺🥺🥺
Njoo hapa kiriwe upate lunchHuenda kulikuwq na changamoto hyo ila pale kia hapafai maji yanatiririka hatari japo mvua haijanyesha maneno hayo huko milimani kama Sanya, ngare, west huenda Kuna mvua kubwa sana.
Barabara ipo salama Sasa nipo boma
Asante mkuu.nilikuwa na mawazo kha😁Gari zimeanza kupita toka saa 3 asubuhi. Hakuna maji kwa sasa.
Fata ratiba ya Gari .Nimekata ticket kutoka Arusha kwenda Mwanza mimi niko moshfata
Nimekata ticket kutoka Arusha kwenda Mwanza mimi niko moshi
Niko moshi Sasa baadae nikigeuza nitakusoma
PoaNiko moshi Sasa baadae nikigeuza nitakusoma