Majibu haya ya Lissu kwa Lema juu ya ujio wake, yananifanye niwaze kuwa kuna Power of Nature iliyo nyuma ya Lissu ambayo hata yeye mwenyewe haielewi

Majibu haya ya Lissu kwa Lema juu ya ujio wake, yananifanye niwaze kuwa kuna Power of Nature iliyo nyuma ya Lissu ambayo hata yeye mwenyewe haielewi

I really wish angebaki ulaya,labda hataki kuonekana amekua msaliti wa nchi yake kwa kubaki ulaya...anatoa sadaka usalama wake ili tu asionekane msaliti... very sad..
Hayo maneno kawaambie Lumumba wenzako. Eti mnajifanya mnampenda sasa na kumshauri abaki ulaya ili muendeleze ufedhuli wenu. Hapana, yaliyotokea Malawi lazima yatokee Tanzania mwaka huu. Na mpende msipende yanaenda kutokea.
 
Nilimuuliza haugopi?akajibu siogopi!Nikamwambia,wanaweza kukupiga risasi tena au ukafungwa kwa hila,akajibu NIKO TIYARI kwa lolote.Mungu ni mwema,Kamanda Tundu Lissu kurudi nyumbani kwa mapambano tena ni muujiza wa Mungu mwenyewe.Nitakuwepo Dar es Salam kumpokea siku ya jumatatu-Godbless Lema on twitter.

Maoni yangu
:
Nikisoma katikati ya mistari,napata hisia kuwa, wasiwasi au mashaka haya ya Lema juu ya usalama wa Lissu, si tu ni mashaka ya Lema peke yake,bali pia yatakuwa pia ni mashaka walioyonayo viongozi wengine wa CHADEMA, na Lema kaamua kuweka wazi hili ili umma ujue kuwa Lissu kaamuaa mwenyewe kuja na si kwa kushawishiwa au kushurutishwa na viongozi wenzake katika chama(kuna watu wanaweza kuwaza hivyo).

Kwa mtazamo wangu,pengine jambo kubwa hapa ni kuwa,kuna nguvu kubwa inayomsukuma Lissu na ambayo hata Lissu mwenyewe atakuwa haielewi, na ili malengo yatimie,ni lazima Lissu apite katika hatua alizopita na pengine kuna hatua zingine atapaswa kupita kabla ya kutimia yaliyopangwa kutimia kupitia Lissu iwe ni leo,kesho,keshokuwa au vinginevyo.

Ni hisia zangu pia kuwa, hata katika ngazi ya familia, watakuwa wamejadili hili jambo, ila bado naamini ni nguvu hiyo ndio ili-prevail na ku-influence uamuzi kuwa Lissu arudi.

Hint:Tukumbuke wengi walikuwa hawaamini kama Lissu anaweza kurudi, ila ndio hivyo anarudi.

Let's wait and see how this Power works/influence things.
Chadema wakimtosa lissu ndiyo mwisho wao walijue hilo
 
Well, mi ni pro-Magufuli kindakindaki.

Ila Lissu akirudi halafu serikali imdhuru au imkamate au imbugudhi kwa namna mmoja au nyingine nitawashangaa sana dola na nikiri wazi hii itatia doa image ya Magufuli niliyonayo kwake.
Kuna 'level' ya ukichaa inayoweza kuvumilka?

Beyond that, any level headed human will not tolerate.

Itaonekana wazi hatuna kiongozi, bali tuna shetani.

Kati ya yote haya yanayoendelea ndani ya nchi sasa hivi, halafu kiongozi afanye ushetani huu, yeye atakuwa anazo akili kichwani kweli?
 
I really wish angebaki ulaya,labda hataki kuonekana amekua msaliti wa nchi yake kwa kubaki ulaya...anatoa sadaka usalama wake ili tu asionekane msaliti... very sad..
Kama Tundu Lisu atamatwa na vyombo vya dola au kufanywa lolote, nitaamini kuwa kweli ndani ya Serikali, kuna upungufu mkubwa wa watu wanaohitajika kuwa ndani ya Serikali. Hata mtu mwenye ujinga wa wastan, hawezi kufanywa hivyo.

Kuna wajinga watataka kumharibia Rais Magufuli huku wakijifanya wanampenda na kujipendekeza kwake. Watashangaa watakapoangukia pua. Rais amesema juzi kuwa Polisi wasiwabughudhi wanasiasa. Wawaache washindane alimradi hawavunji sheria.

Kama kuna mtu hakuelewa ujumbe ule, basi ana upungufu mkubwa.

Juzi TAKUKURU wameumbuka kwa kufanya mambo ya hovyo kwa nini ya kujipendekeza kwa Rais, Rais akawaumbua. Watakaofuatia watakuwa Polisi.

Rais Magufuli hatakubali wakati yeye akifua kanzu yake, wengine waipakaze kinyesi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui ni kwanini Siku zote Mbwa hupenda sana Kujipeleka kwa Nyoka aina ya Chatu ili akamezwe na Kuuwawa nae hata kama ukijitahidi Kumzuia.
Message za aina peleka kwa wahutu wenzio kule Rwanda ndio wamezizoea, ila kwa kifupi nikijibu swali lako wataalamu wa hayo mambo wanasema chatu kawaida hutoa harufu flani nzuri akiwa katika mawindo yake, anaweza toa hata harufu ya kuku aliewiva vizuri, hivyo mbwa huwa anashindwa kujizuia.
 
I really wish angebaki ulaya,labda hataki kuonekana amekua msaliti wa nchi yake kwa kubaki ulaya...anatoa sadaka usalama wake ili tu asionekane msaliti... very sad..
Huruma aliyonayo mtoto wa kike.
 
Nilimuuliza haugopi?akajibu siogopi!Nikamwambia,wanaweza kukupiga risasi tena au ukafungwa kwa hila,akajibu NIKO TIYARI kwa lolote.Mungu ni mwema,Kamanda Tundu Lissu kurudi nyumbani kwa mapambano tena ni muujiza wa Mungu mwenyewe.Nitakuwepo Dar es Salam kumpokea siku ya jumatatu-Godbless Lema on twitter.

Maoni yangu
:
Nikisoma katikati ya mistari,napata hisia kuwa, wasiwasi au mashaka haya ya Lema juu ya usalama wa Lissu, si tu ni mashaka ya Lema peke yake,bali pia yatakuwa pia ni mashaka walioyonayo viongozi wengine wa CHADEMA, na Lema kaamua kuweka wazi hili ili umma ujue kuwa Lissu kaamuaa mwenyewe kuja na si kwa kushawishiwa au kushurutishwa na viongozi wenzake katika chama(kuna watu wanaweza kuwaza hivyo).

Kwa mtazamo wangu,pengine jambo kubwa hapa ni kuwa,kuna nguvu kubwa inayomsukuma Lissu na ambayo hata Lissu mwenyewe atakuwa haielewi, na ili malengo yatimie,ni lazima Lissu apite katika hatua alizopita na pengine kuna hatua zingine atapaswa kupita kabla ya kutimia yaliyopangwa kutimia kupitia Lissu iwe ni leo,kesho,keshokuwa au vinginevyo.

Ni hisia zangu pia kuwa, hata katika ngazi ya familia, watakuwa wamejadili hili jambo, ila bado naamini ni nguvu hiyo ndio ili-prevail na ku-influence uamuzi kuwa Lissu arudi.

Hint:Tukumbuke wengi walikuwa hawaamini kama Lissu anaweza kurudi, ila ndio hivyo anarudi.

Let's wait and see how this Power works/influence things.
Nguvu hiyo ni uweza wa Mungu, ndiyo nguvu iliyomuepusha na kifo na ndiyo nguvu itakayomwezesha kuwa Rais wa awamu ya sita. Mungu akisema ndiyo hakuna mwanadamu awezaye kupinga.
 
Kwa Ushauri wangu!!
Lisu angekadili na uongozi wa Chadema na kufikia Muafaka kuwa wasifanye shamra shamra za mapokezi kwa sababu ya Kuheshimu Uafrika wetu wakati huu wa Msiba mkubwa wa Kitaifa.

Nafikiri Lisu angesema mwenyewe kuwa anawaomba watanzania waendelee na Maombolezo ili kutoligawa taifa kihisia.
Kuepuka watu wa Tiafa moja kuwa na hali tofauti kwa wakati mmoja hawa wanashangilia na hawa wanaomboleza.

Namkubali sana Lisu.
Hekima ni Roho toka kwa Mungu. Ukikosa hekima uongozi unakua mgumu sana. Lisu atumie hekima na Busara wakati huu.
Ghasia na vurumai zikitokea wakati huu wa Maombolezo litakua ni jambo lisilo na Busara wala Hekima. Wanaweza wakamuacha wasimkamate lakini wananchi hawa hawa wanaopenda kuona mila zetu na utaifa wetu unatuunganisha watakosa imani na Lisu na kumuona kuwa ni mtu Katili asiyejali hata hisia za wanafamilia ya Mkapa. Hii itakua ni dosara kubwa. Bora hata angeahirisha mpaka Hayati B.W. Mkapa akazikwa kwa heshima.

Ningekua ni Mimi Lisu , ambaye kwa kiwango Kikubwa nimewahi kufanyiwa ubaya na roho mbaya sana na binadam kuliko hata wanyama wa mwituni ningefanya yafuatayo :-
Ama ningesogeza Mbele tarehe ya kurejea nchini mpaka Mazishi ya Hayati Mkapa yapite au Ningekuja lakini ningewaomba watanzani wenye mapenzi mema na Taifa letu wasifanye mapokezi yoyote na shamra shamra kubwa za mapokezi.
Baada ya kutua Air Port ningekwenda moja kwa moja mpaka kwa Hayati Benjamin Mkapa kumpa Mkono wa Pole Mjane wa Marehemu mama ana Mkapa.
Hii ingemjengea heshima kubwa sana kitaifa na kimataifa na kuwafundisha vijana wadogo hasa wa miaka ya 82 na wazee ndani ya mavyama ya siasa kuwa Chuku haiondolewi kwa Chuki Bali huondolewa kwa Upendo. Giza linaondolewa na NURU.
Kwenda Moja kwa moja kwenye msiba ingempa nafasi kubwa ya kuonana na watu wengi,miongoni mwao ni Wale walioshangilia mateso yake. Hii pia italeta hisia na imani kubwa kwa Watanzania kuamini kuwa Lisu sio mtu wa visasi zaidi ya amani.

Ni ushauri wangu tu kwa kuwa Sijawahi kumwona Lisu akiwa na ubaya na mtu zaidi ya kupambana kwa hoja za kisiasa.

Lakini pia kuna jambo naliona dhahiri toka kwa Mbowe na wenyeviti wengine wa vyama; wanatamani Jambo lingine baya zaidi limpate Lisu ili iwe ndiyo kafara yao kisiasa wakati huu wa kuelekea kwenye uchaguzi lakini kwa hakika hawana nia njema na Lisu zaidi ya kutaka kuona serikali inakosea kwa kumkamata Lisu na kuibua Tafrani ili eti Mabeberu ya huko Gomora yaibuke na kuiwekea serikali vikwazo vikali kwa kutoheshimu haki za binadam.
Ikumbukwe kuwa endapo Lisu atafanya jambo litakalofanya akamatwe basi ni dhahiri kuwa yeye ndiye atakayebebeshwa lawama kubwa kuwa amejitakia na akitiwa Gerezani ni dhahiri kuwa hataachiwa mpaka uchaguzi upite, jambo litakalomnyima fursa ya kufanya kampeni kwenye mikutano ya hadhara.
Lakini kwenda kwenye msiba kimya kimya na kushikana mikono na watu kama Waheshimiwa Ma Spika wa zamani na Mzee Joseph Warioba na wengine kutaleta hisia kubwa za utaifa. Endapo Lisu atatangaza hadharani kuwa wapenzi na mashabiki wake watulie kipindi hiki kigumu kwa familia ya Mkapa na taifa kwa ujumla litakua ni jambo litakaloifanya serikali ikose sababu za kumtendea Lisu ubaya.

Pia naishauri Serikali iepuke kumkamata Lisu wakati huu wa Maonbolezo makubwa ya Taifa na pia kuelekea uchaguzi Mkuu.
Tuiache asili na mila za kiafrika zihukumu endapo Lisu na Mbowe watahamasisha kufanyika kwa mapokezi na shamra shamra zifanyike wakati huu wa Msiba.
Watanzania na waafrika watasikitika sana kuona Lisu akishindwa kuheshimu mila na Desturi za kiafrika wakati wa msiba.
Lisu atajipunguzia maksi yeye Mwenyewe.

Huu ndio wakati wa Serikali na Tundu wa kuonyesha Hekima,Busara na maarifa makubwa kuhusiana na Ishu ya Lisu.
Hili jambo la msiba mbona linakuzwa sana,kwani wiki hii ya maombolezo watu hawafanyi kazi,na lipi limetangulia ujio wa Lissu au msiba wa Rais mstaafu? Kwani watu si wanaomboleza ndani ya mioyo yao au kuna activity inayoonekana kwa macho inayoitwa maombolezo?
 
Chadema wakimtosa lissu ndiyo mwisho wao walijue hilo
Aliyekuambia wanamtosa ni nani, au unasikiliza umbea wa nguruwe wa Lumumba? Wanatamani wajue kinachoendelea ndani ya Chadema lakini wameshindwa ndiyo maana wanaleta mada chokonozi na Chadema wamewazimia simu wamebaki ku speculate tu.
 
Huyu jamaa maisha yamekuwa magumu ulaya ndio maana analazimisha kurudi nyumbani kumbukeni ya mwana mpotevu.
Nilimuuliza haugopi?akajibu siogopi!Nikamwambia,wanaweza kukupiga risasi tena au ukafungwa kwa hila,akajibu NIKO TIYARI kwa lolote.Mungu ni mwema,Kamanda Tundu Lissu kurudi nyumbani kwa mapambano tena ni muujiza wa Mungu mwenyewe.Nitakuwepo Dar es Salam kumpokea siku ya jumatatu-Godbless Lema on twitter.

Maoni yangu
:
Nikisoma katikati ya mistari,napata hisia kuwa, wasiwasi au mashaka haya ya Lema juu ya usalama wa Lissu, si tu ni mashaka ya Lema peke yake,bali pia yatakuwa pia ni mashaka walioyonayo viongozi wengine wa CHADEMA, na Lema kaamua kuweka wazi hili ili umma ujue kuwa Lissu kaamuaa mwenyewe kuja na si kwa kushawishiwa au kushurutishwa na viongozi wenzake katika chama(kuna watu wanaweza kuwaza hivyo).

Kwa mtazamo wangu,pengine jambo kubwa hapa ni kuwa,kuna nguvu kubwa inayomsukuma Lissu na ambayo hata Lissu mwenyewe atakuwa haielewi, na ili malengo yatimie,ni lazima Lissu apite katika hatua alizopita na pengine kuna hatua zingine atapaswa kupita kabla ya kutimia yaliyopangwa kutimia kupitia Lissu iwe ni leo,kesho,keshokuwa au vinginevyo.

Ni hisia zangu pia kuwa, hata katika ngazi ya familia, watakuwa wamejadili hili jambo, ila bado naamini ni nguvu hiyo ndio ili-prevail na ku-influence uamuzi kuwa Lissu arudi.

Hint:Tukumbuke wengi walikuwa hawaamini kama Lissu anaweza kurudi, ila ndio hivyo anarudi.

Let's wait and see how this Power works/influence things.
 
Kwani hata asingerudi angeishi ulaya milele? Hata wanaopanga njama zozote zile nao wataishi milele?
 
Hana lolote huyo hakuna hata mmoja anayehangaika naye tuko busy na maombolezo ya Rais Mstaafu Mkapa.
Wacha wafu wazikane,tunaenda Darisalama kumpokea Lissu.
Kwataarifa yako Singida mabasi ya kesho yamejaa hakuna nafasi.
Watu wanachangiama magari binafsi kwenda Dar kumpokea Mteule wa Mungu
 
Hana lolote huyo hakuna hata mmoja anayehangaika naye tuko busy na maombolezo ya Rais Mstaafu Mkapa.

Tuliomboleza kifo cha Mwl. Nyerere na maisha yaliendelea.

Tunaomboleza kifo na hatinaye mazishi ya Mpendwa wetu, lakini maisha ni lazima yaendelee.
 
Well, mi ni pro-Magufuli kindakindaki.

Ila Lissu akirudi halafu serikali imdhuru au imkamate au imbugudhi kwa namna mmoja au nyingine nitawashangaa sana dola na nikiri wazi hii itatia doa image ya Magufuli niliyonayo kwake.
Kumkamata inawezekana Ka sababu ana kesibmahakamani
 
Hana lolote huyo hakuna hata mmoja anayehangaika naye tuko busy na maombolezo ya Rais Mstaafu Mkapa.
Usiseme hivyo kuna watu humu watasema hii ni episode ya 5 baada ya kura za maoni, Covid 19 kuzuma shamrashamra za ujio wa mzee wa MIGA. Wengi huaminishwa matukio hutengenezwa kuzima matukio yanayomuhusu, mfalme wa FB
 
Lisu hana hekima hiyo eti azuie watu wasimpokee kwa maandamano.


Kwanza hao wanaompokea kwa maandamano ni kina nani?

Watu wamepigwa na kushuka kwa uchumi kwa sababu ya covid 19,Vitisho vya polisi kuwaweka ndani,na hofu ya ugonjwa bado ipo,wanawezaje kuandamana?
 
Hana lolote huyo hakuna hata mmoja anayehangaika naye tuko busy na maombolezo ya Rais Mstaafu Mkapa.
Basi msihangaike kumfuatilia, kunyweni bia mtuache sie malofa na wapumbavu tumpokee’The chosen one’.
 
Wanachadema , ninaweka kumbukumbu, kuwa tukisoma Between the lines ya hili bandiko la SS na Mazungumzo ya Lema kama alivyotueleza, inaonyesha kuna Jambo linatungwa na tunatayarishwa kiakili.

Tunajua Lissu maisha yake yote ya siasa amekipa taabu sana CCM na serekali yake, na ataendelea. Jee Lissu kwa huu uchaguzi wa CDM wa mpeperusha bendera amekuwa mwiba kooni mwa baadhi ya viongozi, na kuna mbinu inafanyika?
 
Lisu hana hekima hiyo eti azuie watu wasimpokee kwa maandamano.


Kwanza hao wanaompokea kwa maandamano ni kina nani?

Watu wamepigwa na kushuka kwa uchumi kwa sababu ya covid 19,Vitisho vya polisi kuwaweka ndani,na hofu ya ugonjwa bado ipo,wanawezaje kuandamana?
Tunampokea kama kiongozi wa chama kwanza, pili kama raia aliye nusurika kifo kwa risasi 16 mwilini mwake.
 
Back
Top Bottom