Majibu Kwanini Wasanii Wetu Hawaitwi Kwenye Steji Kubwa Duniani

Japo kuna mibata mzinga inayoendekeza ubishi itakuja kupinga hapa, lakini ulichoandika ni facts tupu.

Kubwa zaidi kuliko yote ni kwamba wa Tanzania tunaongoza kwa chuki binafsi. Hatuna mipaka ya ushabiki na hatujui kutofautisha chuki na ushabiki.

Wanigeria hata wakiwa mahasimu kiasi gani nyumbani lakini hata siku moja huwakuti wakikandiana nje ya kwao.

Kwetu hapa Diamond akichaguliwa kipengele cha kimataifa sisi wenyewe tukiongozwa na wasanii wetu ndio tunashika bango kumpinga na kuandika upuuzi mitandaoni.
Tunarajia kuitwa na nani ikiwa sisi wenyewe hatujithamin.

Daima charity begins at home.
 
Tu washamba sana na waoga.

Fikiria hata project nyingi tu za movie za Hollwood huwa wanatamani kuja kufanyia hapa ila unakuta vikwazo kibao. wanaamua kuacha na kuchagua sehemu nyingine.

Sad indeed.
 
Hivi vitu 4 ni vya muhimu sana:-
  • Lugha
  • Mpangilio wa shairi
  • Ujumbe wa shairi
  • Mdundo wa muziki

There's more to that—native English speakers umwambie asikilize conversation in Pidgin English hawezi elewa na hata nyimbo zao huwa hawaelewi wanacheza tu. Mimi mmatumbi mwenyewe huwa sielewi wanachosema kwenye nyimbo zao.

Unapokuja kwenye swala la technicalities za music tuna wasanii wengi sana wakali, mathalani, Ali Kiba, Barnaba, FidQ, Prof J, Jay dee, Rayvanny, Rama Dee nk nk. Hawa wote wana sauti, mashairi yamesimama na midundo mikali. Wamefika walipofika.

Vp Congolese na wasanii wa West Africa wanaoimba kifaransa kabisa wamefika wapi?

Music kama tasnia zingine is a team sport, huwezi toboa peke yako. Unapoishia wewe mwenzako inabidi akupokee au akushike mkono. Kuna wanigeria wengi kwenye boardrooms za maamuzi hence wanapeana mashavu.
 
"nyie" nyingii sana......wewe mtoa mada Raia wa wapi?

Mmatumbi halisi. Ukinisoma mstari wa mwisho nimesema Dayamondi, Samatta and the likes wanaenda kwa speed ambayo wabongo wengi hatujafikia including mimi. Badala ya kuwanyoshea vidole tujiangalie sisi kwa kuwa-let down.
 

True.
 

I couldn't agree more mkuu. Let alone wanaija, Kenya tu hapa kila siku tunasema wakabila ila wakiwa nje wana ushirikiano wa hali ya juu. Sisi tofauti zetu ndogo tunazikuza na tunaenda nazo hadi nje.
 
Tatizo ni bangi na umalaya ndio vinatukwamisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…