Majibu Kwanini Wasanii Wetu Hawaitwi Kwenye Steji Kubwa Duniani


Umemaliza mkuu. Asante
 
Hata msanii wao mkubwa kacheza kwenye series moja kubwa tu US ya POWER. Shemeji yetu
 
Hujaelewa Comment yangu, Rudi kasome tena au urudi shule? Uchague moja.
 
Siukatai Uloko wao... Ila Basi waimbe Kiswahili Fasaha. Nyimbo zinazoharibu Lugha yetu binafsi sizipendi.

Mkuu I don't condone nyimbo zisizo tumia Kiswahili fasaha ila mziki wa nchi yeyote ile una vionjo vya namna hiyo. Ni kwa sababu Nigeria hamuelewi vizuri lugha yao ila lazima na wao wanamatumizi yasiyo sahihi ya lugha.

Leo rappers wa US ukisikiliza mziki wao kuna muda hutoki na kitu hawa kina Lil Lil something ila ndo wanasikiizwa zaidi.
 
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Strong argument, bravo.
 
Nikufikirishe kidogo...South Africa ambayo ina wazungu kibao..wa south kibao wapo nje..Tajiri no 1 dunian ana asili ya south..mboma wasanii wao hawa hit kama wa Nigeria? Au hawaimbi kingereza wanaimba kizulu[emoji849]?
Kwamba maeehemu aka

Casper nyovest

Costa Tec

Na wengine wengi Wote hawa wanaimba kizulu
 
Kwamba maeehemu aka

Casper nyovest

Costa Tec

Na wengine wengi Wote hawa wanaimba kizulu

Kama wanaimba kingereza kwanini hawajafika UEFA, WC, Grammys etc etc.. hapo ndo unagundua mziki sio lugha tu there's more to it. Ukiacha nchi kadhaa kama bongo na Kenya zinazoshobokea amapiano huko duniani mziki wao haupo kabisa. Hao wasanii inawezekana Dayamondi kawaacha mbali pamoja na kwamba anaimba Kiswahili tu.
 
Wasanii wenyewe ndio hawa kina Harmonize wako busy na matako?
 
Wasanii wenyewe ndio hawa kina Harmonize wako busy na matako?

TZ msanii ni Harmonize tu?

Vp enzi za Fella Kuti wa NG na kina Marijani bongo au the 2000s era maana hii tofauti haijaanza leo.

Nigeria hawapendi matako? Msemo wa Nyash ni wa nchi gani?
 
Kitu kingine
Watanzania tunapenda comfort zone yani mtu hata kwenda Kenya kutembea na kujaribu maisha hataki
Kila ukikutana na ndugu anakushauri uache kazi private uhakikishe unapata kazi serikalini
 
Kitu kingine
Watanzania tunapenda comfort zone yani mtu hata kwenda Kenya kutembea na kujaribu maisha hataki
Kila ukikutana na ndugu anakushauri uache kazi private uhakikishe unapata kazi serikalini

Kweli mkuu 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…