Majibu Kwanini Wasanii Wetu Hawaitwi Kwenye Steji Kubwa Duniani

Majibu Kwanini Wasanii Wetu Hawaitwi Kwenye Steji Kubwa Duniani

Naandika huu uzi baada ya kumsoma kamikaze kwenye uzi wake: Mafanikio ya mwanamuziki Burna Boy, Nini tunajifunza!

If anything wasanii wabongo inabidi walalamikie ufinyu wa watanzania wengine nje ya nchi hususani in the boardrooms.

Nigerians wapo wengi ndani na nje ya nchi yao. Unaposikia msanii wa naija kajaza ukumbi nje unakuta zaidi ya watu humo ndani ni Nigerians wenyewe. Unategemea Dayamondi ajaze ukumbi vp nje? Nyie wabongo mpo wangapi? Nani wakulalamika hapo dayamondi au nyie?

Nigeria ina timu ya basketball ambayo players wake wote wamezaliwa na wanacheza USA. Unashangaa vp msanii wa Nigeria kutumbuiza all-star game? Nyie bongo mna players wangapi NBA? Nani atawashika mkono huko NBA? Hapo wakulalamikiwa ni dayamondi au nyie wabongo wengine?

Nigeria ina hadi timu ya Bobsleigh sport, probably hujawahi usikia. Ni mchezo wa kwenye ice ila Nigeria hamna ice kabisa kama bongo tu, unadhani wanajuaje kuucheza? Players wake wote wamezaliwa na wanaishi USA. Utashangaa vp msanii wa Nigeria kuitwa kwenye function ya bobsleigh?

Bado NFL. Watu wenye asili ya Nigeria ni wengi kuliko kawaida kwenye huu mchezo. In a yr or two kuna msanii wa NG atatumbuiza kwenye superbowl believe me you. Nyie mna wachezaji wangapi NFL?

Kanu, Okocha, Ihenacho, Obi Mikel, Victor Moses na sasa Osimhen wa Napoli wote ni Nigerians, nyie wachezaji wenu wangapi wamefika UCL? Timu yenu ya taifa lini imeenda World cup? Bado unashangaa wasanii wa Nigeria kuitwa kwenye stage ya UEFA?

Viongozi wa Nigeria wamewahi na bado wanashika nyadhifa mbalimbali duniani more than any other country in Africa. Wapo kwenye boardrooms za maamuzi, nyie mpo wapi? President wa Toronto Raptors Masai Ujiri ni mnigeira, Ime Udoka aliyekuwa kocha wa Boston Celtics ni mnigeria. Unadhani wakiambiwa walete mtumbuizaji watamleta Marioo au msanii wao?

Kama you're reading btn the lines utagundua uraia-pacha plays a big part as well. Wanigeria kibao wamezaliwa na kukulia nje including Burna boy mwenyewe aliyekulia UK, Davido kazaliwa US ila wanapeperusha bendera ya NG. Nyie mna uraia pacha?

If anything wasanii wetu wamefanya kazi yao, hawana deni kabisa. Dayamondi, Samatta na wasanii wengine walipofika ni juhudi zao binafsi and they can only do so much. Wanaenda kwa speed ambayo wabongo wengine hawana, we're letting them down. Samaki ndani ya aquarium hawezi kuwa mkubwa zaidi ya aquarium yenyewe.

Nipo around mazee.
Nikufikirishe kidogo...South Africa ambayo ina wazungu kibao..wa south kibao wapo nje..Tajiri no 1 dunian ana asili ya south..mboma wasanii wao hawa hit kama wa Nigeria? Au hawaimbi kingereza wanaimba kizulu[emoji849]?
 
Thabeet, Samatta na Diamond wamepambana kiasi chao lakini tungekuwa na wapambanaji wengi kwenye fani tofauti tofauti wangekuwa wanatiana morari.
Bado tuna safari ndefu sana kama point of reference tunayalazimisha kuitumia ni Nigeria, ukiacha connections zao, aggressiveness yao, exposure yao pamoja na pesa wanazowekeza wenyewe kwenye kila idara walikuwa juu tangu miaka mingi iliyopita hivyo wanasaidiana na kuonyeshana njia ili kupunguza vikwazo vya njia ya kufika kwenye mafanikio.
Mpaka tapeli kubwa mitandaoni ni mNaija. Sasa tutawaweza vipi hawa wajuba. Tupambane tu kivyetu, hawa jamaa ni habari nyingine.
 
usirudie tena kuwahusisha Bi.Kidude & Remmy Ongala na huo upuuzi mwingine.
Ndiyo maana nimekuuliza how old are you??

Yani unamtaja mr.nice kwenye list moja na Bi.Kidude na Remmy Ongalla alafu unauliza wameshawahi kufanya wapi show 😂

Strictly Tanzania ndiyo mziki gani 😂

List the shows. List the venues. List the dates okoa nguvu na muda.

Singeli ni mziki wa wapi na umefika wapi?

Vp tasnia zingine wabongo mpo wangapi au napo hamna identity yetu? Nimelist soka players na NBA players kwenye uzi wangu, nitajie wabongo. Bado finance and technology

If you can't name the names I rest my case.
 
Nikufikirishe kidogo...South Africa ambayo ina wazungu kibao..wa south kibao wapo nje..Tajiri no 1 dunian ana asili ya south..mboma wasanii wao hawa hit kama wa Nigeria? Au hawaimbi kingereza wanaimba kizulu
emoji849.png
?

Ni nadra sana kumkuta msouth anaishi nje ya nchi yao permanently.

Network ya wanaija runs deeper than ya wasouth. Wasouth wapo nchini mwao tu.

Kuna almost 1M Nigerians in the US pekee, wasouth inawezekana hata elfu20 hawafiki.

Nitajie wachezaji wakubwa wa michezo wasouth Africa? Nitajie prominent fiqures kutoa SA 10 tu afu angalia Nigeria kila sekta uone kama utakosa.

Kuna wasouth wangapi bongo afu uliza wanigeria upelekwe hadi viwanja vyao hapo hapo bongo.

Musk alizalowa SA ila he doesn't give a single fck about it. Hata kuitamka tu hataki it disgusts him.
 
Bora wasanii hao kuliko kwenye sports, movies, professionals(doctors, engineers, journalists, authors, pilots etc) hata kwenye biashara kimataifa hatupo kabisa. Msanii wa music japo kiuhalisia tunaye mmoja tu anayepambana/anayepambanishwa kimataifa but against odds he is fighting.
Hatujawahi kuwa na basketball player let's wa hata kufikiriwa kupambana kiwango alichofika Hakeem Olajuwon au football player wa kufikiriwa kupambana kiwango alichofika Mikel Obi au Nwako Kano au JJ Okocha, Watanzania wengi wivu na hate ndiyo hufanya mtu anayepambana achukiwe.

Asante. Sijui watu wanashindwa vp kuelewa hii concept. The bigger your presence in other sectors, the more opportunities.
 
Fella Kuti wakati anapiga shows MGM Grand Arena kina Marijani na Mbaraka Mwinshehe walikuwa wanapiga shows DDC Kariakoo au lango la Jiji au Amana Bar Ilala.

Watasema Mbaraka na Marijani hawakua na identity.
 
Kuna wakati pia tukubali kwamba kuna watu wametuzidi vipaji naturally.... Kenya & Uganda wanaongea kiingereza vizuri lakini kimuziki tuko juu yao. USA na Qatar ni matajiri kupindukia ila kwenye riadha wanazidiwa na nchi maskini Kenya kiasi kwamba wanagawa uraia kwa wanariadha wa hiyo nchi tena kwa kuwashawishi. South Africa pamoja na utajiri wake ila kwenye mpira inakalishwa na nchi maskini kabisa. Mimi nadhani nchi iweke nguvu kwenye vitu ambavyo tuna vipaji navyo. Kwa mfano ndondi na riadha.

Word.
 
Wakongo walishatoboa kimataifa Ndugu Mdau. Mpaka Bongo na Africa Mashariki yote walishaiteka kwa muziki wao. Kwa aina yao ya muziki wao ni bendi zaidi tofautisha na hiki kitu kinaitwa "muziki wa kisasa wa vijana" huu anafanya mtu mmoja jukwaani.

BTS sio band? Unaweza fananisha na band gani ya Congo? Naongelea international recognition nje ya East Africa.
 
Thabeet, Samatta na Diamond wamepambana kiasi chao lakini tungekuwa na wapambanaji wengi kwenye fani tofauti tofauti wangekuwa wanatiana morari.
Bado tuna safari ndefu sana kama point of reference tunayalazimisha kuitumia ni Nigeria, ukiacha connections zao, aggressiveness yao, exposure yao pamoja na pesa wanazowekeza wenyewe kwenye kila idara walikuwa juu tangu miaka mingi iliyopita hivyo wanasaidiana na kuonyeshana njia ili kupunguza vikwazo vya njia ya kufika kwenye mafanikio.

I couldn't agree more.
 
Hata wa tz waliofika huko wachoyo balaa kutoa connection kwa wenzao wanajiona wamefika sana mtu ukimsalimia anajibu kwa mbalii kama vile ndio mtoa VISA labda Kuna huyu jamaa mkigoma bwana EBM naona kaamua kutoa fursa watu wapambane waende duniani huko kujichanganya.
 
Katika sentensi yangu nimeongelea muziki mkuu, ndo maana nimemtaja yeye kama top artist wetu, huo mpira siuelewi ndugu
Basi kama mpira hauulewi angalia hata fani nyingine uone Wapopo walivyotuacha mbali(doctors, engineers, pilots, fashion designers, movie actors/actresses, business personalities, radio/Tv presenters hapo nimetaja kwa uchache tu). Ni vizuri kufikiria kuchuana nao lakini ujue hatuwezi kama hakuna mikakati jumuishi, kutegemea tu talents za individuals peke yake hututaweza kuwafikia wala kuwakaribia.
 
Basi kama mpira hauulewi angalia hata fani nyingine uone Wapopo walivyotuacha mbali(doctors, engineers, pilots, fashion designers, movie actors/actresses, business personalities, radio/Tv presenters hapo nimetaja kwa uchache tu). Ni vizuri kufikiria kuchuana nao lakini ujue hatuwezi kama hakuna mikakati jumuishi, kutegemea tu talents za individuals peke yake hututaweza kuwafikia wala kuwakaribia.

Mkuu Asante sana for clarification. Inashangaza kuona watu hawaoni how these things are intertwined.

Wamekomaa na mziki lakini Mimi nilisema we fall short in each and every sector. Wanasema mziki hauna identity, sijui kuna identity gani in sports, finance, technology, medicine etc etc. Thanks
 
Nikufikirishe kidogo...South Africa ambayo ina wazungu kibao..wa south kibao wapo nje..Tajiri no 1 dunian ana asili ya south..mboma wasanii wao hawa hit kama wa Nigeria? Au hawaimbi kingereza wanaimba kizulu[emoji849]?
Artist ambaye Wazungu wanam-rate kwamba ni namba moja kutoka Africa ni Black Coffee and he is a South African, hit song ambayo imevunja records kwa nchi za Wazungu kutoka Africa ni Jerusalema and it's a South African track.
Tokea enzi za kina Huma Sekela, Miriam Makeba South Africa haijawahi kuwa nyuma kimuziki globally.
Tatizo la South Africans kwa ile lifestyle yao huwa wanaridhika sana na soko la ndani na ukiona katoboa international wengi inakuwa ni opportunity imemfuata mlangoni, US ukiuliza best hip hop artist kutoka Africa watakutajia Nasty C who is a South African.
Hivyo basi pamoja na kwamba hawako aggressive sana lakini wapo, mfano hawatoi movies nyingi kama Wapopo lakini movies zao ndiyo hutoboa kimataifa(globally) kuliko za Wapopo.
 
Ni nadra sana kumkuta msouth anaishi nje ya nchi yao permanently.

Network ya wanaija runs deeper than ya wasouth. Wasouth wapo nchini mwao tu.

Kuna almost 1M Nigerians in the US pekee, wasouth inawezekana hata elfu20 hawafiki.

Nitajie wachezaji wakubwa wa michezo wasouth Africa? Nitajie prominent fiqures kutoa SA 10 tu afu angalia Nigeria kila sekta uone kama utakosa.

Kuna wasouth wangapi bongo afu uliza wanigeria upelekwe hadi viwanja vyao hapo hapo bongo.

Musk alizalowa SA ila he doesn't give a single fck about it. Hata kuitamka tu hataki it disgusts him.
Kuhusu waSouth, naona wao mazingira ya nchi yao yanawaruhusu kupambana na kufanikiwa. Actually SA ina uchumi mkubwa na opportunities kuliko nchi nyingi za Ulaya Mashariki. Si ajabu hawa Waafrika wengine tunakimbilia huko.
 
Singeli ni mziki wa wapi na umefika wapi?

Mnahitaji identity gani kutoboa in sports, finance, technology etc etc.
Singeli una miaka mingapi!? By the way hatuwezi kufanana katika kila nyanja. Wakati wanariadha wetu wanafanya vizuri akina Ikangaa ,Nyambui na wengine, hao waNaija hawakuwepo.!?
 
Artist ambaye Wazungu wanam-rate kwamba ni namba moja kutoka Africa ni Black Coffee and he is a South African, hit song ambayo imevunja records kwa nchi za Wazungu kutoka Africa ni Jerusalema and it's a South African track.
Tokea enzi za kina Huma Sekela, Miriam Makeba South Africa haijawahi kuwa nyuma kimuziki globally.
Tatizo la South Africans kwa ile lifestyle yao huwa wanaridhika sana na soko la ndani na ukiona katoboa international wengi inakuwa ni opportunity imemfuata mlangoni, US ukiuliza best hip hop artist kutoka Africa watakutajia Nasty C who is a South African.
Hivyo basi pamoja na kwamba hawako aggressive sana lakini wapo, mfano hawatoi movies nyingi kama Wapopo lakini movies zao ndiyo hutoboa kimataifa(globally) kuliko za Wapopo.
Hata Wapopo wanachukua vionjo vyao vya Amapiano. Mfano mzuri Buga.
 
Back
Top Bottom