Majibu Kwanini Wasanii Wetu Hawaitwi Kwenye Steji Kubwa Duniani

Majibu Kwanini Wasanii Wetu Hawaitwi Kwenye Steji Kubwa Duniani

Labda kwenye sekta zingine lakini kwa wasanii hatuna, shoo zao utasikia sema yeeah
Bora wasanii hao kuliko kwenye sports, movies, professionals(doctors, engineers, journalists, authors, pilots etc) hata kwenye biashara kimataifa hatupo kabisa. Msanii wa music japo kiuhalisia tunaye mmoja tu anayepambana/anayepambanishwa kimataifa but against odds he is fighting.
Hatujawahi kuwa na basketball player let's wa hata kufikiriwa kupambana kiwango alichofika Hakeem Olajuwon au football player wa kufikiriwa kupambana kiwango alichofika Mikel Obi au Nwako Kano au JJ Okocha, Watanzania wengi wivu na hate ndiyo hufanya mtu anayepambana achukiwe.
 
Kuna miji mikubwa tu Burna Boy anajaza ukumbi mzima ni wazungu hakuna wa nigeria wala SA kama wapo ni wachache sana na anauza tiketi zote kabla ya tamasha.

Dhana ya kwamba wasanii wa nigeria wanafanakiwa kwenye shoo za kimataifa eti kwasababu wananigeria ni wengi huko nje ni dhana potofu na ni kichaka tu cha kukwepa uhalisia kuwa wasanii wa Tz wanaotamba nyumbani hawana identity zao kimataifa kwasababu hawako Original wanacopy kwa hao wanigeria na SA na ndiyo maana wanigeria na SA wanaongoza kuiwakilisha Africa kimataifa.

Mfano: kati ya Asake OG na Asake feki ni yupi kati ya wawili hawa atakayesikilizwa na kuaminika kimataifa zaidi ya mwenzake??
Nakubali. Ni kama Fela Kuti alivyojulikana mpaka nje ya Nigeria. Identity muhimu sana.
 
You missed the point, ili Burna boy ajaze huo uwanja hao promoters wanaompa hiyo show are more than likely kuwa ni wanigeria wenyewe au wanaangalia mtu gani ambaye tayari ana fanbase besides the locals. I believe unajua wanaija wapo kila kona.

Wanigeria wapo in the boardrooms. Wakati wa maoni ya nani aitwe kutumbuiza kwenye shows mbalimbali duniani wao ni part ya watoa maamuzi hence wanapeana mashavu. Ndo maana nimesema unashangaa vp mnigeria kutumbuiza kwenye NBA All-stars mchezo ambao tayari una watu wenye asili ya Nigeria kibao from players, makocha hadi presidents wa timu. Nikianza kuorodhesha execs wenye asili ya Nigeria kwenye kampuni mbalimbali kubwa duniani sitamaliza hapa.

Back to your point; Wakati bongo flava ina identity ilifika wapi? Au bongo flava ya 2000s nayo haikua na identity?

Unaujua mziki wa Uganda? Kuna nchi conservative kama Uganda when it comes to music? Nenda clubs za Uganda husikii mziki wa nje zaidi yao na wanaimba strictly mziki wao kwa identity yao, leo hii waganda wapo wapi? Wamefika wapi? Umewaona huko grammys (ambako dayamondi alipafomu online), BET (ambayo Rayvanny anayo), UEFA au World cup?

Wakongo na bolingo yao wapo wapi au nao hawana identity?

Mziki ni kama products zingine unakua exported na natives wenyewe sio lazima wote wawe exces hata wananchi wa kawaida wana mchango wao. The bigger your network, the bigger your success. Hamna mtu anfanya everything by themselves.
Wakongo walishatoboa kimataifa Ndugu Mdau. Mpaka Bongo na Africa Mashariki yote walishaiteka kwa muziki wao. Kwa aina yao ya muziki wao ni bendi zaidi tofautisha na hiki kitu kinaitwa "muziki wa kisasa wa vijana" huu anafanya mtu mmoja jukwaani.
 
Bora wasanii hao kuliko kwenye sports, movies, professionals(doctors, engineers, journalists, authors, pilots etc) hata kwenye biashara kimataifa hatupo kabisa. Msanii wa music japo kiuhalisia tunaye mmoja tu anayepambana/anayepambanishwa kimataifa but against odds he is fighting.
Hatujawahi kuwa na basketball player let's wa hata kufikiriwa kupambana kiwango alichofika Hakeem Olajuwon au football player wa kufikiriwa kupambana kiwango alichofika Mikel Obi au Nwako Kano au JJ Okocha, Watanzania wengi wivu na hate ndiyo hufanya mtu anayepambana achukiwe.
Unaambiwa mtanzania akiona fursa kwanza aipige yote iishe ndo anaita watu wawili watatu, kila mtu anataka ale peke yake
 
Tofauti ya diamond na hao ni nini kama wote hawajatoboa? If anything dayamondi kashinda tuzo zaidi na kupafomu kwenye stages nyingi zaidi.
usirudie tena kuwahusisha Bi.Kidude & Remmy Ongala na huo upuuzi mwingine.
Ndiyo maana nimekuuliza how old are you??

Yani unamtaja mr.nice kwenye list moja na Bi.Kidude na Remmy Ongalla alafu unauliza wameshawahi kufanya wapi show 😂

Strictly Tanzania ndiyo mziki gani 😂
 
Nakubali. Ni kama Fela Kuti alivyojulikana mpaka nje ya Nigeria. Identity muhimu sana.
Fella Kuti wakati anapiga shows MGM Grand Arena kina Marijani na Mbaraka Mwinshehe walikuwa wanapiga shows DDC Kariakoo au lango la Jiji au Amana Bar Ilala.
 
Naandika huu uzi baada ya kumsoma kamikaze kwenye uzi wake: Mafanikio ya mwanamuziki Burna Boy, Nini tunajifunza!

If anything wasanii wabongo inabidi walalamikie ufinyu wa watanzania wengine nje ya nchi hususani in the boardrooms.

Nigerians wapo wengi ndani na nje ya nchi yao. Unaposikia msanii wa naija kajaza ukumbi nje unakuta zaidi ya watu humo ndani ni Nigerians wenyewe. Unategemea Dayamondi ajaze ukumbi vp nje? Nyie wabongo mpo wangapi? Nani wakulalamika hapo dayamondi au nyie?

Nigeria ina timu ya basketball ambayo players wake wote wamezaliwa na wanacheza USA. Unashangaa vp msanii wa Nigeria kutumbuiza all-star game? Nyie bongo mna players wangapi NBA? Nani atawashika mkono huko NBA? Hapo wakulalamikiwa ni dayamondi au nyie wabongo wengine?

Nigeria ina hadi timu ya Bobsleigh sport, probably hujawahi usikia. Ni mchezo wa kwenye ice ila Nigeria hamna ice kabisa kama bongo tu, unadhani wanajuaje kuucheza? Players wake wote wamezaliwa na wanaishi USA. Utashangaa vp msanii wa Nigeria kuitwa kwenye function ya bobsleigh?

Bado NFL. Watu wenye asili ya Nigeria ni wengi kuliko kawaida kwenye huu mchezo. In a yr or two kuna msanii wa NG atatumbuiza kwenye superbowl believe me you. Nyie mna wachezaji wangapi NFL?

Kanu, Okocha, Ihenacho, Obi Mikel, Victor Moses na sasa Osimhen wa Napoli wote ni Nigerians, nyie wachezaji wenu wangapi wamefika UCL? Timu yenu ya taifa lini imeenda World cup? Bado unashangaa wasanii wa Nigeria kuitwa kwenye stage ya UEFA?

Viongozi wa Nigeria wamewahi na bado wanashika nyadhifa mbalimbali duniani more than any other country in Africa. Wapo kwenye boardrooms za maamuzi, nyie mpo wapi? President wa Toronto Raptors Masai Ujiri ni mnigeira, Ime Udoka aliyekuwa kocha wa Boston Celtics ni mnigeria. Unadhani wakiambiwa walete mtumbuizaji watamleta Marioo au msanii wao?

Kama you're reading btn the lines utagundua uraia-pacha plays a big part as well. Wanigeria kibao wamezaliwa na kukulia nje including Burna boy mwenyewe aliyekulia UK, Davido kazaliwa US ila wanapeperusha bendera ya NG. Nyie mna uraia pacha?

If anything wasanii wetu wamefanya kazi yao, hawana deni kabisa. Dayamondi, Samatta na wasanii wengine walipofika ni juhudi zao binafsi and they can only do so much. Wanaenda kwa speed ambayo wabongo wengine hawana, we're letting them down. Samaki ndani ya aquarium hawezi kuwa mkubwa zaidi ya aquarium yenyewe.

Nipo around mazee.
Umesema ukweli bado tupo kwenye kabox kadogo tunavimbiana tu tukitoka nje kuna vikubw azaidi yetu
 
Lugha nayo ni tatzo,kiswahili kina laana

Jk wa kwanza alaaniwe na hii lugha yake inayotudidimiza badala ya kutupaisha
Kuna wakati pia tukubali kwamba kuna watu wametuzidi vipaji naturally.... Kenya & Uganda wanaongea kiingereza vizuri lakini kimuziki tuko juu yao. USA na Qatar ni matajiri kupindukia ila kwenye riadha wanazidiwa na nchi maskini Kenya kiasi kwamba wanagawa uraia kwa wanariadha wa hiyo nchi tena kwa kuwashawishi. South Africa pamoja na utajiri wake ila kwenye mpira inakalishwa na nchi maskini kabisa. Mimi nadhani nchi iweke nguvu kwenye vitu ambavyo tuna vipaji navyo. Kwa mfano ndondi na riadha.
 
usirudie tena kuwahusisha Bi.Kidude & Remmy Ongala na huo upuuzi mwingine.
Ndiyo maana nimekuuliza how old are you??

Yani unamtaja mr.nice kwenye list moja na Bi.Kidude na Remmy Ongalla alafu unauliza wameshawahi kufanya wapi show 😂

Strictly Tanzania ndiyo mziki gani 😂
Afrobeat ni mziki wa West Africa. Ningeshangaa kuona watu wasio wawest africa kuwa kwenye hiyo list.

Siku kukiwa na chart ya bongo fleva nitashangaa kuona wawest africa humo.

Endeleeni kuimba amapiano au kama wanaija mkidhani mnaenda global kumbe mnaonekana kituko tu. Huwezi kushindana na mtu kwenye uwanja wake wa nyumbani ukamshinda it's that simple
 
Kiswahili kinawamaliza Wabongo..Wabadilike Kiswahili hakilip saanaa
 
As long as wanapata hela na fame ya kuishi vizuri bongo hapa tuishi nao hivyohivyo lakini halo wajuba hatuwawezi kama huyu diamond wetu kwa sasa hasimami hata na fireboy
Kwanini Diamond? Kwanini usimseme Samatta kwamba hasimani kwa madogo wapya wa Kipopo wanaotingisha ligi za Ulaya?
 
Tuna Hashim Thabit jamani 🥹🥹

Unayosema ni kweli uraia pacha una faida kubwa sana sijui kwanin wanabana natumain kwenye katiba mpya wataweka
Basketball players wa Kipopo wapo kibao na wanatingisha sana NBA.
 
We can only hope.

Thabeet alijaribu ila inabidi tuwe nao wengi.
Thabeet, Samatta na Diamond wamepambana kiasi chao lakini tungekuwa na wapambanaji wengi kwenye fani tofauti tofauti wangekuwa wanatiana morari.
Bado tuna safari ndefu sana kama point of reference tunayolazimisha kuitumia ni Nigeria, ukiacha connections zao, aggressiveness yao, exposure yao pamoja na pesa wanazowekeza wenyewe kwenye kila idara walikuwa juu tangu miaka mingi iliyopita hivyo wanasaidiana na kuonyeshana njia ili kupunguza vikwazo vya njia ya kufika kwenye mafanikio.
 
Kwanini Diamond? Kwanini usimseme Samatta kwamba hasimani kwa madogo wapya wa Kipopo wanaotingisha ligi za Ulaya?
Katika sentensi yangu nimeongelea muziki mkuu, ndo maana nimemtaja yeye kama top artist wetu, huo mpira siuelewi ndugu
 
Nimeishia hapo iliposema eti kuwa Diamond ameperform kwenye Grammy 😂
Alafu tena unajiuliza eti Bi.Kidude na Remmy Ongala waliperform wapi? 😂😂😂
Una miaka mingapi chief??
Yani unauliza mziki wa Congo umefika wapi kwelii ?

Mstari wa kwanza tu unasema show za ulaya kila mtu anapata 😂
Huyo kwenye Avatar yako unaweza kutaja show zake 3 za Ulaya?


Hiyo dhana yenu kuwa wazungu ni bongolala hawajui mziki mzuri wa afrika mpaka wawe influenced na wanaijeria wanaoishi Abroad ni dhana potofu na kichaka kwa kukwepa majukumu ya kuwa wabunifu zaidi.

Tafuta sound yako be original utafanya la maana na utasikilizwa na kila race.

Hamkawii kusema hata Selina Gomez amefanya featuring na Rema kwasababu wanaijeria ni wengi duniani 😂
Mkuu sema una chuki na vijana wa music wa sasa, sasa unabisha diamond kuperform platform ya Grammy?
 
Back
Top Bottom