Majibu ya Chid Benz kwenye "red carpet" ya Mahaba Ndi Ndi Ndi

jamaa huwa wanazingua sana.

unakuta mtu yuko msibani anakomaa kumhoji mfiwa,mbaya zaidi anauliza" unajisikiaje"
mimi ntamjibu mtu najiskia kwa mbaaali.
Utasikia et tuna mama wa marehem atazungumuza , mama pole[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…