Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Haha ha utasikia kama mnavyoona ni msiba mkubwa watu wanalia sana tazama marehem amelala kwa huzuni lakini tunae kaka yake hapa hebu tuelezee habari ya kifo cha mdogo wako ulipata wapi?Utasikia et tuna mama wa marehem atazungumuza , mama pole
Sema chidi akili kubwa sana huyu jamaa. Huwa ana focus fln hv ambayo wasanii wengi hawana wakati wa mahojiano au interview kwenye media, nadhan focus yake ndo inamfanya ajibu maswali kama yanavyoulizwa, short n clearUtapenda jinsi Chid benz alivyokua akiulizwa maswali na mtangazaji pale mlimani city, Siku ya wapendanao wakiwa Red carpet usku wa mahaba ndi ndi ndi
Mtangazaji: Nakuona umevaa umependeza
CHID BENZ : Nalijua hilo
Mtangazaji: Hatujawahi kukuona na mtoto mzuri kama huyu
CHID BENZ: Huyu sio mtoto
Mtangazaji: Kuna tofauti gani kati ya Valentine zilizopita na hii hapa na hii ya leo?
CHID BENZ: Zile zimepita na hii ni ya leo.
Mtangazaji: Unatarajia kuona vitu gani kwenye event hii ya leo
CHID BENZ: Ngoja tuingie ndo tutaona
Mtangazaji: Chidy kwanini unakonda
CHID BENZ: Kwasababu sinenepi
Jamiiforums
Geita vijijini
View attachment 2122017
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sema unavutiwa na Bangi zao.
Wanaudhi akiyanani hawa waadishi wa michongoHaha ha utasikia kama mnavyoona ni msiba mkubwa watu wanalia sana tazama marehem amelala kwa huzuni lakini tunae kaka yake hapa hebu tuelezee habari ya kifo cha mdogo wako ulipata wapi?
HakunaHakuna swali gumu hapo
Huwa nakereka sana nikisikia maswali ya namna hiyo!Haha ha utasikia kama mnavyoona ni msiba mkubwa watu wanalia sana tazama marehem amelala kwa huzuni lakini tunae kaka yake hapa hebu tuelezee habari ya kifo cha mdogo wako ulipata wapi?
Unga ule sema focus fuatilia wasanii waliokua wanakula unga na interview zao mfan lord eyes,rayc na huyu dg conboi nina mashaka kama ali sembeSema chidi akili kubwa sana huyu jamaa. Huwa ana focus fln hv ambayo wasanii wengi hawana wakati wa mahojiano au interview kwenye media, nadhan focus yake ndo inamfanya ajibu maswali kama yanavyoulizwa, short n clear
Mimi nakubali sana majibu yakesiku zoteUtapenda jinsi Chid benz alivyokua akiulizwa maswali na mtangazaji pale mlimani city, Siku ya wapendanao wakiwa Red carpet usku wa mahaba ndi ndi ndi
Mtangazaji: Nakuona umevaa umependeza
CHID BENZ : Nalijua hilo
Mtangazaji: Hatujawahi kukuona na mtoto mzuri kama huyu
CHID BENZ: Huyu sio mtoto
Mtangazaji: Kuna tofauti gani kati ya Valentine zilizopita na hii hapa na hii ya leo?
CHID BENZ: Zile zimepita na hii ni ya leo.
Mtangazaji: Unatarajia kuona vitu gani kwenye event hii ya leo
CHID BENZ: Ngoja tuingie ndo tutaona
Mtangazaji: Chidy kwanini unakonda
CHID BENZ: Kwasababu sinenepi
Jamiiforums
Geita vijijini
View attachment 2122017
"chawa ni wadudu wanaotokana na uchafu, unakuwa na chawa sabb unauchafu"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utapenda jinsi Chid benz alivyokua akiulizwa maswali na mtangazaji pale mlimani city, Siku ya wapendanao wakiwa Red carpet usku wa mahaba ndi ndi ndi
Mtangazaji: Nakuona umevaa umependeza
CHID BENZ : Nalijua hilo
Mtangazaji: Hatujawahi kukuona na mtoto mzuri kama huyu
CHID BENZ: Huyu sio mtoto
Mtangazaji: Kuna tofauti gani kati ya Valentine zilizopita na hii hapa na hii ya leo?
CHID BENZ: Zile zimepita na hii ni ya leo.
Mtangazaji: Unatarajia kuona vitu gani kwenye event hii ya leo
CHID BENZ: Ngoja tuingie ndo tutaona
Mtangazaji: Chidy kwanini unakonda
CHID BENZ: Kwasababu sinenepi
Jamiiforums
Geita vijijini
View attachment 2122017
NaNi kakuvalisha?Anakuwaga na majibu ya Peke Yake tu
NaNi kakuvalisha?
Nimevaa mwenyewe 😅🤣🤣🤣
Wameongezewa mwaka mmoja zaidi ila kuna mazingira hilo agizo likafutiliwa mbaliHawa waandishi waliambiwa warudi shule iliishia wapi
Radio one wanaongoza kwa kuuliza maswali ya kijinga, ukute tukio limetokea halafu anahojiwa polisi kile kipindi chao cha nipashe saa kumi na mbili na nusu asubuhi, utazima redio sheikh wanguHuwa nakereka sana nikisikia maswali ya namna hiyo!
Naweza kuongea na wifi kidogo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Utapenda jinsi Chid benz alivyokua akiulizwa maswali na mtangazaji pale mlimani city, Siku ya wapendanao wakiwa Red carpet usku wa mahaba ndi ndi ndi
Mtangazaji: Nakuona umevaa umependeza
CHID BENZ : Nalijua hilo
Mtangazaji: Hatujawahi kukuona na mtoto mzuri kama huyu
CHID BENZ: Huyu sio mtoto
Mtangazaji: Kuna tofauti gani kati ya Valentine zilizopita na hii hapa na hii ya leo?
CHID BENZ: Zile zimepita na hii ni ya leo.
Mtangazaji: Unatarajia kuona vitu gani kwenye event hii ya leo
CHID BENZ: Ngoja tuingie ndo tutaona
Mtangazaji: Chidy kwanini unakonda
CHID BENZ: Kwasababu sinenepi
Jamiiforums
Geita vijijini
View attachment 2122017
Aliwakomesha mno [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahah jamaa hajawahi kuboa, kuna majibu aliyatoa zaidi nahisi mpaka muulizaji akadata [emoji23]