[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Napendaga interviews za chid Benzi.
Hachoshi na majibu Yake.
Anakuwaga na majibu mafupi yenye kufurahisha,na yenye kutafakarisha wakati mwingine.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naweza kuongea na wifi kidogo
"Hapana"nhii[emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na kwa kuzingatia 'maswali 'ambayo huwa yanaulizwa huwa 'ya kitoto' sana. Hivyo chid Benz anajibu kulingana na swali, short n clearnadhan focus yake ndo inamfanya ajibu maswali kama yanavyoulizwa, short n clear
🤣Kuna jamaa alimuuliza Kuna utofauti gani Kati ya chid Benz huyu wa Sasa na wazamani jamaa akasema utofauti ni yule chidbenz wa Zamani na huyu ni wasasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haha ha utasikia kama mnavyoona ni msiba mkubwa watu wanalia sana tazama marehem amelala kwa huzuni lakini tunae kaka yake hapa hebu tuelezee habari ya kifo cha mdogo wako ulipata wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naweza kuongea na wifi kidogo
"Hapana"nhii[emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Majibu mafupi tu hataki tabu😂😂😂Kuna jamaa alimuuliza Kuna utofauti gani Kati ya chid Benz huyu wa Sasa na wazamani jamaa akasema utofauti ni yule chidbenz wa Zamani na huyu ni wasasa
Sana, kuna yai flani anatemaga TID huwa napenda sana
Kwani nikisema napenda yai lako namaanisha unaweza? Ok napenda yai lakoNi kilaza tu ndo ataamini kuwa TID anajua kutema yai, niliwahi kuwa huko…. nikavuka na kuona ni kindergarten English tu.
Huyu jamaa alikuja na huyo Dada na alimgomea kabisa asiongee [emoji849]Naweza kuongea na wifi kidogo
"Hapana"nhii[emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]