Majibu ya damu yagundua mwanaume ana matatizo ya ugumba akiwa kwenye ndoa na watoto wanne

We mshkaji huwa nakukubali Sana hutakagi shida za maisha. Huwa una critical reasoning sio mambo ya kukurupuka tu kunuoshea mtu vidole
 
Wewe ushahidi was Ayo yote umeutoa wapi?

Alikiri makosa yake?
Alikusimulia uko saloon?
Alifumaniwa?

Wewe hizo conclusion zako twambie unazitoa wapi? Kwa ushahidi upi?
Hizi ni zile situations family zinapoomba ushauri katika mambo mazito na wakubwa mnahadhitiwa na kubaki midomo wazi.

Nilichojifunza ni kuwa hapa duniani hata uwe na pesa zote kuna changamoto utapitia. Hii ndiyo dunia hata Melinda Gate aliomba talaka kutoka kwa mwanaume ambao wadangaji wanamuota hata awe buzz la siku moja tu.

Diana aliolewa na hare to the throne lakini hajawahi kuwa na furaha katika ndoa. Huyu bibi kama alimpenda houseboy angekua muwazi si kwenda kumchuna jamaa alee watoto wako na ki toy boy chako.
 
House boy ndo alifanya Jamaa apate ajali ili awe baba mwenye mjengo rasmi
 
We mshkaji huwa nakukubali Sana hutakagi shida za maisha. Huwa una critical reasoning sio mambo ya kukurupuka tu kunuoshea mtu vidole
[emoji4][emoji106]
Ishu za wanandoa Ni ngumu mno mkuu,

Hazihitaji mihemko kabisa maana madhara ya ushaur wowote usiozingatia tahadhari,

Huwa Ni makubwa Sana kwa wanandoa wenyewe,watoto, ukoo mpk kwa jamii nzima husika akiwemo uyo uyo mtoa ushauri mzuri au mpambe nuksi.
 
Hii ni chai kama chai zingine.
Mtu kapata ajali then Dr anasema na ya uzazi? Alienda kupima uwezo wa kuzalisha?.
hii ni chai
 
Ya kuhadithiwa yahawez kukupeleka direct ktk conclusion kwamba flani na flani wamekosea.

Unajua always wanandoa wanapogombana, Lazima kila mtu aseme lake. Hasa watu wa nje
(Ndugu,majirani, marafiki n.k)

Na tambua ktk jamii yyt wapo wale watu wakisema Jambo fulani, hata Kama sio la kweli wataaminiwa kwasababu tu Ni mafundi wa ushawishi na kucheza na matukio.

LAZIMA UWE MAKINI NA HILO DADA SKY
 
Kweli kabisa wakati mwingine huwa Ni vema kukaa kimya kwanza tatizo linapotokea baada ya muda ndo unaweza kufanya maamuzi.

Kukurupuka unaweza kuta unajivunjia heshima buree hata jamii ikakuona hufai.
 
Hii ni chai kama chai zingine.
Mtu kapata ajali then Dr anasema na ya uzazi? Alienda kupima uwezo wa kuzalisha?.
hii ni chai
Labda baada ya ajali kuna matone matone ya shahawa yalikutwa yamedondoka eneo la tukio.

Katika kupima pima ushahidi wa ajali,
Yakakutwa kumbe hayawezi kuzalisha long time sana[emoji1]
 
Kweli kabisa wakati mwingine huwa Ni vema kukaa kimya kwanza tatizo linapotokea baada ya muda ndo unaweza kufanya maamuzi.

Kukurupuka unaweza kuta unajivunjia heshima buree hata jamii ikakuona hufai.
Hakika usemacho Ni sahii[emoji106]
 
Aisee wanawake hupitisha wanaume sehemu ngumu basi tu wanaume ni wavumilivu lakini wanawake ni zaidi ya shetani.
 
Labda baada ya ajali kuna matone matone ya shahawa yalikutwa yamedondoka eneo la tukio.

Katika kupima pima ushahidi wa ajali,
Yakakutwa kumbe hayawezi kuzalisha long time sana[emoji1]
Wakati unapigania maisha kuna dawa ni lazima waangalie allergy reaction kabla hawajakupa na katika kupima wakakuta jamaa ana rare condition kwenye damu, walichoshangaa watu wenye matatizo hayo huwa ni wagumba.
 
Sio kweli
 
Kila ndoa(familia) ina changamoto zake ni vile ninyi wahusika mtakavyo amua kuzichukulia ndivyo hatima yenu.

Aendelee tu kuwalea kama watoto wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…