Majibu ya damu yagundua mwanaume ana matatizo ya ugumba akiwa kwenye ndoa na watoto wanne

Wakati unapigania maisha kuna dawa ni lazima waangalie allergy reaction kabla hawajakupa na katika kupima wakakuta jamaa ana rare condition kwenye damu, walichoshangaa watu wenye matatizo hayo huwa ni wagumba.
Dr mwenye akili huwa hasemi yasiyomhusu... especially kama halihusiani na matibabu.
Sasa hyo dawa na kutozaa ingehusiana vp
 
Sasa ilijulikane Kama watoto Ni wa houseboy baada ya hiyo ajali?
 
nao walikuwa wanatafuta nini hadi kwenda kugundua mambo ya ugumba?
 
nao walikuwa wanatafuta nini hadi kwenda kugundua mambo ya ugumba?
Wanasayansi ni watafiti, walitaka kujua iweje huyu bwana amepata watoto akiwa na matatizo hayo, au kuna wengine wanaweza kupata watoto kwahiyo tafiti za awali zinaweza kutenguliwa.
 
I don't buy this, Mtu anapoenda Hospitalini anapimwa magonjwa Mengi hasa Yale yanayoambukizwa Kwa Njia ya Damu lakini Majibu yanakua Siri ya Hospital unless mgonjwa amefanya Inquiry ya Majibu.

Sasa Kwa case ya Hii story Daktari anawezaje kumwambia mgonjwa ana rare condition na yawezekana ana Ugumba bila Mgonjwa kuuliza?

Sana sana hpo wataangalia kama dam imepungua, watampima Blood Group ili aweze kuongezewa, mifupa na sehem yyte nyingine ambayo pengine anaweza kua amedhurika.
 
Inawezekana pia mmoja wa madaktari akawa mwanafamilia au kuwa na ujuzi wa kidaktari akaweza kuuliza maswali zaidi na akawa anajua madhara ya hiyo condition kwa wanaume.
 
Hivi stori ni za kwenye vitabu au ni za kweli maana naona unaleta story za aina hii mara nyingi au unachangamsha jukwaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…