Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Mtanzania,
Mimi nakwambia wivu umetujaa vibaya sana hasa watu waliopo serikali hata sijui walilishwa nini!
Angekuwa mzungu au hata angekuwa ametoka Kenya au Uganda, huyu bwana asingepata vikwazo vyovyote. Sisi tunaofanya utafiti tunajua sana haya mambo. Unaomba kibali cha kufanya utafiti sehemu fulani, utazungushwa mpaka mvi zikutoke. Lakini hebu shirikiana na mzungu hapo, tena jina lake tu liwepo katika utafiti huohuo, utakuta mkuu wa kitengo anakusaidia kufukuzia hiyo permit yako mpaka unashangaa.
Sasa huyu mtu kasoma udaktari wake Muhimbili, huko huko wanakujifanya wanajua kuliko dunia nzima, kasoma China, kapata fellowship ya hiyo taasisi ya Texas, lakini kuna watu wanamuona maimuna, hamnazo, ila wao ndio wanajua!! Makubwa, na sijui bwana haya mambo tutayatatuaje. Tatizo la roho mbaya na wivu hauna tiba, dawa yake ni kuchapa kazi tu, acha hao wenye roho za sebuleni waendelee kukuzodoa, shauri zao!
Mtanzania,
Mimi nakwambia wivu umetujaa vibaya sana hasa watu waliopo serikali hata sijui walilishwa nini!
Angekuwa mzungu au hata angekuwa ametoka Kenya au Uganda, huyu bwana asingepata vikwazo vyovyote. Sisi tunaofanya utafiti tunajua sana haya mambo. Unaomba kibali cha kufanya utafiti sehemu fulani, utazungushwa mpaka mvi zikutoke. Lakini hebu shirikiana na mzungu hapo, tena jina lake tu liwepo katika utafiti huohuo, utakuta mkuu wa kitengo anakusaidia kufukuzia hiyo permit yako mpaka unashangaa.
Sasa huyu mtu kasoma udaktari wake Muhimbili, huko huko wanakujifanya wanajua kuliko dunia nzima, kasoma China, kapata fellowship ya hiyo taasisi ya Texas, lakini kuna watu wanamuona maimuna, hamnazo, ila wao ndio wanajua!! Makubwa, na sijui bwana haya mambo tutayatatuaje. Tatizo la roho mbaya na wivu hauna tiba, dawa yake ni kuchapa kazi tu, acha hao wenye roho za sebuleni waendelee kukuzodoa, shauri zao!
Ukiwa na leseni ya udereva ya Tanzania huwezi kuendesha UK au Marekani bila kuwa na leseni au kupewa baraka za bodi zinazohusika na mambo hayo za UK au Marekani.
Sasa nataka kuamini kuwa Kuhani ama ni Manji ama ni Dr,Dau mwenyewe, sasa hoja hapa ulisema kuwa huyu mzee wa watu hakusoma, sasa unabanwa kwa uongo wako unakuja na kuanza kujibizana na watu ambao wamepost na kukosea vijimistari.
Unapaswa ama kusimamia hoja zako na kuweka the other side uwanjani ama kuomba radfhi kama ulidanganya.
Muungwana ni vitendo, laa sivyo naamini kuwa wana JF hapa watayachukulia maneno yako yote kama uzushi na upotoshaji wa makusudi.
Quote:- Kuhani
1) hakuwahi kusomea upasua moyo zaidi ya kutazama
2) Yeye ana ka zahanati ka daktari mmoja na sio hospitali yenye uzoefu
3) Zahanati iko embroiled in court/rent disputes....
4) hospitali yake inaficha ficha vitu ndio maana haina daktari Mtanzania hata mmoja kwenye management brass yake zaidi ya Wazungu wanaoishi Ulaya, sijui anaficha nini.
Oh yeah he's a quack. We knew that already, his school told us that. The issue now is how did the school create a quack, it's a legal issue now. We're dealing with his school now, not the quack. You're a little behind the curve here, Nyama Hatari.
Anyway, I spoke again with the Texas Medical Board (( 512) 305 7010). Masau never obtained a physician-in-Training permit. He is nowhere to be found in Texas Board computers. Meaning, he probably had no business being at the Texas school. So, as I said, it's now potentially a legal matter pointing at Texas Heart Institute.
I have contacted a Houston law fim, Hartley Hampton P.C., (http://www.hartleyhamptonmedmal.com/ ) to see if they can be retained for this matter. They are assessing my inquiry as we speak. In the interest of transparency, every stage of the process will be updated on these forums, unless advised otherwise by counsels. At this point we're looking into whether there is a case against the school, where a student surgeon possibly was admitted without following regulated procedures.
My inquiry to a Texas Law Firm:
Dear Hartley Hampton,
I have a question: Can patients injured in a foreign country by an physician trained in the US bring suit in Texas based on the fact that his school in Texas possibly did not follow proper procedures in admitting him to a heart surgery program ?
A Tanzanian doctor claimed that he trained as a heart surgeon at Texas Heart Institute in Houston, Texas. He opened a hospital in Tanzania and many people died in his operating room.
It turns out that at the Texas Heart Institute:
1) He attended a non-accredited program for heart surgery training,
2) In order to be admitted to their heart surgery programs, albeit non-accredited, applicants need to have either a medical licence or a physician-in-Training permit, as laid out in the school's website: http://www.texasheartinstitute.org/E...in/postdoc.cfm Phone: 832-355-2666
3) The doctor never obtained either of the pre-requisite documents, as per the Texas Medical Board. (800) 248-4062.
Therefore, the doctor probably should not have been there in the first place. As such, he would not have been able to use his so called training to open a hospital after he graduated.
If the pre-admission licensure requirement is mandated by the Texas Medical Board (which more than likely is, because the school has an accredited heart surgery program - he did not attend that - and therefore are regulated ) are there tortious violations by the Institute, and will you take the case ?
Not all surgeries are successful and patients do die at the hands of the most competent surgeons, we realize, but if the "surgeon" did not train, perhaps there is reasonable causation here for ALL the deaths.
If you need to do some preliminary investigation, the name of the Doctor is Ferninand Masau. The Board and the Institute were happy to share some basic background information of the doctor at the phone numbers above.
The doctor explains his training at his hospital's website: http://www.science-thi.org/statement...age/index.html
I am a freelance investigator, and would like to remain anonymous, if you will. If you decide to take the case I will inform the relatives of the decedents and they will take it from there.
Kuhani Kuhani has no status.
JF Senior & Premium Member Join Date: Wed Apr 2008
Re: Bodi, shule ya Dr. Masau: Cheti chake hakimruhusu kupasua watu
1. Quote:
Originally Posted by gamba la nyoka
Man are you sure with what you are talking?
Masau kasema kasomea upasuaji Texas.
Texas wanasema alikuwa anatazama tu. Achilia mbali kwamba mafunzo hayo hayako accredited. Hakuwahi kujifunza. Sasa kama mnasema ameshapata experience, sawa bandugu. Ninachosema mimi ni kwamba hakuwahi kujifunza.
Maumau,
Una ndugu yako anataka kupasuliwa na Masau. Sikia.
Masau: "Dr. Masau has been trained in Houston, Texas as a cardiovascular surgeon under the tutorage of world renowned cardiovascular surgeon, Dr. Denton A. Cooley at the Texas Heart Institute and Texas Children Hospital."
http://www.science-thi.org/statement...age/index.html
Ok, anasema kwamba kupasua kajifunza Texas, sio Muhimbili (hawafundishi ) wala China (hakusema hicho).
Texas wanasema hakujifunza kitu. Wanasema program aliyokuwepo sio accredited. Na hata kama ingekuwa accredited, wanasema huyu Masau alikuwa anatazama tu. Hujifunzi kupasua moyo kwa kutazama!
Ningesema hivi, kama una option nyingine, mkimbize aondoke hapo haraka sana. Kama huna options, tuombee kwamba ameshajifunza kwa experience.
Lakini hakusomea kupasua moyo. Mimi nisingekuwa comfortable kupasuliwa na Masau.
.............Kwa mara ya kwanza I am ashamed kuwa forum moja na wewe mkuu, maana this is the worst aibu toka nijiumnge na hii forum, sasa niambie hivi Dr. Masau atasema nini kuhusu hii forum kokote anakokwenda? Halafu unajaribu kupindisha ukweli kama vile sisi ni watoto wadogo huna hata haya?
Muombe radh Dr. Masau, kama huwezi nyamaza kuna watu hapa watakuombea, lakini next time usilete matusi kwa watu bila ya kuwa na ukweli, maana hii uliyoifanya ni aibu yetu wote hapa JF. A spade is a spade akiongea uongo akisema uongo ni muongo tu hakuna neno tofauti hapa!
You are nothing but a cheap liar!
Kuhani Kuhani has no status.
JF Senior & Premium Member Join Date: Wed Apr 2008
Re: Bodi, shule ya Dr. Masau: Cheti chake hakimruhusu kupasua watu
1. Quote:
Originally Posted by SKILLS4EVER
Bodi lazima iwe inajua....Mimi namuona bado ni daktari Bingwa wa Moyo..maana kama alipita Muhimbili na akapata schlolarship kwenda china lazima awe mkali na alichoenda kusoma ni hicho..ndio maana akapata nafasi kwena USA kufanya alichokifanya..ila sababu sheria zao ni zao..hazimruhusuu na yeye hakwenda kutaka kufanya kazi kule,......ujuzi wake na ushauri wake utasaidia sanaa....sidhani kama kumwita kihiyo ni sahihi...
1. Masau amesema kwamba amejifunza kupasua Texas. Tatizo ni kwamba taasisi ya Texas haifundishi rasmi upasuaji, sio accredited.
2. Halafu, tofauti na wanafunzi wenzake waliokuwa hapo kwenye non-accredited intitute, Masau hakuruhusiwa kugusa mgonjwa. Alijifunza kupasua watu kwa kutazama tu.
3. Tanzania hatuna chuo cha kufundisha upasua moyo. Na hatuna standards zetu wenyewe za kutathmini elimu ya upasua moyo. Kwa hiyo, mtu akija akasema ninetoka kusomea upasua moyo Texas, kitu cha kwanza utakachofanya ni kuangaliza credentials za hicho chuo.
4. Chuo cha Masau hakitambuliki, na alisoma kwa kutazama tu.
Kwa hiyo, wagonjwa wa kwanza aliowapasua Tanzania Heart Institute alikuwa ana practice!
Upasua moyo aliosomea Masau Texas ni wa Kihiyo!
Haka kajamaa mau mau kana bore sana....mkuu mau mau kama umekosea kaa kimya tu ndio JF tulivyo au kubali yaishe......unarudia rudia kile kile mkuu.....