Majibu ya nani mwenye mashabiki wengi kati ya Simba na Yanga

Majibu ya nani mwenye mashabiki wengi kati ya Simba na Yanga

Hawaridhiki vipi waje na data zao
Wanalalamika kuwa kuna wanayanga na wanasimba wamelike page hizi za watani kaa ajili ya kupata taarifa

Je na wahesabiwe kama ni wanasimba au yanga?

Nimependekeza tujaribu kufuatilia usajiri wa mashabiki na wanachama katika app zao

Labda tutapata hesabu tofauti
 
Wanalalamika kuwa kuna wanayanga na wanasimba wamelike page hizi za watani kaa ajili ya kupata taarifa

Je na wahesabiwe kama ni wanasimba au yanga?

Nimependekeza tujaribu kufuatilia usajiri wa mashabiki na wanachama katika app zao

Labda tutapata hesabu tofauti
Ila mm huwezi kukuta nimelike page za uto...any way ipo siku tutajua tuu..ila haiwezekani watu milioni 2.2 waende wakajaze page ya Simba wkt ni Yanga hahahaaa maaana wao wako 2.8m Simba over 5 milion
 
Ila mm huwezi kukuta nimelike page za uto...any way ipo siku tutajua tuu..ila haiwezekani watu milioni 2.2 waende wakajaze page ya Simba wkt ni Yanga hahahaaa maaana wao wako 2.8m Simba over 5 milion
Inafikirisha sana
 
Tff uwa wanatoa klabu zilizo ingiza mashabiki wengi katika msimu wa mashindano na miaka yote waliyo Tangaza Yanga waliongoza.

Kule Zanzibar kwenye mashindano ya mapinduzi mechi za Yanga uwa zinaongoza kwa kuingiza mashabiki wengi.
Uko mikoani Yanga imeshindikana, ndio maana KMC mechi na Yanga akiwa yeye mwenyeji ata ipeleka mkoani.
 
Hizo data zako ziweke kinyume chake.
Hao wanaowafuata simba kwenye mitandao ni yanga wanatafuta taarifa za simba.na hao wanaowafuata yanga ni simba wanatafuta taarifa za yanga.
 
Tff uwa wanatoa klabu zilizo ingiza mashabiki wengi katika msimu wa mashindano na miaka yote waliyo Tangaza Yanga waliongoza.

Kule Zanzibar kwenye mashindani ya mapinduzi mechi za Yanga uwa zinaongoza kwa kuingiza mashabiki wengi.
Uko mikoani Yanga imeshindikana, ndio maana KMC mechi na Yanga akiwa yeye mwenyeji ata ipeleka mkoani.
Sawa,
Acha nifuatilie data kamili za tff nitazileta hapa
 
Hizo data zako ziweke kinyume chake.
Hao wanaowafuata simba kwenye mitandao ni yanga wanatafuta taarifa za simba.na hao wanaowafuata yanga ni simba wanatafuta taarifa za yanga.
Sawa
Nimekusoma mkuu
 
Yanga hatujawai kuhamasishana huko kweny kulike mapage nyie mlitumia nguvu kubwa kutembea mtaa kwamtaa kipind mnahamasishana kuchangia kujenga uwanja ambapo mwisho mmeishia kutapel mashabik wenu kwaumbumbumbu wao
 
Kuna member ameuliza swali la nani kati ya Simba na Yanga ana mashabiki wengi. Uchunguzi wangu ulijikita katika takwimu za mitandaoni (online) ambazo ni rahisi kuzipata. Next time nitajitahidi kuleta takwimu za mitaani kupitia sensa ya mtu kwa mtu.

Baada ya kuzurura katika mitandao ya X, Insta, na Facebook katika akaunti rasmi za timu hizi, hizo ndio data zilizopatikana:

Instagram, Simba ana followers 5.4m huku Yanga ana 2.8m, Facebook, Simba ana follower/likes 1.9m huku Yanga 1.3m na kwenye mtandao wa X Simba ana followers 1.4m huku Yanga ana 274k.

Nimepanga kufuatilia apps za timu hizi mbili ili nione wanachama na mashabiki walionao.

Mkuu Bertha Kakete huu ndio utafiti wangu. Hongera mnyama, umetisha sana

Hii namba inarelect hata maudhurio yenu vibanda umiza, mechi za Simba huwa zina maudhurio mengi. Mechi hizi huleta maokoto mengi, we chunguza mwenyewe utaniambia. Waulize wamiliki wa vibanda umiza watashibitisha hili.

Sijazungumzia maudhurio ya uwanjani na kwenye harambee. Ushauri tu kwa Wanalunyasi namba hizi, reflect mpira wenu uwanjani hasa ile tarehe 20/10/2023.

View attachment 2779219View attachment 2779220View attachment 2779221View attachment 2779222View attachment 2779223namba hizi View attachment 2779223View attachment 2779224

Kama kuna mtu ana data zingine alete hapa kunikosoa, kunirekebisha au kuongezea nyama.

#Mpira Bila Mbereko inawezekana
Hata hivi vitoto vidogo mtaani wengi ni simba kwa asilimia kubwa kuna siku ali kamwe alipandisha kitoto jukwaani akakauliza maswali ya yanga lakini akajibu wachezaji wa simba na hao ndio taifa la kesho.
 
Back
Top Bottom