Majibu ya Nape Nnauye kwa Batuli kuhusu malalamiko ya bando la simu

Majibu ya Nape Nnauye kwa Batuli kuhusu malalamiko ya bando la simu

Huyu naye ni kama Yule oh chupi kimenibana. Kwa sasa mawaziri wa mchongo wanajulikana kwa majibu yao mepesi kama vile, je unashida na uwaziri wangu? Hivi utaweza kumuuliza tena au kuna mwingine atakayetaka aonekane anashida na uwaziri wa mtu fulani?
Nape kwanza ilibidi aeleze kwa kina ni lini alienda ofisini kwa makampuni ya mtandao au Tcra,lakini sio kwenda tu kama chooni kwamba Kila mwenje mkuki atapiga,aseme alikuwa na timu gani ambayo imebobea katika uchunguzi huo. Na alitakiwa aseme na uchunguzi mwingine wa kwa nn internet speed imepungua sana?
Nape hajawahi kuchunguza haya mambo bali amejijibia au amewajibia kwakuwa wao ndio wenye hisa huko na naamini majibu haya hata makampuni wasingejibu, wangekataa kwa kuwakata wateja wote,ila kuna makosa ya kimtandao na systems zao zinafanya,na wanaendelea kushughulikia ili yasijirudie tena. Nape naye ni yuleyule
 
GB 11 atumie yeye na wateja kwenye ofisi yake kama Wifi na anataka zisiishe??😿😿😿😿😿😿😿
Mm nilivyomwelewa ni anatumua wife ya data nyingine na sio za simu yake. Yaani simu yake huwa anafunga data akiwa ofisini
 
Waziri ilitakiwa yeye ndio alifanyie kazi hilo swala sema kutokana wengi wao wanapewa bando za bure zisizoisha ni ngumu kwenda kudai haki ya Wananchi wakati ana rushwa ya bando mfukoni ni ngumu sana haya makampuni yana ujanja mwingi sana na ambao haitaisha...
 
Voda waliniga Gb 1.5 ile kwa 2500
nilijiunga saa 1 usiku siku hyo hyo saa3 usiku bando limeisha
Na hapo data nilizima
 
Afadhali mimi natamani hizo billion. Magu kachota na kulamba zaidi ya Trilliona 30 hadi master wake shetani kashangaa nakusema WTF. Ikabidi tu atwaliwe kuzimu kabla ya siku zake.

Wewe sawa na Magu mna tofauti gani? Ye alikua Rais haya kala hizo wewe ni mwana nchi wa kawaida unataka hizo? Huwoni Kila mtu anakula kwa urefu wa Kamba yake ?..
Ungekua Rais si ungemzidi Magu au unaonaje?!
 
Haya makampuni ya simu ni wezi Sana,Mimi Jana nimenunua umeme halotel wa shilingi elfu kumi,huezi amini mpka now haujaja,ilikuwa Jana mida ya saa mbili usiku ndo nilinunua,hakuna umeme hakuna hela kurudi,nimepiga simu saana zaidi ya Mara nane au tisa ,majibu yao subiri,hdi saa hii hawajatuma umeme Wala Nini,wameamua kunidhurumu,
 
Ningekuwa Nape ningepiga hela ndefu sana kwa makampuni ya simu. Yani kila mwezi kila kampuni lazima ziniletee billion kumi kesh mezani. Natena nitazidai kwa fujo violently vitisho.
Hahahah ushauri wako nazani atakuwa ameudona
unafikiri af...ny...i h...v.ooo???!
 
Kwa sababu kaandika/kalalamika sijui bakuli
Batuli ndiyo kamjibu
Angeandika mtu mwingine asiyejulikana angejibu?

Ova
 
Ila Magu hakuwahi kusema mtanikumbuka. Magu alisema mje mnikumbuke kwa mazuri tu.Aliyewahi kusema mtanikumbuka alikua Mzee Ali Hassan Mwinyi
 
Nape wakati wa magu alikuwa anapiga kazi ile kweli kweli!!!! Lakini sa ivi kwa mama kawa na somjo sana aise
 
Ningekuwa Nape ningepiga hela ndefu sana kwa makampuni ya simu. Yani kila mwezi kila kampuni lazima ziniletee billion kumi kesh mezani. Natena nitazidai kwa fujo violently vitisho.
Our country system is very stable and Secure, Mfumo wetu ni kama JICHO hauwezi ruhusu uchafu kuingia au ukae kwa muda mrefu utakuwa sorted out tu ukipenya, Mtu mwenye mitazamo kama yako hawezi ruhusiwa ata kuwa Mjumbe wa nyumba Kumi
 
Makampuni Yes yanatuzingua sana ila application zetu pia zikiwa kwenye background zinaendelea kula bundles zetu bila sisi kujua na wengi hawalijui hilo
 
Ifutwe hiyo TCRA ikigundulika ni kundi la wezi.
 
Back
Top Bottom