Majibu ya Nape Nnauye kwa Batuli kuhusu malalamiko ya bando la simu


Viongozi wana shida ya kutokujua majukumu yao. Alipaswa kutatua matatizo ya raia wote,kama alijua rais yupo alimjibu wa nini ? Na Batuli anajibu kiuoga uoga ? Kama hana uhakika na alichouliza. Ila uzuri ni kwamba utawafanya watu mazuzu, lakini si muda wote.
 
Bando la airtel linamuondoko huo!, kibongo bongo tgo bando wako vzr,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…