Majibu ya Postmoterm yaonyesha kwamba Hayati Ali Kibao alipigwa sana na kumwagiwa Tindikali

Majibu ya Postmoterm yaonyesha kwamba Hayati Ali Kibao alipigwa sana na kumwagiwa Tindikali

Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe, amesema kwamba baada ya Uchunguzi wa Mwili wa Marehemu ulioshuhudiwa na Ndugu wa Marehemu pamoja na viongozi wa Chadema, Imebainika kwamba Ally Kibao ameuawa.

Zaidi ni kwamba amepigwa kupita kiasi na Pia alimwagiwa Tindikali ili aungue kabisa asitambulike.

Kwa maana hii sasa ni dhahiri kwamba kifo cha kinyama cha Mzee huyu SI KAZI YA MUNGU, Ni njama za watu waliotumwa.

Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho yake, Amina.

Soma Pia:

So sad
 
Nakuhakikishia asilimia +99% ya polisi wana support CCM.

Police ya Tanzania wako ideologically aligned na CCM na serikali.

Wanaona ni wajibu wao kulinda na kutetea interests za CCM na serikali.

Kule kambini wanapopata mafunzo, aina ya maisha yao wakipata kazi, vitu wanavyosisitizwa wakiwa kazini lengo ni moja kuharibu akili zao wafikirie upande wa serikali na chama tawala tu.

Chunguza.
True
 
Kipindi cha awamu ya Tano Mambo Mengi sana yalizungumzwa kuwa My late President anateka na kuua watu na mambo meengi sana yalizungumzwa haya leo hayupo utekaji umekua kwa kiasi kikubwa serikali ipo kimya je ni nani huyo anayewaua na kuteka watu ? Ni Magufuli ama?
Mufugufuli always will be in My heart roho yangu inauma saana kwa haya yanayoendelea
Unataka kusemaje? Kwamba your president alikuwa mtakatifu!?
 
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe, amesema kwamba baada ya Uchunguzi wa Mwili wa Marehemu ulioshuhudiwa na Ndugu wa Marehemu pamoja na viongozi wa Chadema, Imebainika kwamba Ally Kibao ameuawa.

Zaidi ni kwamba amepigwa kupita kiasi na Pia alimwagiwa Tindikali ili aungue kabisa asitambulike.

Kwa maana hii sasa ni dhahiri kwamba kifo cha kinyama cha Mzee huyu SI KAZI YA MUNGU, Ni njama za watu waliotumwa.

Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho yake, Amina.

Soma Pia:

RIP Mzee Kibao.
 
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe, amesema kwamba baada ya Uchunguzi wa Mwili wa Marehemu ulioshuhudiwa na Ndugu wa Marehemu pamoja na viongozi wa Chadema, Imebainika kwamba Ally Kibao ameuawa.

Zaidi ni kwamba amepigwa kupita kiasi na Pia alimwagiwa Tindikali ili aungue kabisa asitambulike.

Kwa maana hii sasa ni dhahiri kwamba kifo cha kinyama cha Mzee huyu SI KAZI YA MUNGU, Ni njama za watu waliotumwa.

Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho yake, Amina.

Soma Pia:

Hivi kwa matukio kama haya raisi Samia na wateule wake wnawezaje kupokea mishahara inayo toka kwenye kodi za wananchi na kwenda kufurahi na familia zao, huku walipa kodi hao wakiwa wanatekwa na kuuwaa na watu wanao paswa kuwalinda? Hii nchi imefikia kiwango cha kuongozwa na wendawazimu wa kiwango hiki? Ambao hawana hata akili ya kujuwa majukumu ya kazi zao . hawajari tena viapo vya kazi zao. Yaani tuna watu wameajiriwa kwenye vyombo vya ulinzi ambao wanafikiri kazi yao ni kulinda watawala na sio wananchi? Hii nchi imefika mahali pabaya sana. Kwa hali hii tutegemee kuwa na madakitari wanao amini kazi ya udakitari ni kutafuta pesa kwa Wagojwa. Sasa mahospitalini tutaanza kusikia watu wameibiwa Figo kwaajiri ya kuuzia wenye hela. Tujiandae kuwa na walimu watakau pasisha wanafuzi kwa kuwa wametowa hela na sio kwa kuelewa masomo.
 
Kipindi cha awamu ya Tano Mambo Mengi sana yalizungumzwa kuwa My late President anateka na kuua watu na mambo meengi sana yalizungumzwa haya leo hayupo utekaji umekua kwa kiasi kikubwa serikali ipo kimya je ni nani huyo anayewaua na kuteka watu ? Ni Magufuli ama?
Mufugufuli always will be in My heart roho yangu inauma saana kwa haya yanayoendelea
Magufuli ndio muasisi wa unyama huu. Kwa sasa ni muendelezo wa alichokuwa anafanya.
 
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe, amesema kwamba baada ya Uchunguzi wa Mwili wa Marehemu ulioshuhudiwa na Ndugu wa Marehemu pamoja na viongozi wa Chadema, Imebainika kwamba Ally Kibao ameuawa.

Zaidi ni kwamba amepigwa kupita kiasi na Pia alimwagiwa Tindikali ili aungue kabisa asitambulike.

Kwa maana hii sasa ni dhahiri kwamba kifo cha kinyama cha Mzee huyu SI KAZI YA MUNGU, Ni njama za watu waliotumwa.

Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho yake, Amina.

Soma Pia:

Swali ambalo linahitaji kujibiwa ni:
Ni sababu zipi hasa zilizo wakasirisha hao watu kiasi cha kuwa na unyama kama ule kwake. Alitukana viongozi? Alikuwa ni tishio kubwa sana kwa CCM?

Kwa nini akawa yeye?

Mbona alikuwa hafahamiki kwa watu wengi, hadi CHADEMA wenyewe walipo towa habari za yeye kutekwa!

Kulikuwepo na sababu nyinginezo mbali ya siasa?
 
Zaidi ni kwamba amepigwa kupita kiasi na Pia alimwagiwa Tindikali ili aungue kabisa asitambulike
20240909_042827.jpg
 
Kwahiyo waliona wasirudie makosa ya Sativa wameona wamwagie na Tindikali kabisa?!
Mjini hakuna mamba wala mafisi walafi mkuu.

Hapo kuna mawili nadhani:
Yawezekana wauaji hawakupanga kumuulia mjini lakini marehemu akawaumbua.

La pili, hao wauwaji baada ya kuona wamemuua bila kukusudia wakatahayari na kukawa na mjadala wafanyeje ili kuharibu ushahidi, nd'o wakajichanganya na hiyo idea!

Lakini kwa kifo hiki sasa, Mungu ameamua waTz wote tuamke kutoka kwenye usingizini wa pono ili tumtambue adui yetu wa taifa.

Hili halina ujanja tena, sijui za kukamata mganga wa kienyeji eti naye kuua na kuzika watu wima ili kuua habari zakutekwa kwa Sativa na wale vijana wengine wa Chadema.

Safari hii mwizi katembea peku gizani lakini asubuhi wafuatiliaji wamemtambua kwa alama ya nyayo zake.

Ama mwizi wa pilau, kala kisha kasahau kunawa na kufuta mdomo, punje ya ubweche imeonekana dhahiri kidevuni pake.

Tusubiri tuone itakavyokuwa safari hii.
 
Back
Top Bottom