Sheria ya nchi ipi inayosema watu wasikutane na kujadili katiba yao ya nchi kama wanaona kuna umuhimu huo.CHADEMA watake wasitake wanapaswa waheshimu sheria za nchi, wajue kuwa hakuna aliye juu ya sheria.
kamwe wasitegemee Mataifa ya nje kuhalalisha uovu wa Mbowe na genge lake la kigaidi, badala yake wafuate taratibu za kisheria kupambana.
wakiendelea na mikakati yao eti ya kuichafua Serikali/nchi wataangukia pua, muda huo haupo chini ya awamu hii ya 6.
awamu hii inatumia akili nyingi zaidi kuliko nguvu.
Kwa hiyo Marekani amekuwa Yesu, kwamba kwake kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri? Nyie watanzania wa karne ya 21 nani aliyewaroga?Chambua Mpira !!
Siasa hazitaki kukurupuka...
Kwa Marekani ,utake usitake, UTAPIGA GOTI TU.
hawajataka tu ,kwakua wanafaidika na mfumo mzima unaoendesha Taifa hili.
Mama anaupiga mwingi ee?Wamesema kesi itakuwa kwa video za simu, itahudhuliwa na watu wasiozidi 4 sababu ya Corona. CCM kwa hili nimewavulia kofia aisee, nyie ni wa-nouma.
Maandiko yanasema Shetani na Mapepo wake wote ni Malaika ila ni wale waliohasi.Naaza kuamini kabisa kuwa ule msemo wa 'shetani akizeeka anakuwa malaika' Ni uongo mtupu, shetwani ni shetwani tu hawezi kubadilika kamwe!
kitu gani usicho kitambua, wewe familia yako bado haijapigwa na korona? unapata wapi muda wa kukusanyana mku?! watu wanapuputika kama majani!! ww unawaza mambo hayo wakati watu wanaomboleza misiba!!! achana na mambo ya katiba katiba.Sheria ya nchi ipi inayosema watu wasikutane na kujadili katiba yao ya nchi kama wanaona kuna umuhimu huo.
Wakila mvua mbowe na sabaya itakuwa ngoma droooWamesema kesi itakuwa kwa video za simu, itahudhuliwa na watu wasiozidi 4 sababu ya Corona. CCM kwa hili nimewavulia kofia aisee, nyie ni wa-nouma.
ila Mbowe alifikia pabaya sana!! Ugaidi!!Wakila mvua mbowe na sabaya itakuwa ngoma drooo
Unalinganisha haki za binadamu Kati ya Tanzania na Marekani?Na huo ndio UKWELI halisi, anaebisha ni NYUMBU wa ukweli
Tumwache skate ndani mahakama itaamua ...... sii wanaushaidi, Walter tutaonaCCM hata kizungu hakipandi, hicho kizungu alichoandika Catherine Ruge hamuwezi kukielewa, angekuwepo Mkapa angewasaidia.
Alichosema Balozi sio jibu kwa BAWACHA, Ni wito ametoa kwa Serikali dhalimu ya CCM kwamba ifuate sheria na misingi yake,Due process.
A man is innocent until proven guilty.
Mkiti wao ni bingwa wa kuivunja na kuinyea katiba yao, wanadhani watu wote wapo hivyo. Pata picha Rais angekuwa wa CDM then kafa, pangechimbika mtu wa kumrithi RaisNdo msubiri sasa mahakama itende haki. Kwanini wanashinikiza Marekani iingilie kati. Kwa hiyo wanataka waiingilie mahakama. Sasa demokrasia wanayoipigania iko wapi?
Sijui ni nani aliyewaaminisha Watanzania kuwa ukiwa na tatizo la Kisiasa na Kidemokrasia Basi Kimbilio huwa ni Ubalozi wa Marekani au nchini Marekani.
Mna uhakika wa 100% kuwa na Wao Wamarekani huko Kwao hakuna Ukiukwaji wa Kidemokrasia na Masuala ya Siasa? Mbona huwa hatukimbilii Balozi za Uingereza au Urusi au Ujerumani na hata China ikiwezekana?
Kwahiyo Kukimbilia Marekani ( katika Ubalozi wao ) ndiyo mnataka Kuwalazimisha waende Mahakamani wakawe Mawakili na Mahakimu ili Kiongozi wenu atoke ( atolewe ) upesi?
Hivi kwa jinsi ambavyo sasa hivi Tanzania chini ya Utawala huu wa Rais Samia Suluhu Hassan imerejesha vyema Uhusiano wake wa Kidiplomasia na zile nchi ambazo Kipindi cha Hayati Dkt. Magufuli ulitetereka mnadhani mtasikilizwa na kuonekana wa maana au mna Hoja au sana sana mtasanifiwa tu na Kupuuzwa?
CHADEMA ni Watani zangu Kisiasa GENTAMYCINE nikiwa ni mwana CCM 'tukuka' kabisa ila mara kwa mara tena hapa hapa JamiiForums nimekuwa nikiwaambieni kuwa msipobadilisha 'Political Strategies' zenu mnapotea Kisiasa na Kidemokrasia na msipoangalia mnapoelekea muda ni si mrefu mtakuwa 'labelled Political Terrorist Group' ndani ya Tanzania na Chama chenu Kufutwa kabisa.
Najua kwa post yangu hii Kwenu leo mtanichukia na Kunitukana mno tu hapa, ila nawashauri CHADEMA rudini katika Misingi yenu, Jitafakarini na ikiwezekana Mjisahihishe kwa Ustawi wa baadae wa Chama chenu.
Ubalozi wa Marekani wala Balozi wa Marekani hakuna mwenye Mamlaka ya 'Kuishurutisha' Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Amiri Jeshi Mkuu na Rais Samia Suluhu Hassan ifanye wanavyotaka Wao na niwaambie hili halitotokea hata Siku moja.
Mnaharibu wenyewe mnataka Msaada.
Balozi wa US kawajibu kwa dharau sana,yaani unaandika barua ndeefu halafu jamaa ana tweet
Wamarekani wanajua kuwa MAHAKAMA ndiyo sehemu sahihi ya kumaliza hayo.....View attachment 1873688
View attachment 1873689
Wanaukumbi.
Baada ya Bawacha kufanya maandamano kwenye Ubalozi wa Marekani wakishinikiza Mbowe, aachiwe na kutuma Tamko lao Ubalozini, majibu ya Balozi wa Marekani haya hapo chini.
View attachment 1873667
Wamesoma....wamesomea majikoni kwa BIBI ZAO......Jaribu pia kuwapiga shule ya Rule of Law. Wanaonekana kuwa na seriously flawed understanding of the Rule of Law!
Chadema ni genge la siasa....Mkiti wao ni bingwa wa kuivunja na kuinyea katiba yao, wanadhani watu wote wapo hivyo. Pata picha Rais angekuwa wa CDM then kafa, pangechimbika mtu wa kumrithi Rais
Wanataka siasa za NGUVU YA UMMA...CHADEMA watake wasitake wanapaswa waheshimu sheria za nchi, wajue kuwa hakuna aliye juu ya sheria.
kamwe wasitegemee Mataifa ya nje kuhalalisha uovu wa Mbowe na genge lake la kigaidi, badala yake wafuate taratibu za kisheria kupambana.
wakiendelea na mikakati yao eti ya kuichafua Serikali/nchi wataangukia pua, muda huo haupo chini ya awamu hii ya 6.
awamu hii inatumia akili nyingi zaidi kuliko nguvu.
Nilishawapuuza Siku nyingi sana Mkuu.