Majibu ya Ubalozi wa Marekani kwa BAWACHA baada ya kushinikiza Freeman Mbowe kuachiwa huru

Majibu ya Ubalozi wa Marekani kwa BAWACHA baada ya kushinikiza Freeman Mbowe kuachiwa huru

CHADEMA watake wasitake wanapaswa waheshimu sheria za nchi, wajue kuwa hakuna aliye juu ya sheria.
kamwe wasitegemee Mataifa ya nje kuhalalisha uovu wa Mbowe na genge lake la kigaidi, badala yake wafuate taratibu za kisheria kupambana.
wakiendelea na mikakati yao eti ya kuichafua Serikali/nchi wataangukia pua, muda huo haupo chini ya awamu hii ya 6.
awamu hii inatumia akili nyingi zaidi kuliko nguvu.
Sheria ya nchi ipi inayosema watu wasikutane na kujadili katiba yao ya nchi kama wanaona kuna umuhimu huo.
 
Hapo balozi kawapiga kibuti kwa kutumia soft language.
 
Chambua Mpira !!


Siasa hazitaki kukurupuka...

Kwa Marekani ,utake usitake, UTAPIGA GOTI TU.

hawajataka tu ,kwakua wanafaidika na mfumo mzima unaoendesha Taifa hili.
Kwa hiyo Marekani amekuwa Yesu, kwamba kwake kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri? Nyie watanzania wa karne ya 21 nani aliyewaroga?

Mi sina bifu lolote na Marekani au wamarekani, lakini haijawahi kuniingia akilini kwamba niione Marekani kama nchi ya kipekee. American exceptionalism ni namna wao walivyoamua kujibrand lakini kwangu mimi hata Tanzania ikiamua kujiweka exceptional inaweza tu.

Tunarudishwa tu nyuma na matakataka na makenge tu yaliyokoloniwa hadi vichwani mwao. Mengine hadi yana nyadhifa serikalini.
 
"Moja ya kanuni ya msingi ya kidemokrasia ni kwamba mtu aliyetuhumiwa kwa uharifu ana haki ya kupitia hatua sahihi (za kisheria) pamoja na kutendewa kwa usawa na uwazi mbele ya sheria. Ni muhimu hili likazingatiwa"


Hili naona ni jiwe kwa CHadema na Serikali.
 
Naaza kuamini kabisa kuwa ule msemo wa 'shetani akizeeka anakuwa malaika' Ni uongo mtupu, shetwani ni shetwani tu hawezi kubadilika kamwe!
Maandiko yanasema Shetani na Mapepo wake wote ni Malaika ila ni wale waliohasi.
 
Sheria ya nchi ipi inayosema watu wasikutane na kujadili katiba yao ya nchi kama wanaona kuna umuhimu huo.
kitu gani usicho kitambua, wewe familia yako bado haijapigwa na korona? unapata wapi muda wa kukusanyana mku?! watu wanapuputika kama majani!! ww unawaza mambo hayo wakati watu wanaomboleza misiba!!! achana na mambo ya katiba katiba.
mungu akipenda hadi mwaka 2040.
 
Wamesema kesi itakuwa kwa video za simu, itahudhuliwa na watu wasiozidi 4 sababu ya Corona. CCM kwa hili nimewavulia kofia aisee, nyie ni wa-nouma.
Wakila mvua mbowe na sabaya itakuwa ngoma drooo
 
Na huo ndio UKWELI halisi, anaebisha ni NYUMBU wa ukweli
Unalinganisha haki za binadamu Kati ya Tanzania na Marekani?
US,na mapungufu yake yote,ndio kimbilio la kila mtu anayeonewa kwenye nchi yake,
Majeshi ya Us yanaondoka Afghastan,sasa hv kila Raia anaomba nafasi aende US,kwanini hawaombi kwenda Saudia,Indonesia,Iran,au Pakistan?
US anauwezo mkubwa wa kushawishi,kwa mabavu au kidiplomasia,
Russia,china,Uturuki huwa wanashikishwa adabu,we unahoji kama wataweza kufanya hivyo Bongo?!!
Lisu aliokolewa na nani wakati wanyonya damu wa Jiwe walipozingira maeneo ya ubalozi wa ulaya,km chache kutoka Ikulu?
Usilinganishe US na vinchi vya afrika
 
CCM hata kizungu hakipandi, hicho kizungu alichoandika Catherine Ruge hamuwezi kukielewa, angekuwepo Mkapa angewasaidia.

Alichosema Balozi sio jibu kwa BAWACHA, Ni wito ametoa kwa Serikali dhalimu ya CCM kwamba ifuate sheria na misingi yake,Due process.

A man is innocent until proven guilty.
Tumwache skate ndani mahakama itaamua ...... sii wanaushaidi, Walter tutaona
 
Ndo msubiri sasa mahakama itende haki. Kwanini wanashinikiza Marekani iingilie kati. Kwa hiyo wanataka waiingilie mahakama. Sasa demokrasia wanayoipigania iko wapi?
Mkiti wao ni bingwa wa kuivunja na kuinyea katiba yao, wanadhani watu wote wapo hivyo. Pata picha Rais angekuwa wa CDM then kafa, pangechimbika mtu wa kumrithi Rais
 
Sijui ni nani aliyewaaminisha Watanzania kuwa ukiwa na tatizo la Kisiasa na Kidemokrasia Basi Kimbilio huwa ni Ubalozi wa Marekani au nchini Marekani.

Mna uhakika wa 100% kuwa na Wao Wamarekani huko Kwao hakuna Ukiukwaji wa Kidemokrasia na Masuala ya Siasa? Mbona huwa hatukimbilii Balozi za Uingereza au Urusi au Ujerumani na hata China ikiwezekana?

Kwahiyo Kukimbilia Marekani ( katika Ubalozi wao ) ndiyo mnataka Kuwalazimisha waende Mahakamani wakawe Mawakili na Mahakimu ili Kiongozi wenu atoke ( atolewe ) upesi?

Hivi kwa jinsi ambavyo sasa hivi Tanzania chini ya Utawala huu wa Rais Samia Suluhu Hassan imerejesha vyema Uhusiano wake wa Kidiplomasia na zile nchi ambazo Kipindi cha Hayati Dkt. Magufuli ulitetereka mnadhani mtasikilizwa na kuonekana wa maana au mna Hoja au sana sana mtasanifiwa tu na Kupuuzwa?

CHADEMA ni Watani zangu Kisiasa GENTAMYCINE nikiwa ni mwana CCM 'tukuka' kabisa ila mara kwa mara tena hapa hapa JamiiForums nimekuwa nikiwaambieni kuwa msipobadilisha 'Political Strategies' zenu mnapotea Kisiasa na Kidemokrasia na msipoangalia mnapoelekea muda ni si mrefu mtakuwa 'labelled Political Terrorist Group' ndani ya Tanzania na Chama chenu Kufutwa kabisa.

Najua kwa post yangu hii Kwenu leo mtanichukia na Kunitukana mno tu hapa, ila nawashauri CHADEMA rudini katika Misingi yenu, Jitafakarini na ikiwezekana Mjisahihishe kwa Ustawi wa baadae wa Chama chenu.

Ubalozi wa Marekani wala Balozi wa Marekani hakuna mwenye Mamlaka ya 'Kuishurutisha' Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Amiri Jeshi Mkuu na Rais Samia Suluhu Hassan ifanye wanavyotaka Wao na niwaambie hili halitotokea hata Siku moja.

Mnaharibu wenyewe mnataka Msaada.

Jaribu pia kuwapiga shule ya Rule of Law. Wanaonekana kuwa na seriously flawed understanding of the Rule of Law!
 
View attachment 1873688
View attachment 1873689
Wanaukumbi.

Baada ya Bawacha kufanya maandamano kwenye Ubalozi wa Marekani wakishinikiza Mbowe, aachiwe na kutuma Tamko lao Ubalozini, majibu ya Balozi wa Marekani haya hapo chini.

View attachment 1873667
Wamarekani wanajua kuwa MAHAKAMA ndiyo sehemu sahihi ya kumaliza hayo.....

Wamarekani hawawezi kuingilia SOVEREIGN za nchi nyingine.....

BAWACHA walijue hilo.....
BAWACHA hawana wajomba huko nje......🤣

#NchiKwanzaKablaYaNafsiZetu
#SerikaliMbiliMilele
#KaziIendelee
 
Mkiti wao ni bingwa wa kuivunja na kuinyea katiba yao, wanadhani watu wote wapo hivyo. Pata picha Rais angekuwa wa CDM then kafa, pangechimbika mtu wa kumrithi Rais
Chadema ni genge la siasa....

#KaziIendelee
 
CHADEMA watake wasitake wanapaswa waheshimu sheria za nchi, wajue kuwa hakuna aliye juu ya sheria.
kamwe wasitegemee Mataifa ya nje kuhalalisha uovu wa Mbowe na genge lake la kigaidi, badala yake wafuate taratibu za kisheria kupambana.
wakiendelea na mikakati yao eti ya kuichafua Serikali/nchi wataangukia pua, muda huo haupo chini ya awamu hii ya 6.
awamu hii inatumia akili nyingi zaidi kuliko nguvu.
Wanataka siasa za NGUVU YA UMMA...
 
We Ni Nani mpaka useme ulishawapuuza? Kwenye maisha yao hao cdm wakifanya hayo we unaumia Nini? Kwanini unataka kuwapangia style yao ya maisha? Nadhani we ungeendelea tu na maisha yako. Utakufa na Corona cdm itakuwepo tuu.
Nilishawapuuza Siku nyingi sana Mkuu.
 
Kwani wananchi wa Jimbo gani waliwatuma chadema kudai katiba mbona wana viherehere wanachokitafuta ni uwepesi wa kuingia madarakani
 
Back
Top Bottom