Uchaguzi 2020 Majimbo haya yanatakiwa kwa gharama yoyote na CCM

Mijitu mishamba kama wewe hamfai kuwa Watanzania
 
Ila tuache utani magu ni mtu mbaya sana jana kanipigia mtu kata funua tatu za maana pale hai sijui kama leo mbowe ataamka.
 
Kuti
Propaganda za kadamshi
 
 
Endeleeni kujidanganya tu, eti watu wamejaa, au watoto ndo wanajaa?
 
Uchaguzi wa mwaka huu CCM hawakutegemea Kama utakuwa hivi.Ni mgumu kuliko chaguzi zote zilizowahi kutokea
 
kwa kampeni ya nguvu aliyo kufanya Magufuli naamini zaidi ya majimbo hayo yatakuwa mikononi mwa CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…