Majina ambayo ni moja ...yanatofautishwa na jinsia za watoto...tuweke list

Uhuni 🤣🤣🤣

Imagine watu wazima na akili zao timamu wanamuita mtoto kipenzi Shida/Matatizo/Havintishi
Hao naona serikali iingilie tu kati
Kabisaaa...mie siwezi wapa cheti cha kuzaliwa. Huo ni ukatili kwa mtoto.
Wewe kama u got problem na bby daddy au mama usilete chuki zako kwa mtoto.

Msave bby daddy au mama hayo majina kwenye simu yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…