Majina ya Kina John wamefanikiwa sana kuingia kwenye Siasa na Serikali Tanzania, nini siri ya jina John?

1. John Kijazi
2. John Magufuli
3. John Heche
4. John Mnyika
5.John Kaijage
6. John Kitwanga
7.............
Aliyepata hasara ni John Babptist tu.

Kama una akina john wengine wataje
Hakuna John Kitwanga!! Hoja yako ni mufilis wala haistahili kuwa thread
 
1. John Kijazi
2. John Magufuli
3. John Heche
4. John Mnyika
5.John Kaijage
6. John Kitwanga
7.............
Aliyepata hasara ni John Babptist tu.

Kama una akina john wengine wataje
John Deere mtz yupo USA
John pambalu mwenye kiti alie pita bavicha
John delunga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…