Mkurugenzi wa TRC1.Mkuu wa wilaya ya Tabora-Erick Kitwala
2. Mkuu wa wilaya ya Ilala- Mwilabuzu Ndatwa.
3. Mkuu wa wilaya Chunya- Sgt Simon Mayeka.
4.Naibu Waziri wizara ya ardhi na maendeleo ya makazi- Angelina Mabula.
5.Mkurugenzi wa Tcra- James Killaba
6.Mkurugenzi wa Pssf- Hosea Kashimba.
Mdau na wewe tupia mmoja wapo unaemjua
7. Waziri wa afya1.Mkuu wa wilaya ya Tabora-Erick Kitwala
2. Mkuu wa wilaya ya Ilala- Mwilabuzu Ndatwa.
3. Mkuu wa wilaya Chunya- Sgt Simon Mayeka.
4.Naibu Waziri wizara ya ardhi na maendeleo ya makazi- Angelina Mabula.
5.Mkurugenzi wa Tcra- James Killaba
6.Mkurugenzi wa Pssf- Hosea Kashimba.
Mdau na wewe tupia mmoja wapo unaemjua
Siwezi kuendelea kuchati na mtu asiye na akili za kudadavua mambo kimapana kama wewe.Masukuma ni Majinga Sana kama wewe.
Walioteuliwa walikuwa mateja kwani,hawana sifa?Kwani idadi yao kuwa wengi ndio wawe wanajiteua kwa upendeleo?
Swala la Ujinga wa wasukuma haina haja ya Kudadavua .. ni Majinga.Siwezi kuendelea kuchati na mtu asiye na akili za kudadavua mambo kimapana kama wewe.
Tatizo lako unabisha kwa ushabiki, huku hutaki kuangalia kuwa unapokuwa mtawa unapofanyq uteuzi lazima ubalance makabila ili kuleta umoja. Haijalishi kuwa kabila lako wanazo sifa za kuwa viongozi lazima ubalance. Kwa hiyo haiingii akilini kusema eti kwa kuwa wasukuma wanasifa basi wapewe teuzi tu.Nilikupa Mfano wa Nyerere kwa makusudi maana nilijua utakuja na point za kutetea 'Nepotism' yake
Basi tumia point hizo hizo kumtetea JPM kuwa kumbe tatizo sio kuteua Ndugu zako issue ni jee wanastahiki au laa… basi wateule wa JPM ambao ni wasukuma tujadili sifa zao kama wanastahiki au laa sio kuleta issue za kikabila…
Sio sahihi kujaza chuki zenu za kikabila wakati mnaupinga ukabila
Nashangaa hata wale waliokula fursa za kibiashara wakati wa Anna Mkapa nao eti wanapinga 'ukabila' wa Wasukuma… hata wale waliolamba 'fursa' wakati wa Kimei CRDB nao eti 'wamehuzunishwa' na ukabila wa JPM
Huna akili wewe[emoji3][emoji3][emoji2]Swala la Ujinga wa wasukuma haina haja ya Kudadavua .. ni Majinga.
DPPJaji kiongozi ni msukuma. Mwanasheria mkuu ni msukuma, jiongeze we msukuma.
Haikuwa poa kabisa.7. Waziri wa afya
8. Mganga mkuu wa serikali
9. Katibu mkuu wizara ya afya
10. Katibu mkuu wizara ya fedha
11. Dc wa Wilaya ya siha kule kilimanjaro
12. Das wa moshi DC
13. Ded wilaya ya siha
14. RC Njombe
15. Mkurugenzi wa ewura .anayeshughulikia gas na Petroleum
16. Kaimu katibu mkuu time ya madini
17. Waziri wa nishati
18. Waziri wa madini
19. Mkurugenzi wa tume ya uchaguzi
20. Rc Geita
21. Endelea .....
Mkuu pohamba najua wewe ni mhenga mwenzangu.Kwani Rais akiwa kabila fulani maana yake watu wa kabila lile wanapoteza haki na fursa ya kuwa Viongozi hata kama wana sifa na Vigezo?
Si sahihi kupinga ukabila kwa njia za kikabila
Dpp ni mjita.
Ubaguzi wa hali ya juuKwani makabila mengine nayo hayakuwa na watu wenye sifa hizo hadi ateue kabila lake tu kwa wingi?
Dpp ni mjita.
Aiseeeee?Mkurugenzi wa Tarime from Hutu land kabisaaa .
Ndiyo maana kila mzalendo wa kweli alikuwa na manung'unikoIla kwenye utawala wa Mwendazake ukabila, kejeli, matusi, upendeleo na chuki za waziwazi vilizidi bana..
Kuna mapungufu yalitokea awamu ya tano, hakukuwa na uwiano mzuri wa kikabila.Mkuu pohamba najua wewe ni mhenga mwenzangu.
Watu wanacho ongelea ni usawa kwenye uteuzi wa hawa viongozi wetu.
Siyo siri kabisa kuwa ukianza kupanga listi tangu namba moja hadi ya mwisho kwa kikabila utagundua wenzetu wa mwanza ni wengi sana.
Nafikiri ulikuwa unaona viongozi wa awamu ya kwanza walivyo kuwa .
Sina ubaya wowote na maamuzi ya mwenye mamlaka ya kuwachagua ila kama binadamu lazima kutoa wasiwasi wangu.
Wewe ni mku.ndu kuwaka kweli, hivi unawafahamu hawa makabila yao;7. Waziri wa afya
8. Mganga mkuu wa serikali
9. Katibu mkuu wizara ya afya
10. Katibu mkuu wizara ya fedha
11. Dc wa Wilaya ya siha kule kilimanjaro
12. Das wa moshi DC
13. Ded wilaya ya siha
14. RC Njombe
15. Mkurugenzi wa ewura .anayeshughulikia gas na Petroleum
16. Kaimu katibu mkuu time ya madini
17. Waziri wa nishati
18. Waziri wa madini
19. Mkurugenzi wa tume ya uchaguzi
20. Rc Geita
21. Endelea .....
Bashite alikuwa na sifa gani ndugu yangu ,kaka yangu Pohamba!Katika hao uliowataja tupe jina la ambae hakuwa na sifa lakini akalamba uteuzi
Unajua hata Nyerere alishawahi kumteua Mdogo wake wa damu Joseph Nyerere kuwa Mbunge wa kuteuliwa?
Unajua kuwa Hayati Mzee Abeid Aman Karume (1st President wa Znz) alimteua Mwanae Amani Abeid Aman Karume
(6th President of Znz) kuwa 'Doto James' wa Znz mwaka 1969?
Acheni kuwasakama Wasukuma kwa njia za kikabila
Msijaribu kupandikiza mbegu msiyojua ukubwa wa mti wake ikianza kumea
Walianza wao kutubeza sisi wananchi wa kawaida na tulivumilia ingawa kwa machungu sana .Ni kweli kulikuwa na hisia za upendeleo lakin tusitumie kigezo hicho kuanza kuwaandama, tutakuwa tunaharibu Tanzania yetu adheem
Wewe ndio mku.ndu kabisaMasukuma ni Majinga Sana!