Majina yangu 10 yanayofaa Nafasi ya Msemaji Mkuu wa Serikali

Mwi Mwijakuuu🤣
 
Dotto Bulendu ...ila watamchafua tu .... Ananyoosha sana maelezo tatizo atalazimishwa kusema uongo..kimbembe kipo hapo...
 
Dr Haji Manara (PhD)
 
Dr Haji Manara (PhD)
Tatizo viunganishi. Anaweza kuitisha Press conference wakati wa maswali na majibu akahororojoka kiunganishi kimoja hicho! people mkaziba midomo mkipigwa na bumbuwazi Zito lisilomithirika
 

Baruhani muhuza.
 
Apewe hata Dida Au Juma lokole sioni faida ya kuwa na msemaji ambae rais wake anasema Katiba ni makaratasi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…