econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Cheo Cha mseaamji mkuu wa serikali kimekuwa Cha kawaida Sana.Baba Levo
Mwijaku
M Kitenge
Zembwela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cheo Cha mseaamji mkuu wa serikali kimekuwa Cha kawaida Sana.Baba Levo
Mwijaku
M Kitenge
Zembwela
Mwijakuuu🤣Mama anampenda sana Balile, haachi kumtajataja kwenye events za wanahabari. Huyu yahaya mohamed ndio nani, yuko media gani? Balile akila shavu serikalini na gazeti lake litafikia ukomo wa kuaminiwa kama gazeti la uchunguzi. Wapo kina mwijaku, kitenge, sasali, kija yunus na vijana wengine wengi wanaweza kujaza nafasi ya msigwa
Hawa wanafit pale CCMMuamedi Ali au Hari kamwe wanafaa hasa kwenye propAganda
Wampe awe anatupa za ndaani kabisa za sirikali.Maalim zingizi mzee wa kudere
Hari kamwe, au Hari komwe yote Ni majina yake mkuu.Hari Kamwe au Hari Komwe?
Daaah....Christian wote watoe
Dr Haji Manara (PhD)Msemaji Mkuu wa Serikali ni Nafasi Muhimu na nyeti. Inamhitaji Mtanzania Mwenye uzoefu wa kutosha na kwenye sekta ya habari, mzalendo na ambae anaweza kuizungumzia positively Serikali wananachi wakamwelewa; pia Mwenye uwezo wa kuchakata taarifa vizuri na Mwenye art ya kufanya spinning katika namna positive ili 'kutuliza upepo'.
Hapa chini nimefikiria majina ya baadhi ya wananchi wanaoweza kufit katika wadhifa huu muhimu. Nimezingatia sifa zao za uzungumzaji na ushawishi. Wote wako vizuri kwenye kuzungumza na hadhira. Kama ifuatavyo:-
1. Deodatus Balile
2. Salim Kikeke
3. Neville Meena
4. Eshe Muhidin
5. Ayoub Rioba
6. Yahaya Mohamed
7. Badra Masoud
8. Dotto Bulendu
9. Hamisi Dambaya
10. Sakina Datoo
Hawa ni baadhi tu ya watu ambao nawaona wanaweza kuface situation na challenges zinazoambatana na wajibu huu mkubwa...
Mengine yanayoweza kufikiriwa ni:-
1. Dkt. Dotto Paul
2. Innocent Mungy
3. Fred Herbet
4. Nurdin Selemani
5. Jafar Haniu
6. Shaban Kisu
Kumbe mdau shule nil. Apewe degree au phd za heshima faster faster maana anajitahidi sana kujiweka karibu na mamlaka kuu.Kitenge angeweza, shule chache.
Msemaji Mkuu wa Serikali ni Nafasi Muhimu na nyeti. Inamhitaji Mtanzania Mwenye uzoefu wa kutosha na kwenye sekta ya habari, mzalendo na ambae anaweza kuizungumzia positively Serikali wananachi wakamwelewa; pia Mwenye uwezo wa kuchakata taarifa vizuri na Mwenye art ya kufanya spinning katika namna positive ili 'kutuliza upepo'.
Hapa chini nimefikiria majina ya baadhi ya wananchi wanaoweza kufit katika wadhifa huu muhimu. Nimezingatia sifa zao za uzungumzaji na ushawishi. Wote wako vizuri kwenye kuzungumza na hadhira. Kama ifuatavyo:-
1. Deodatus Balile
2. Salim Kikeke
3. Neville Meena
4. Eshe Muhidin
5. Ayoub Rioba
6. Yahaya Mohamed
7. Badra Masoud
8. Dotto Bulendu
9. Hamisi Dambaya
10. Sakina Datoo
Hawa ni baadhi tu ya watu ambao nawaona wanaweza kuface situation na challenges zinazoambatana na wajibu huu mkubwa...
Mengine yanayoweza kufikiriwa ni:-
1. Dkt. Dotto Paul
2. Innocent Mungy
3. Fred Herbet
4. Nurdin Selemani
5. Jafar Haniu
6. Shaban Kisu