N ndo vile JF-Expert Member Joined Mar 11, 2023 Posts 443 Reaction score 296 Jan 8, 2025 #61 Mr.Junior said: Kama ni Psrs hawaweki anuani. ili upewe bahasha yako yenye barua utaulizwa anuani yako kwanza. Click to expand... Labda sikuhizi ila zamani walikuwa wanakuwekea na anuani yako,na ilikuwa siyo lazima uende pale maktaba kuu kuchukua barua,baada ya siku 14 walikuwa wanakutumia
Mr.Junior said: Kama ni Psrs hawaweki anuani. ili upewe bahasha yako yenye barua utaulizwa anuani yako kwanza. Click to expand... Labda sikuhizi ila zamani walikuwa wanakuwekea na anuani yako,na ilikuwa siyo lazima uende pale maktaba kuu kuchukua barua,baada ya siku 14 walikuwa wanakutumia
emmarki JF-Expert Member Joined Nov 22, 2012 Posts 1,001 Reaction score 1,430 Jan 9, 2025 #62 kitambulisho lazima uende nacho