Usizoea kudandia quote za wanaume,
Mwambie mleta uzi alete source kamili kama ni link sawa tuone picha ni ya lini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hichi kituo watuhumiwa wakijiunga na kukojolea ukuta unadondoka wanatoroka
alete picha ya karne hii tuone hicho kituo bomba chenye jina hilo.
mataga wanapenda kutaga popote tu bila kujizuiya.
Naona mwisho umejishtukia kua huna ujualo,haya kaa pembeni ila siku nyingine uache tabia ya kudandia gari usilojua linapokwenda.Wewe unapenda majibizano. Hiyo sio tabia ya wanaume kamili.
Tembea uone nenda buhigwe buhigwe huko mitaa ya muyama mpaka kalelema ukitoka nenda Uvinza fika mpaka Kalya.
Leteni source sehemu Hizo picha zilikopostiwa.
hapa kwenye hii thread ndiyo source na ndiyo zimepostiwa kwa mara ya kwanza hapa.
Hicho kituo kwn hakina jina...yani ccm wakifanyie ukarabati halafu wasikizindue...si dunia itaisha
Nyie na mabinti zenu hamna tofauti. Wanaume wanapenda kuropokwa kushinda wanawake. Tabia za kishenzi hizi. Wacha nikuwache uendelee kuropokwaNaona mwisho umejishtukia kua huna ujualo,haya kaa pembeni ila siku nyingine uache tabia ya kudandia gari usilojua linapokwenda.
source hii hapa https://www.jamiiforums.com/threads...maeneo-ya-kigoma.1631402/page-5#post-32908039Do you know the meaning of source?
Hivi ufipa Si kuna siku mlienda kuokota picha za shule huko kenya ambayo maji yalijaa darasani alafu wanafunzi wamekaa kwenye mawe huku darasa likiwa na maji?
[emoji23][emoji23][emoji23] alafu mkawa mnaisambaza mitandaoni mkidai ni Tz,
Source yenye link iletwe hapa.
yes ni kweli kabisa kenya kuna flying toilet. na Tanzania kuna kituo cha polisi kilichojengwa kwa matope, source ya habari hii ni JF cheki link hii https://www.jamiiforums.com/threads...maeneo-ya-kigoma.1631402/page-5#post-32908039Nonsense,
Hii ni source au uzi [emoji23][emoji23][emoji23]
Naona nabishana na mtu mwenye uwezo mdogo hapa,
Wacha nikanye kwenye flying toilet kwanza.
yes ni kweli kabisa kenya kuna flying toilet. na Tanzania kuna kituo cha polisi kilichojengwa kwa matope, source ya habari hii ni JF cheki link hii https://www.jamiiforums.com/threads...maeneo-ya-kigoma.1631402/page-5#post-32908039
hakuna video ipo picha.Unaona hapo nimekuletea video ya flying toilets [emoji23][emoji23][emoji23]
Na wewe lete source hata link pia,
Jamii forum sio source.
Mbona umepata kigugumizi cha ghafla? unaandika kama unakimbizwa?Nyie na mabinti zenu hamna tofauti. Wanaume wanapenda kuropokwa kushinda wanawake. Tabia za kishenzi hizi. Wacha nikuwache uendelee kuropokwa
Majirani zetu kutoka 'dona kantri', mnahitajika hapa kwa dharula. Hii nayo imepitiliza, ukizingatia zile mbwembwe za 'tunajenga kwa hela zetu'. Sijui tutaiitaje hii, hali mbovu ya mazingira ya kazi na huduma msingi kwa wananchi au ni utepetevu na ujeuri tu wa viongozi? Mbaya zaidi ni kwamba hawa ni watumishi wa umma ambao wapo karibu sana na chama tawala. Nimezoea kuona 'barracks' mbovu za polisi kutoka kwa nchi mbali mbali za Afrika. Ama 'police posts' ambazo huwa ni temporary wakati wa vurugu na ukosefu wa usalama. Ila kituo cha polisi, kama hiki, ambacho ndio sura ya serikali ni aibu kubwa. Sio kwa nchi ya Tz pekee yake, bali kwa ukanda huu na bara hili la Afrika kwa ujumla. Huu wimbo hapa, Run away- Gentleman una ujumbe kuntu sana, kwenu nyinyi wanakwaya kwenye jukwaa hili. How long you a go run away, from yourself.
hakuna video ipo picha.
uzalendo ni kukubali madhaifu yako na kuyafanyia kazi na sio kuharisha ugoro wa kijani kama huu unao hara hapa.