Majirani wameamriwa na Mahakama wamlipe jamaa Tsh. 500

Nakuhakikishia hakuna mahakama itakayotoa hukumu kama hiyo kwa kilichofanyika
Mzee soma vizuri Uzi uelewe Mimi ni mtu wa aina gani katika hiyo kesi Mimi sihusiki na jamaa sio rafiki yangu kiufupi ni watu ambao hatuna mazoea ila baada ya kesi ndio Kila mtu anaongea yake kuhusu jamaa mtaani
 
Na kwa mahakama gani Tz ya kutoa hukumu fasta hivyo.
Juzi tu katuletea uzi wake wa jamaa kushtaki, baada ya siku 2 hukumu ishatoka.
 
Lete hukumu ya Mahakama tuisome alafu ndiyo tutajua kama imetenda haki au imebolonga!!
 
hv hao majiran wana raslimal gan mana watu wanahukumu kutokana na uwezo wako leo hamoniz wamuhukumu kulipa bilion 5 si kumuua huku wakati crdb kakopa m200 anunue prado mwaka sasa hajui analipaje!! hamoooo khoo khooo yaoo yaoo!? aah sorry kumbe tunaongelea majiran
 
kwa vyombo vya habari vinavyo penda umbeya wa kwanza tren mirad ayo tungesha sikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…