Major Claude NDIKUMANA wa jeshi la Burundi, akamatwa akiwa mzima na M23 huko Kivu kusini

Angalia mguu wake wa kulia unaodaiwa kupigwa risasi, atawezaje kukimbia?
Naona mguu umefungwa tu kitambaa cheusi may be a Fix?. Sioni damu kwenye combat au afande hatokagi damu?, halafu mwamba kala pozi kivulini na kwa mbaaali naona nyumba za wanakijiji(Sio mji).
 
Mkuu, Burundi haijawahi kukiri kuwa kuna mwanajeshi wake amekamatwa. Jambo ambalo mpaka sasa limewavunja moyo wanajeshi hao, kwa sababu kila wanapopigana, kuanzia Kivu Kasikazini, wanajeshi waliotekwa na kujisalimisha, wote Burundi inasema haiwajui. Anaeacha kupigana, hukumu kwao ni kifungo cha maisha.
 
Buja kwenye mwambao wa Tanganyika na Mji muruwaa sana nilikaa huko enzi za Bagaza.
 
Ina mana M23 wanayo mindombinu (infrastructure) kwa ajili ya kuwahifadhi mateka wa kivita au
Probably, ndiyo maana waliwateka wajeda wa Kibongo na wa Kisauz then wakaamua kuwaachia warudi makwao.
 
Sikuwa na dukuduku lolote zaidi kuhusu cheo chake bali aliyenijibu komenti yangu (soma #50) alinihoji "kwann unaamin kuwa ni major"
Nadhani alikuwa hajafuatilia vizuri mzungumzo. Nimeridhika huyo ni major.
 
Inawezekana; lakini jamaa (huyo afande)anaonekana mtanashati, uso unang'aa na wakamataji wake(Wapiganaji) hawaonekani japo jirani kumlinda asitoroke. Yan ni kama mtu yupo kwenye Interview au mahojiano fulani hivi. Hana wasiwasi kabisa.
Hiyo ni picha yake ya kitambo imetumika siyo kwamba imepigwa akiwa chini ya ulinzi.
 
Acha usenge watu tuna watoto wadogo
 
Vitani hawavai vyeo mkuu
 
Kwamba unaamini jeshi linakosa boots ya kijeshi?!
Mkuu kwa jiografia ya kivu, rutshuru hadi bukavu kwa kipindi cha mvua hiyo ni kawaida kabisa.
Nadhani ukiangalia hata hao m23 na askari kwa kongo wengi wanavaa, fatlia
Nadhani hawajui Mazingira ya huko ndio maaana wanashangaa hizo gumboots
 
Kuna kosa gani?!
Uvaaji wa gunboots ni kwasababu za kimazingira eneo alilopo nilatope unataka avae boots za kawaida?!
Ndiyo walimu wetu hao 🤡🤡watakuambia kwanini meja mzima kavaa koti la mvua au kwa nini meja mzima anaugua Malaria 😁😁
 
Ndiyo walimu wetu hao 🤡🤡watakuambia kwanini meja mzima kavaa koti la mvua au kwa nini meja mzima anaugua Malaria 😁😁
Wanaamini kwamba private au koplo wanatembea pekupeku.. 🤣🤣
Watoto wetu wanalishwa mashudu sana huko mashuleni.
 
Kazaliwa miaka ya 90,akajiunga RPF kisha akarudi 'kwao' congo,rpf wamepigana 1994 na kuchukua nchi,alijiunga akiwa na umri gani?
 
Hakuna mtanzania anayepigana m23
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…