MAJUTO: Nimejenga kimya kimya Mume wangu kajua hanishirikishi tena mambo yake

Aiseee kwa hiyo ndo matumizi ya elimu haya πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€’
 
Nisaidie nifanye nini nisamehewe na aanze kunishirikisha tena?
Mkifika hatua hii sasa ndio mnaanzaga kuwa wachawi rasmi mwanzo ulikua unachukua master's ya uchawi sasa hapa ulipofika ni kwenda kuchukua PhD ili umalize mchezo na uchawi wenyewe ni aidha ummalize ubakiwe na mali na uwatimue ndugu zake anaowakumbatia au uombe talaka kila mtu aishi maisha yake maana ulianza kuwanga sasa umeshtukiwa kua wewe ni mchawi kigagula sangulachore kabisa wewe

Na hii mboni nasikia harufu ya Chai hapa? Tangawizi inatokea wapi?
 
Tamaa zilimponza fisi
 
Kuwa makini, ukiparara tu na mume unampoteza. Wanaume huwa hatuna mihemko. Tunajua tubonyeze button ipi ya kumnyoosha mwanamke asiyethamini uwepo wetu. Kilio husikika baadae.

Pengine tangu unajenga alikuwa anajua na anakutazama tu akikupa muda labda utajirudi. By the time amejiridhisha kuwa hujapitiwa na tibia ndo akatafuta sababu ya kubonyeza button, hiyo text ikaja, sababu ikapatikana button ikabonyezwa sasa mlio unasikika.
 
Uaminifu unajengwa kwa muda mrefu sana tatizo kwenye kuubomoa sasa ni tukio moja tu.
 
πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸŒ€οΈ
 
Huyo mtu ni mtu mwema sana,alikuamini kama Adamu kwa Hawa!Ubinafsi umekuponza,nunua kiwanja kwa jina lake mshangaze na kumuonyesha hati na matofali ,ili mjenge kwa pamoja Hakika atakuamini,umekula,utakuja kumshukuru Mungu
πŸ’­πŸ€”πŸ‘ŒπŸ‘πŸ‘ŠπŸ€πŸ†’
 
Umefanya ujinga utakaokugharimu sana. Sasa kama nyumba ushajengewa unazo na viwanja unavyo kwanini ulijenga kimya kimya. Wanawake tatizo lenu la ubinafsi liko rohoni.
 
Lipia tangazo mkuu
 
Aloo oooh! Hii Sasa ndio MAANA ya wale mabwana wa msimbazi wanasema kwamba.
UBAYA UBWELA πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…