sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
- Thread starter
-
- #61
wabena ndugu zenu ni wahehe,, hivi hii tabia ya kujifananisha na wakinga kwanini imeanza kushamiri baada ya wakinga kutoboa ? πππ dah kwakweli aliewai kusema mkono mtupu haulambwi jakukoseagaWabena watoe hapo hawana huo upuuzi, mbena anafanana sana kitabia na mkinga
Bila waha list haijakamilikaKuna aina ya kwanza ya makabila wana umoja lakini sio umoja wa kuwa tegemezi kama wachaga, wakinga, wakuria, n.k yaani kama wewe ni mgeni ukienda kwa ndugu utapokelewa vizuri tu lakini itabidi uwe umeshaweka ujio wako, ratiba yako ikoje, upo mpaka lini, mipango yako, n.k. kama ni kusalimiana ni sawa kukaa hata wiki 2 ila baada ya hapo unarudi kwenye shughuli zako, sahau kuweka kambi hapo ya kudumu. kama huna shughuli na umefika hapo labda muwe mshaelewana mwenyeji wako atakusaidia mtaji na kukuzoesha mazingira ya hapo ili nawe uanze kujitegemea uwe na pako.
Kuna aina ya pili ya makabila Ukiachana na yale makabila ambayo ni mengi ambayo hayataki kabisa ndugu kqenda kuwasalimia haga tutayazungumzia siku nyingine na haya na
Ila kuna hii aina ya tatu ya makabila mengine, yaani mmoja akipata utasikia shangazi, mjomba, mtoto wa baba mkubwa, mawifi, mashemeji, n.k yaani wote wanaenda kwa mji mmoja wa mtu mwenye familia moja wanakula na kulala hapo kisa eti wamesikia anafanya benki.π π hii kitu inafanya mtu ashindwe kujikwamua kiuchumi yaani mtu mshahara laki7 au laki 5 mnamgandaa hivyo hawezi tobo.
kwa wachagga wengi huu utaratibu amna.
Makabila haya kwangu niliyoyaona ni kama.
-Wanyakyusa
-Wazaramo
-wasambaa
-Wabena
Kuna ile kujifich nyuma ya kivuli cha undugu lakini inakuwa inazidi sasa, mtu hata maendeleo yanashuka
Wasukuma watakupendacukiwa huna kitu ila ukianza kutoboa wana roho mbaya sanaWasukuma ni watu wa kazi. Hata kama akija kwako hawezi kukaa kizembe.
Kama una shughuli za kufanya msukuma hawezi kukuangusha.
Ingawa magufuli alikuja kutengeneza kundi la wasukuma wapumbavu sana.
Ingawa wasukuma wengi Bado ni watu wema sana
Wanyakyusa watu wa upendo wa mshumaaHapo kwa wanyakyusa ni uongo. Wanyakyusa wazazi kwenda kukaa kwa mtoto wao bila sababu yoyote ni mwiko
Huwajui wasukuma wewe..Msukuma aache kuchunga ng'ombe aje kwako!!!
Kwa kugawa papuchi?Halafu wasambaa sio wachoyo kabisa
πππhao ni hatari sitosahau walivyonimalizia sofa zangu, tv inaangaliwa kuanzia 12 asubuhi mpaka ngoma tisa night kali kulala nalala kwa tabuu kisa wao
Ongezea hapo wamasai na wambulu...
Kilichokufanya uweke mnyakyusa hapo namba moja ni nn? Una lako jambo sio bureKuna aina ya kwanza ya makabila wana umoja lakini sio umoja wa kuwa tegemezi kama wachaga, wakinga, wakuria, n.k yaani kama wewe ni mgeni ukienda kwa ndugu utapokelewa vizuri tu lakini itabidi uwe umeshaweka ujio wako, ratiba yako ikoje, upo mpaka lini, mipango yako, n.k. kama ni kusalimiana ni sawa kukaa hata wiki 2 ila baada ya hapo unarudi kwenye shughuli zako, sahau kuweka kambi hapo ya kudumu. kama huna shughuli na umefika hapo labda muwe mshaelewana mwenyeji wako atakusaidia mtaji na kukuzoesha mazingira ya hapo ili nawe uanze kujitegemea uwe na pako.
Kuna aina ya pili ya makabila Ukiachana na yale makabila ambayo ni mengi ambayo hayataki kabisa ndugu kqenda kuwasalimia haga tutayazungumzia siku nyingine na haya na
Ila kuna hii aina ya tatu ya makabila, yaani mmoja akipata ajira na awe na makazi hasa nje ya mikoa waliyoyokea basi wenzake watamfata kwenda kujazana kwake... Na hii pia inahusika ukioa makabila ya aina haya basi utegemee ndugu wa mkeo kujazana hapo kwako. yani mashangazi, wajomba, watoto wa baba mkubwa, mawifi, mashemeji, n.k kati yao hawakosi hapo si chini ya nne wote wanaenda kwa mji wa mtu wao kwenda kuishi huko huko kwa mda mrefu... wanakula na kulala hapo kisa eti wamesikia anafanya benki.[emoji28][emoji28] hii kitu inafanya mtu ashindwe kujikwamua kiuchumi yaani mtu mshahara laki7 au laki 5 mnamgandaa hivyo hawezi tobo.
kwa wachagga wengi huu utaratibu amna.
Makabila haya kwangu niliyoyaona ni kama.
-Wanyakyusa
-Wazaramo
-wasambaa
-wasukuma
-Wabena
-wanyamwezi
-waha
Kuna ile kujifich nyuma ya kivuli cha undugu lakini inakuwa inazidi sasa, mtu hata maendeleo yanashuka
Alafu wasambaa wana majungu hao tena wanayapiga kwa kisambaaHalafu wanataka wale chakula kizuri kuliko cha hotelini vinginevyo huwapendi hao ndugu walio nyumbani kwako
Yaan hao kama ukimuoa dada yao alafu ana wadogo zake wa kike basi utabandua wote maana wote watakuja kujazana kwako hao makaka zao na wajomba zao wote watakujaKwa wasambaa nimeishi nao hili nakubali π dingi yangu mkubwa alioa huko. Mzigo anao kiaina basi ndugu hawakauki hasa dada wa mkewe na nahisi wengine aliwagonga πππ maana mzee wangu baharia yule!
Wanyakyusa wanaupa undugu uzito mkubwa sana hata uwe ule ambao ni wa kizazi cha babu zake,,,, yani hata mjukuu wa mke wa baba mdogo wa babu si ajabu undugu ukawa unaendelea hapo, wanyakyusa wameendekeza sana undgugu, hii inapelekea hata kujazana kwenye nyumbaKilichokufanya uweke mnyakyusa hapo namba moja ni nn? Una lako jambo sio bure
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Watakua wa gamboshi hao.Wasukuma jmn kibokooo, wanakuja hata 6 alafu jinsia tofauti mpaka unawaza uwalaze wapi?
Na wanyantuzu pia nao inasemekana sio wasukuma.Labda wasukuma wa masumbwe , kahama ambao kiasili sio wasukuma
π Wenyewe hawa. We mpemba au mzaramo?Acheni roho mbaya basi
πUmasikini, uchoyo na roho mbaya vinawasumbua.