Wasambaa hawana hayo maisha ya utegemezi. Akienda kwa ndugu yake mjini, ni kwa ajili ya kupata hifadhi ya muda ili baadaye na yeye ajitegemee, na nyakati za sikukuu arudi nyumbani kusherehekea na wana familia waketatizo ni ndugu tegemezi wasipenda kujishughulisha nao wajitegemee,
Waha ndio wanaongoza.Hatukatai ndugu kuja shida mtu anakuja kukaa tu yani hawazi kazi wala nini,
Inavyotakiwa inabidi muwe na umoja lakini sio umoja wa kuanza kujazana na kuwa wategemezi, Kuna makabila hayawezagi kuvumilia mtu kuja kukaa awe tegemezi na wala si mgonjwa ama mzee, mifano mizuuri kama wachaga, wakinga, wakuria, n.k yaani kama wewe ni mgeni ukienda kwa ndugu utapokelewa vizuri tu lakini itabidi uwe umeshatoa taarifa juu ya ujio wako, shughuli iliyokuleta, ratiba yako ikoje, upo mpaka lini, mipango yako, n.k. kama ni kusalimiana wiki 2 zinatosha, sahau kuweka kambi hapo ya kudumu.
Kimbembe kipo kuna makabila wakishaona mwezao katoboa mjini, basi ndugu zake ama ndugu wa mke huhamishia kambi huko ,... wanakula na kulala hapo bila kazi maalum [emoji28][emoji28]
Makabila haya kwangu niliyoyaona ni kama.
. Watu wa pwani - wazaramo, wasambaa, wadigo
. Wanyakyusa - hawa huwa wanaendeleza undugu hata ule wa mbali, hata mke wa mjukuu wa baba mdogo wa babu bado anahesabiwa kama ndugu, kawaida sana kukuta mnyakyusa ana ndugu 100
Wabena , warangi, wanyamwezi na wagogo,
Kuna ile kujificha nyuma ya kivuli cha undugu lakini inakuwa inazidi sasa, mtu anaridhika miaka inaenda yupo tu
Dah hayo maeneo uliyotaja umenikumbusha mbali sana.Makabila yote ya Bara la Afrika yako hivyo.
Wangapi kila siku mnaomba Connection za kufikia UK, USA na South Afrika kwa Watanzania wenzenu?. Huuu ni utamaduni wa kiafrika kuuacha na kuiga Umagharibi ni suala la muda so tusilasimishe suala hili liiishe mara moja.
Huu ujinga mnaopeana hapa kwamba tusibebane ndio Maaana Watanzania hatupigi hatua Huko Ng'ambo.
Sammata hajavuta mtu EPL wala Ubelgiji, lkn angekuwa Mnigeria angewavuta kina Msuva, Manula nk lkn kwa huu ujinga mnaojazana hapa jamvini anawabania wengine, na hao wengine wanajiskia Vibaya kwenda kufikia kwa sammatta ili watafute maisha.
Hashim Thabit kamvuta nani??
Kikeke yuko BBC kamvuta nani???
Wengine wako WB, IMF Wamevuta kina nani??
Huko BOEING kuna Mnyakyusa kafanya nini kwa watanzania???
Wote hawafanyi kitu kwakuwa vichwani wamejaza UTI wa aina hii mnayodili hapa.
NENDA NIGERIA, nenda GHANA, Nenda CAMEROON akienda Rigobert Song lazima ALEX SONG naye aende na atoboe. Akienda KANU lazima aje OKOCHA.
Nenda SERBIA akienda Simba lazima aje MZUNGU na atatoboa.
Anyway: pale kwangu Kigamboni nina Wazinza kibaoooo kutoka Nkome Mchangani mpaka Kakubilo wako Daaaslam wanasaka Maisha. Wewe na Uzungu wako kazana kushupaza shingo na Umimi wako[emoji120]
Wakukrya,watu wa mbeya mpk makazini unakuta kampuni km ya maeneo ya kwao...boarding schools ndio balaa kabisaWasambaa
Wapemba
Ni wasukuma wote mbona mkiongea mnaelewana nyandaNa wanyantuzu pia nao inasemekana sio wasukuma.
Wanyamwanga ni kabila gani mkuu?Wanyamwanga ni balaa,kujazana kwa ndugu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sasa wewe ulienda kuishi kwa kaka yako, Kufuata mila za watu wa pwani. Au wewe ndiye halali kuishi kwa mwingine.Watu wa Pwani ndyo zao nilikua naishi kwa brother angu dah ndugu wa mke walikua wanabadilishana tu ndugu wa mme nilikuwa mwenyewe lkn wa mwanamke walikua wanne Afrika mtu hadi atoboe kazi sana na hasa familia zetu hzi ni shida
#tujiandaekuhesabiwa#
Hatukatai ndugu kuja shida mtu anakuja kukaa tu yani hawazi kazi wala nini,
Inavyotakiwa inabidi muwe na umoja lakini sio umoja wa kuanza kujazana na kuwa wategemezi, Kuna makabila hayawezagi kuvumilia mtu kuja kukaa awe tegemezi na wala si mgonjwa ama mzee, mifano mizuuri kama wachaga, wakinga, wakuria, n.k yaani kama wewe ni mgeni ukienda kwa ndugu utapokelewa vizuri tu lakini itabidi uwe umeshatoa taarifa juu ya ujio wako, shughuli iliyokuleta, ratiba yako ikoje, upo mpaka lini, mipango yako, n.k. kama ni kusalimiana wiki 2 zinatosha, sahau kuweka kambi hapo ya kudumu.
Kimbembe kipo kuna makabila wakishaona mwezao katoboa mjini, basi ndugu zake ama ndugu wa mke huhamishia kambi huko ,... wanakula na kulala hapo bila kazi maalum 😅😅
Makabila haya kwangu niliyoyaona ni kama.
. Watu wa pwani - wazaramo, wasambaa, wadigo
. Wanyakyusa - hawa huwa wanaendeleza undugu hata ule wa mbali, hata mke wa mjukuu wa baba mdogo wa babu bado anahesabiwa kama ndugu, kawaida sana kukuta mnyakyusa ana ndugu 100
Wabena , warangi, wanyamwezi na wagogo,
Kuna ile kujificha nyuma ya kivuli cha undugu lakini inakuwa inazidi sasa, mtu anaridhika miaka inaenda yupo tu
wabena umewaonea mzee.mbena hana tofauti na mhehe kuna usemi wao wanauita "Ndisina sida' manaake hawana shobo na vitu vya watu ni watu wa kujiridhikia na maisha yao.mimi sio mbena ni mtu wa visiwani huko ila nineishi huko na na nimesoma huko so nawajua vizuriwabena ndugu zenu ni wahehe,, hivi hii tabia ya kujifananisha na wakinga kwanini imeanza kushamiri baada ya wakinga kutoboa ? [emoji23][emoji23][emoji23] dah kwakweli aliewai kusema mkono mtupu haulambwi jakukoseaga
sina cha kusema umemaliza kila kitu well said mkuu.Makabila yote ya Bara la Afrika yako hivyo.
Wangapi kila siku mnaomba Connection za kufikia UK, USA na South Afrika kwa Watanzania wenzenu?. Huuu ni utamaduni wa kiafrika kuuacha na kuiga Umagharibi ni suala la muda so tusilasimishe suala hili liiishe mara moja.
Huu ujinga mnaopeana hapa kwamba tusibebane ndio Maaana Watanzania hatupigi hatua Huko Ng'ambo.
Sammata hajavuta mtu EPL wala Ubelgiji, lkn angekuwa Mnigeria angewavuta kina Msuva, Manula nk lkn kwa huu ujinga mnaojazana hapa jamvini anawabania wengine, na hao wengine wanajiskia Vibaya kwenda kufikia kwa sammatta ili watafute maisha.
Hashim Thabit kamvuta nani??
Kikeke yuko BBC kamvuta nani???
Wengine wako WB, IMF Wamevuta kina nani??
Huko BOEING kuna Mnyakyusa kafanya nini kwa watanzania???
Wote hawafanyi kitu kwakuwa vichwani wamejaza UTI wa aina hii mnayodili hapa.
NENDA NIGERIA, nenda GHANA, Nenda CAMEROON akienda Rigobert Song lazima ALEX SONG naye aende na atoboe. Akienda KANU lazima aje OKOCHA.
Nenda SERBIA akienda Simba lazima aje MZUNGU na atatoboa.
Anyway: pale kwangu Kigamboni nina Wazinza kibaoooo kutoka Nkome Mchangani mpaka Kakubilo wako Daaaslam wanasaka Maisha. Wewe na Uzungu wako kazana kushupaza shingo na Umimi wako[emoji120]
Ametuonea kabisa, sio tabia yetu.Wanyakyusa mbona hatuko ivo
Umetoa somo zuri sana, ukilipenda boga yakubali na majani yake, vijana wengi wanakurupuka sana kuoa na gharama ya kukurpuka wanailipa mpaka mauti wakiwa kwenye ndoa wanazojutia hawakufanya research ya kutosha zaidi ya kuangalia uzuri wa mwanamke ama shooNadhani kutokana na utandawazi, mgawanyo wa sifa kwa makabila bado upo kidogo lakini unakwisha kwa kasi sana. Kikubwa ni aina za familia na koo tunazooa bila kujali ni za kabila gani.
Kwa mfano, mimi ni mtu ninayependa kukaa peke yangu muda mwingi, na kabla ya kuoa nilihakikisha natafuta mwanamke wa aina hiyo. Pamoja na hilo kumsisitizia zaidi nilimwambia nilivyo, na yeye akasema tunafanana.
Japo anatoka miongoni mwa makabila au jamii zinazotajwa zaidi kwenye huu uzi kwa utegemezi, ila yeye hayuko hivyo. Ninafahamu pia baadhi ambao wameoa kutoka makabila yasiyo na hizo sifa lakini wamejikuta wanashindwa kupanga maisha yao kwa kuelemewa na gharama za ulezi wa ndugu.
NB: Kinachozungumzwa sio kutosaidia ndugu, ni kutokuwalemaza wasifanye kazi wahamie kusubiri huduma kwa ndugu. Ndugu akiwa na shida atasaidiwa aliko, au akija isipite wiki awe hayupo.
ni kawaida kujitetea kwenye mapungufu yetuWanyakyusa mbona hatuko ivo