Makabila haya mtu ukifanikiwa jiandae kujaza ndugu tegemezi kwako ama kukuomba misaada kila mara, ukikataa unaonekana huna undugu

Makabila haya mtu ukifanikiwa jiandae kujaza ndugu tegemezi kwako ama kukuomba misaada kila mara, ukikataa unaonekana huna undugu

Nakumbuka kuna mama mmoja wa kizigua aliolewa na mtu wa huko tanga sasa yule mama alikuwa ana ndugu kama wote na mnajua maisha ya dar chumba na sebule sasa ata kubadili nguo ni changamoto sasa yule mjomba alivyoona mambo magumu akaitelekeza ile familia mpk leo hajarud kwake aliona hiki Kijiji ni shida.
 
tatizo ni ndugu tegemezi wasipenda kujishughulisha nao wajitegemee,
Wasambaa hawana hayo maisha ya utegemezi. Akienda kwa ndugu yake mjini, ni kwa ajili ya kupata hifadhi ya muda ili baadaye na yeye ajitegemee, na nyakati za sikukuu arudi nyumbani kusherehekea na wana familia wake
 
Hatukatai ndugu kuja shida mtu anakuja kukaa tu yani hawazi kazi wala nini,

Inavyotakiwa inabidi muwe na umoja lakini sio umoja wa kuanza kujazana na kuwa wategemezi, Kuna makabila hayawezagi kuvumilia mtu kuja kukaa awe tegemezi na wala si mgonjwa ama mzee, mifano mizuuri kama wachaga, wakinga, wakuria, n.k yaani kama wewe ni mgeni ukienda kwa ndugu utapokelewa vizuri tu lakini itabidi uwe umeshatoa taarifa juu ya ujio wako, shughuli iliyokuleta, ratiba yako ikoje, upo mpaka lini, mipango yako, n.k. kama ni kusalimiana wiki 2 zinatosha, sahau kuweka kambi hapo ya kudumu.

Kimbembe kipo kuna makabila wakishaona mwezao katoboa mjini, basi ndugu zake ama ndugu wa mke huhamishia kambi huko ,... wanakula na kulala hapo bila kazi maalum [emoji28][emoji28]

Makabila haya kwangu niliyoyaona ni kama.

. Watu wa pwani - wazaramo, wasambaa, wadigo

. Wanyakyusa - hawa huwa wanaendeleza undugu hata ule wa mbali, hata mke wa mjukuu wa baba mdogo wa babu bado anahesabiwa kama ndugu, kawaida sana kukuta mnyakyusa ana ndugu 100

Wabena , warangi, wanyamwezi na wagogo,


Kuna ile kujificha nyuma ya kivuli cha undugu lakini inakuwa inazidi sasa, mtu anaridhika miaka inaenda yupo tu
Waha ndio wanaongoza.
Hao uliowataja unawaonea tu.
 
Mbona siwaoni Wapogoro na Warangi hapo...

Kule Mbezi Mwisho kuna mtaa hadi umeitwa jina la mtaa wa Warangi, sababu ya kuitana hadi wakajaza mtaa...
 
Makabila yote ya Bara la Afrika yako hivyo.
Wangapi kila siku mnaomba Connection za kufikia UK, USA na South Afrika kwa Watanzania wenzenu?. Huuu ni utamaduni wa kiafrika kuuacha na kuiga Umagharibi ni suala la muda so tusilasimishe suala hili liiishe mara moja.
Huu ujinga mnaopeana hapa kwamba tusibebane ndio Maaana Watanzania hatupigi hatua Huko Ng'ambo.
Sammata hajavuta mtu EPL wala Ubelgiji, lkn angekuwa Mnigeria angewavuta kina Msuva, Manula nk lkn kwa huu ujinga mnaojazana hapa jamvini anawabania wengine, na hao wengine wanajiskia Vibaya kwenda kufikia kwa sammatta ili watafute maisha.
Hashim Thabit kamvuta nani??
Kikeke yuko BBC kamvuta nani???
Wengine wako WB, IMF Wamevuta kina nani??
Huko BOEING kuna Mnyakyusa kafanya nini kwa watanzania???
Wote hawafanyi kitu kwakuwa vichwani wamejaza UTI wa aina hii mnayodili hapa.
NENDA NIGERIA, nenda GHANA, Nenda CAMEROON akienda Rigobert Song lazima ALEX SONG naye aende na atoboe. Akienda KANU lazima aje OKOCHA.
Nenda SERBIA akienda Simba lazima aje MZUNGU na atatoboa.
Anyway: pale kwangu Kigamboni nina Wazinza kibaoooo kutoka Nkome Mchangani mpaka Kakubilo wako Daaaslam wanasaka Maisha. Wewe na Uzungu wako kazana kushupaza shingo na Umimi wako[emoji120]
Dah hayo maeneo uliyotaja umenikumbusha mbali sana.
Kakubilo, Nyambaya, Muharamba, Nzera, etc mananasi kama yote.
 
Watu wa Pwani ndyo zao nilikua naishi kwa brother angu dah ndugu wa mke walikua wanabadilishana tu ndugu wa mme nilikuwa mwenyewe lkn wa mwanamke walikua wanne Afrika mtu hadi atoboe kazi sana na hasa familia zetu hzi ni shida
#tujiandaekuhesabiwa#
Sasa wewe ulienda kuishi kwa kaka yako, Kufuata mila za watu wa pwani. Au wewe ndiye halali kuishi kwa mwingine.
Kilichokua kinawashinda kuja ndugu zako, ni nauli tu, ya kotoka mpiga giza mpaka Dar,
 
Hatukatai ndugu kuja shida mtu anakuja kukaa tu yani hawazi kazi wala nini,

Inavyotakiwa inabidi muwe na umoja lakini sio umoja wa kuanza kujazana na kuwa wategemezi, Kuna makabila hayawezagi kuvumilia mtu kuja kukaa awe tegemezi na wala si mgonjwa ama mzee, mifano mizuuri kama wachaga, wakinga, wakuria, n.k yaani kama wewe ni mgeni ukienda kwa ndugu utapokelewa vizuri tu lakini itabidi uwe umeshatoa taarifa juu ya ujio wako, shughuli iliyokuleta, ratiba yako ikoje, upo mpaka lini, mipango yako, n.k. kama ni kusalimiana wiki 2 zinatosha, sahau kuweka kambi hapo ya kudumu.

Kimbembe kipo kuna makabila wakishaona mwezao katoboa mjini, basi ndugu zake ama ndugu wa mke huhamishia kambi huko ,... wanakula na kulala hapo bila kazi maalum 😅😅

Makabila haya kwangu niliyoyaona ni kama.

. Watu wa pwani - wazaramo, wasambaa, wadigo

. Wanyakyusa - hawa huwa wanaendeleza undugu hata ule wa mbali, hata mke wa mjukuu wa baba mdogo wa babu bado anahesabiwa kama ndugu, kawaida sana kukuta mnyakyusa ana ndugu 100

Wabena , warangi, wanyamwezi na wagogo,


Kuna ile kujificha nyuma ya kivuli cha undugu lakini inakuwa inazidi sasa, mtu anaridhika miaka inaenda yupo tu


Weweee, acha roho mbaya!!!🤣🤣
 
wabena ndugu zenu ni wahehe,, hivi hii tabia ya kujifananisha na wakinga kwanini imeanza kushamiri baada ya wakinga kutoboa ? [emoji23][emoji23][emoji23] dah kwakweli aliewai kusema mkono mtupu haulambwi jakukoseaga
wabena umewaonea mzee.mbena hana tofauti na mhehe kuna usemi wao wanauita "Ndisina sida' manaake hawana shobo na vitu vya watu ni watu wa kujiridhikia na maisha yao.mimi sio mbena ni mtu wa visiwani huko ila nineishi huko na na nimesoma huko so nawajua vizuri
 
Makabila yote ya Bara la Afrika yako hivyo.
Wangapi kila siku mnaomba Connection za kufikia UK, USA na South Afrika kwa Watanzania wenzenu?. Huuu ni utamaduni wa kiafrika kuuacha na kuiga Umagharibi ni suala la muda so tusilasimishe suala hili liiishe mara moja.
Huu ujinga mnaopeana hapa kwamba tusibebane ndio Maaana Watanzania hatupigi hatua Huko Ng'ambo.
Sammata hajavuta mtu EPL wala Ubelgiji, lkn angekuwa Mnigeria angewavuta kina Msuva, Manula nk lkn kwa huu ujinga mnaojazana hapa jamvini anawabania wengine, na hao wengine wanajiskia Vibaya kwenda kufikia kwa sammatta ili watafute maisha.
Hashim Thabit kamvuta nani??
Kikeke yuko BBC kamvuta nani???
Wengine wako WB, IMF Wamevuta kina nani??
Huko BOEING kuna Mnyakyusa kafanya nini kwa watanzania???
Wote hawafanyi kitu kwakuwa vichwani wamejaza UTI wa aina hii mnayodili hapa.
NENDA NIGERIA, nenda GHANA, Nenda CAMEROON akienda Rigobert Song lazima ALEX SONG naye aende na atoboe. Akienda KANU lazima aje OKOCHA.
Nenda SERBIA akienda Simba lazima aje MZUNGU na atatoboa.
Anyway: pale kwangu Kigamboni nina Wazinza kibaoooo kutoka Nkome Mchangani mpaka Kakubilo wako Daaaslam wanasaka Maisha. Wewe na Uzungu wako kazana kushupaza shingo na Umimi wako[emoji120]
sina cha kusema umemaliza kila kitu well said mkuu.
 
Nadhani kutokana na utandawazi, mgawanyo wa sifa kwa makabila bado upo kidogo lakini unakwisha kwa kasi sana. Kikubwa ni aina za familia na koo tunazooa bila kujali ni za kabila gani.

Kwa mfano, mimi ni mtu ninayependa kukaa peke yangu muda mwingi, na kabla ya kuoa nilihakikisha natafuta mwanamke wa aina hiyo. Pamoja na hilo kumsisitizia zaidi nilimwambia nilivyo, na yeye akasema tunafanana.

Japo anatoka miongoni mwa makabila au jamii zinazotajwa zaidi kwenye huu uzi kwa utegemezi, ila yeye hayuko hivyo. Ninafahamu pia baadhi ambao wameoa kutoka makabila yasiyo na hizo sifa lakini wamejikuta wanashindwa kupanga maisha yao kwa kuelemewa na gharama za ulezi wa ndugu.

NB: Kinachozungumzwa sio kutosaidia ndugu, ni kutokuwalemaza wasifanye kazi wahamie kusubiri huduma kwa ndugu. Ndugu akiwa na shida atasaidiwa aliko, au akija isipite wiki awe hayupo.
 
Nadhani kutokana na utandawazi, mgawanyo wa sifa kwa makabila bado upo kidogo lakini unakwisha kwa kasi sana. Kikubwa ni aina za familia na koo tunazooa bila kujali ni za kabila gani.

Kwa mfano, mimi ni mtu ninayependa kukaa peke yangu muda mwingi, na kabla ya kuoa nilihakikisha natafuta mwanamke wa aina hiyo. Pamoja na hilo kumsisitizia zaidi nilimwambia nilivyo, na yeye akasema tunafanana.

Japo anatoka miongoni mwa makabila au jamii zinazotajwa zaidi kwenye huu uzi kwa utegemezi, ila yeye hayuko hivyo. Ninafahamu pia baadhi ambao wameoa kutoka makabila yasiyo na hizo sifa lakini wamejikuta wanashindwa kupanga maisha yao kwa kuelemewa na gharama za ulezi wa ndugu.

NB: Kinachozungumzwa sio kutosaidia ndugu, ni kutokuwalemaza wasifanye kazi wahamie kusubiri huduma kwa ndugu. Ndugu akiwa na shida atasaidiwa aliko, au akija isipite wiki awe hayupo.
Umetoa somo zuri sana, ukilipenda boga yakubali na majani yake, vijana wengi wanakurupuka sana kuoa na gharama ya kukurpuka wanailipa mpaka mauti wakiwa kwenye ndoa wanazojutia hawakufanya research ya kutosha zaidi ya kuangalia uzuri wa mwanamke ama shoo
 
Back
Top Bottom