Makabila haya mtu ukifanikiwa jiandae kujaza ndugu tegemezi kwako ama kukuomba misaada kila mara, ukikataa unaonekana huna undugu

Wamanyema ni shida kabisa ,kakangu alioa mmanyema ,huyo wifi alikuwa wa pili kutoka mwisho kwa kuzaliwa ,alivooleqa tu ,ma .kwe na dada zake 3 wakahamia na mdogo wake wa mwisho wa kiume ilikuwa karaha kabisa hawabanduki wanaenda kigoma kusalimi na kurudi baada ya wiki Dar
 
WAGOGO
 
Ndimgaya sida,[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Well said
 
Roho ya kimaskini. Tafuta pesa jamaa hili sio tatizo ikiwa Nazo. Angalia waarabu na wahindi utakuta ukoo mzima unaishi nyumba moja na hamna kweree. Ila wewe na uchoyo wako wa kimaskini uko na mkeo na vitoto viwili lakini ni migogoro tu. Hats mkeo hamuongei vizuri.... Tufuta pesa roho mbaya iraondoka yenyewe
 
Waha siyo lazima wawe ndugu. Maadamu ni kabila moja, utajuta kuzaliwa
Hii nzuri. Maisha ni kuishi pamoja. Aisee mi niko kawaida financially ila naishi na kubeba watu kibao af hata sijutii naona raha sana. Tatizo watu mnataka kusaidia ile uje usaidiwe. Kama unakopesha yaani. Hayo maisha yanawafanya mtembee na mawazo na visasi mioyoni mwenu Hanna amani yaani mwishi wa siku mnakufa kwa shinikizo la damu au mnapooza. Angalia wachaga na wakinga ndio wanaongoza kwa kupalalyze. Acheni hizo
 
Visasi vya wapi na kwa nani ndugu yangu?🙊
 
Mmmmmhhh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…