Makabila mengi Tanzania hayaendelei sababu ni watoto wa mama, Wachaga wapo mbali sababu wanakuzwa kuwa watoto wa baba.

Haya mapenzi ni balaa aisee
 
We bwege Arusha siyo kwa wachaga, pili shule zilizokuwemo pale Moshi zilikuwa za makanisa, alizitaifisha baba wa Taifa na walisoma watanzania wote siyo wachaga tu, hakuna mchaga alijenga shule yyte ktk shule zile. Kinachowasumbua ni kulazimisha sifa za kijinga na kujaribu kuwadanganya wasiowafahamu.
 
Mada ishaharibika hii kwa comment za chuki,
 
Yah ndio kitu mnaweza kwa Sasa personal attacks but the truth is crystal clear hamna kitu wahindi unaosema bado wako posta na maduka Yao na wanauza kama kawaida na nyie MKo rombo na marangu mnaweweseka na pombe kali
 
NA WATOTO WA NDOA ZA WACHAGA WENGI WAO NI WA NJE YA NDOA...? Kwanin wanaume wa kichaga wabatrombewa sana wake zao hadi wanabeba mimba za wanaume wengine...? Anyways ukienda uchagani wanawake wanaambiwa wazae nje ya ndoa ili kuondoa mikosi au laana ya uzao wa mume wake 😅😂
 
Halafu nyie kenge kwa Sasa hata akili hamna ni heri kuwaacha muendelee kulewa sifa za "uchaga"huku mkigeuka mafundi njaa daily
 
Naomba ukae chini ujielimishe zaidi kuhusu international schools, hio saint james haikidhi vigezo, international schools hazimo kwenye mfumo wa necta

View attachment 3017375
Kwasasa elimu ya Bongo hailipi!

Tunasoma Kwa mazoea TU,ndio maana mtaala mpya unakuja ku take over mtaala huu wa kikoloni!

Kwahiyo kujivunia div 1 au 2 Kwa Sasa ni ufala coz hitimisho ni kujikuta mtaani na ajira huna,
 
Kweli mkuu aende kwenye soka la hisa la Dar es Salaam aone idadi ya Wachagga waliopo.

Wachagga kwa sasa wana shindana kimataifa na Igbos, Wakikuyu na Wasomali.
 

Unaleta story za kishamba sana mwaka 60
 
Wapambanaji tena,hawahawa wanaorukwa na wake zao kitandani na kuachwa wanakoroma?hawahawa wake zao wanakimbizana masokoni usiku kulisha familia?wachaga wanaume tena vijana wamechakaa na pombe hata kuoga shida,wengne ni bangi na mirungi plus udokozi wa kuku!!labda wachaga wa zamani sio wa sasa ambao wanalishwa na wanawake wanaopambana masokoni!
 
Halafu swala la maendeleo sio ubaba au umama ! inspiration inaweza tokea upande wowote ule!
Maisha ni uwanja was mapambano na mafanikio anayo Mungu pekee!

Japo mafanikio ya ukweli kabisa hapa duniani yaani mafanikio pure ya utajiri au Mali kwa kumtegemea Mungu na juhudi machache sana!!!

Wakiona umeinuka wataanzisha vikwazo ambavyo Hadi uvuke ushakua maskini tena
 
Bara hata mkitengana na zenji , bado kirusi cha ubaguzi kitaendelea daima ....Yaani ukabila wakati mtu anayongea hivyo kazaliwa Dar kwao hapataki anaenda mwezi mmoja ndani ya mwaka mzima
 
chuki yako ni kubwa sana we Mkinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…