Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

Ukijua au tukijua itatusaidia nini? Ingawa habari hii inaweza kutufumbua macho, si rahisi kujua kwa vile haya mambo yanafanyika kisirisiri. Utaambiwa warangi na wengine bila kutaja wamachame au tuseme waarabu koko. Again tutafaidikaje na hili hasa wakati huu wa dot com?

Alie uliza ndio anataka kujua ili imsaidie, na alie uliza ndio atafaidika, acha maswali ya kitoto bwana ikiwa wewe ni father of all.

Sio rahisi kujua kwako, lakini kwa wanaume waliopitapita mikoa mingi na kukutana kimapenzi na makabila mengi wamekutana na hayo makabila na kwao ni rahisi kujua.

Mijitu mingine bwana
 
Wachagga, wakurya, baadhi ya makabila ya Dodoma, Arusha. Yaani wachagga na ubishoo wote kumbe wanatoa raha ya ukeni. Inasikitisha sana!
 
Tairi ndio kitu gani?


Kukata kisimi cha mdada na kumpa mbwa ale, then bidada anabakia na andaki tu na raha ya kufanya ngono hana maana chemchem ya starehe katupiwa mbwa ale. Huu ni ujinga kwani there's no scientific evidence kusema kwamba kisimi hakimfai demu!
 
Kiutamu kinaondolewa bila rishaa yako, jamani!

Naona aliondolewa akiwa hajitambui, kwa sasa itakuwa inamuuma lakini ndio basi tena kimeshazikwa. Hawa wazazi wetu na mila potofu wametuumiza sana.
 
Kuna tofauti gani kati ya mwanamke alie tahiriwa na hasie tahiriwa?

Na wanaume wanao tokea mikoa wanayo tahiri wanawake, wanalionaje hilo la kutahiri?
wangependa wanawake wote watahiriwe au hapana?

Hivi hata kwa Nyerere wanawake wanatahiriwa?
 
Back
Top Bottom