Makabila ya wasanii na watu maarufu wa Bongo

Um
Hapana, Jide si Mkurya, ni Mwikizu, kabila Fulani liko wilayani Bunda sehemu moja inaitwa Nyamswa.
Umenikumbusha mbali nyamswa,nilikuwa nikitoka nyumbani rikizo nalala hapo na mpz wangu kabla sijaripoti shuleni kwa wasabàto Ikizu high school
 
Ni kweli wana undugu na Steven Wasira. Nafikiri ni babu yake. Baba yake Jide ni mpwa wake Wasira
Daaaah! Upo vzr Kuna jamaa nilisoma nae aliwahi kunipeleka Hadi nyumbani kwa Wassira kipindi hicho tunafukuzia viza ya kwenda USA mwenzangu alifanikiwa yuko zake USA
 
Ndugu wa baba ambao walinipeleka Hadi kwao na wanaudugu na Steven Wassira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…