Makabila yenye tabia ya Ubahili wa Kifedha kwa Wanaume Kikanda au Kimikoa hapa Tanzania

Makabila yenye tabia ya Ubahili wa Kifedha kwa Wanaume Kikanda au Kimikoa hapa Tanzania

Duuh siwezi kukupinga maana sijakaa nao wengi kiviile. Ila yupo jamaa yangu kwenye hao no 1 yeye kuspend 20 mpaka 30k kwenye dinner tena peke yake ni kitu cha kawaida. Au sijui kwa sababu ni wa hapahapa daslama ama vipi
Huyo wa Daslama mkuu.Ila hiyo namba kwa ubahili na ubinafsi hawana mpinzani
 
Back
Top Bottom