min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
πππ wapare ndio wanatakiwa kushika namba moja mtu anajinyima mpaka anakufa na njaa huku akiwa na maburungutu ya pesaππππKwenye hilo kundi tuwatoe pia wapare mtani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππ wapare ndio wanatakiwa kushika namba moja mtu anajinyima mpaka anakufa na njaa huku akiwa na maburungutu ya pesaππππKwenye hilo kundi tuwatoe pia wapare mtani!
Sio kizazi hiki mtani, dunia imebadilika sana mzee. Watu wanahonga, wanakula na kunywa na hawawazi kesho itakuwaje.π€£πππ wapare ndio wanatakiwa kushika namba moja mtu anajinyima mpaka anakufa na njaa huku akiwa na maburungutu ya pesaππππ
Umenikumbusha rafiki yangu mmoja wa kikinga alikua anakula kg tatu za nguruwe na ndizi za 5000 peke yake , tulimwita big hana mpinzani πππWakinga sio wabahili mbona kaka Fure (vunja bei) anawaogesha Hennessy kina Gigi na machawa anawamwagia pesa.!! πΉ
Kwahiyo na mkinga ulipita naye? Wacha weeh!! Em nambie kaka zangu wakoje kwenye 6 kwa 6 π€£πΉπΉπΉ
Mimi ni mbahili sehemu zote hakuna mwanya ila pombe tu ndio najikuta nakua falaπSio kizazi hiki mtani, dunia imebadilika sana mzee. Watu wanahonga, wanakula na kunywa na hawawazi kesho itakuwaje.π€£
πΉπΉπΉ Uongo, unatafuta pa kuwaponda kaka zangu..!!Umenikumbusha rafiki yangu mmoja wa kikinga alikua anakula kg tatu za nguruwe na ndizi za 5000 peke yake , tulimwita big hana mpinzani πππ
Ni asili ya mchaga, pombe ndio kila kitu kwake. Nikienda ukweni huwa nashika mdomo kwa mshangao. Watu wanaabudu pombe, wanaipenda na hawana kiasi kwenye issue ya kunywa pombe.Mimi ni mbahili sehemu zote hakuna mwanya ila pombe tu ndio najikuta nakua falaπ
Hahaha huyo ni mkinga mkuu, halafu sio ma mangi wote wanakula nguruwe kwa wingi ukitoa rombo na kibosho hao wengine ni kwa uchache tu hata habari ya ulevi .πΉπΉπΉ Uongo, unatafuta pa kuwaponda kaka zangu..!!
Walaji minguruwe ni nyie kina Mangi π€£
Mkuu Jitahidi umeze dawa, dishi lako likae sawaππMimi ndio mwenye chama hicho iweje humfaham mmiliki?
Unanivunjia heshima sasa kenge mmoja wewe.Mkuu Jitahidi umeze dawa, dishi lako likae sawaππ
Aisee kwa hali hii, nashauri uka muone daktariUnanivunjia heshima sasa kenge mmoja wewe.
Sawa si hata dakta saa?Aisee kwa hali hii, nashauri uka muone daktari
Ubahili ndio kitu gani wandugu?1. Wapare
2. Wakinga
3. Waha
4. Wagogo
5. Wachagga
6. Wakurya
7. Wajita
8. Endeleeni na orodha kama Taifa tukubaliane kuwa Wapare, Wakinga na Waha hawana mpinzani
Naomba kuwasilisha
Pang Fung Mi
Dakta ndo nini??, au Umesha data kabisa πSawa si hata dakta saa?
Ni kwel mkuu ila kwa zamani ilikua haina shida kwa sababu watu walikula vyakula vya asili na walichapa kazi za kutoka jasho , vijana wa sasa wanafukia local bia na manguwe halafu wanashinda kwenye maduka tu ni tatizo.Ni asili ya mchaga, pombe ndio kila kitu kwake. Nikienda ukweni huwa nashika mdomo kwa mshangao. Watu wanaabudu pombe, wanaipenda na hawana kiasi kwenye issue ya kunywa pombe.
Pombe inaabudiwa sana huko migombani, unakuta mtu anajisifia kabisa hadharani kuwa alikunywa hadi akazima na kubebwa.Ni asili ya mchaga, pombe ndio kila kitu kwake. Nikienda ukweni huwa nashika mdomo kwa mshangao. Watu wanaabudu pombe, wanaipenda na hawana kiasi kwenye issue ya kunywa pombe.
Mkuu no 1 hapo ni kwa vyote kula kuvaa kulala kila kitu hao ni mabahiliSidhani kama ubahili una kabila. Nadhani kinachopishana ni priorities tu za mtu mmoja dhidi ya mtu mwingine.
Labda ungefafanua zaidi ubahili huo ni kwenye mambo yapi. u
1. ubahili kwenye kuhonga
2. ubahili kwenye kula vizuri
3. kuvaa vizuri
nk nk nk
Duuh siwezi kukupinga maana sijakaa nao wengi kiviile. Ila yupo jamaa yangu kwenye hao no 1 yeye kuspend 20 mpaka 30k kwenye dinner tena peke yake ni kitu cha kawaida. Au sijui kwa sababu ni wa hapahapa daslama ama vipiMkuu no 1 hapo ni kwa vyote kula kuvaa kulala kila kitu hao no mabahili
Huyo wa Daslama mkuu.Duuh siwezi kukupinga maana sijakaa nao wengi kiviile. Ila yupo jamaa yangu kwenye hao no 1 yeye kuspend 20 mpaka 30k kwenye dinner tena peke yake ni kitu cha kawaida. Au sijui kwa sababu ni wa hapahapa daslama ama vipi