Makabila yenye tabia ya Ubahili wa Kifedha kwa Wanaume Kikanda au Kimikoa hapa Tanzania

Makabila yenye tabia ya Ubahili wa Kifedha kwa Wanaume Kikanda au Kimikoa hapa Tanzania

1. Wapare
2. Wakinga
3. Waha
4. Wagogo
5. Wachagga
6. Wakurya
7. Wajita
8. Endeleeni na orodha kama Taifa tukubaliane kuwa Wapare, Wakinga na Waha hawana mpinzani

Naomba kuwasilisha

Pang Fung Mi
wakinga na wachaga wana ubahili chanya ( serving culture), the rest ni mabahili wa kujitesa bila maendeleo till the end of their miserable life
 
Wachaga hawana ubahili wowote sema hawatoi pesa kizembe kwenye vitu ambavyo sio hobi yao kubwa, mfano mchaga sio rahisi kuhonga kizembe, kama kununua hata gari zima la pombe watu walewe mpaka wawe tusuuu, au kutoa pesa kununua gari kali na kujenga nyumba bora.
Kwenye hilo kundi tuwatoe pia wapare mtani!
 
Na wanajibahilia hadi wao wenyewe. Mtu havai akapendeza, hali vizuri, hata anapoishi wa hovyo tu. Sasa sijui pesa wanatafuta za nini!!!
Wapare wa wapi hao, nenda church uone wapare walivypendeza. Kwani wajaluo sio wabahili, tunao huku hawatoi hata senti dadeq, iwe ujenzi, uwe makambi, iwe nini...mwanzo nilijua kweli wapare wabahili, ila nimeishi na wakurya, wajaluo kanisani...woooi hatuna tofauti.🤪
 
Wakinga sio wabahili mbona kaka Fure (vunja bei) anawaogesha Hennessy kina Gigi na machawa anawamwagia pesa.!! 😹

Kwahiyo na mkinga ulipita naye? Wacha weeh!! Em nambie kaka zangu wakoje kwenye 6 kwa 6 🤣😹😹😹
 
Back
Top Bottom