Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Mi jobless pro max 😂 😂😂 dalali au sio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi jobless pro max 😂 😂😂 dalali au sio
Unatuchora tuMi jobless pro max 😂 😂
Sijui kuchora mkuu, halafu nawa chora kwenye nini na penseli ya hb ni bei kubwa😆😂Unatuchora tu
Kuna kisa Kimoja cha jamaa wa kabila hilo nilikuwaga nacheka sana. Jamaa alikuwa na ratiba za kula makande kupitiliza ndani ya familia yake af jamaa alikuwa kibosile kabisa jamaa budget yake ilikuwa kali mno ndani ya freezer anajaza kila aina ya vyakula ila ratiba za makande zikawa kubwa hadi nyama zinaozeana. .Utakuta mtu ni mpare, msabato halafu mfuasi wa Dr Janabi. Lazima moto wa ubahili uwake.
Half american sijui kuchora mkuu, halafu nawa chora kwenye nini na penseli ya hb na plane paper ni bei kubwa 😆Unatuchora tu
Wewe huwezi jua wanaohonga maana wewe pia unahongaLabda Wachaga wa zamani, Wachaga siku hizi ndio wanaongoza kwa kuhonga wakifatiwa na Wasukuma
Badilisha hiyo taito sema watu wanaoijua zaidi pesa...1. Wapare
2. Wakinga
3. Waha
4. Wagogo
5. Wachagga
6. Wakurya
7. Wajita
8. Endeleeni na orodha kama Taifa tukubaliane kuwa Wapare, Wakinga na Waha hawana mpinzani
Naomba kuwasilisha
Pang Fung Mi
Unajua weweHalf american sijui kuchora mkuu, halafu nawa chora kwenye nini na penseli ya hb na plane paper ni bei kubwa 😆
Naam, niite raisi wa ma jobless pro maxUnajua wewe
Rais wa wakosa kaziNaam, niite raisi wa ma jobless pro max
Naam, huja kosea jf nzima Mimi Sina gari, Wala nyumbaRais wa wakosa kazi
Daktari mwenzangu🤔😅una mwanasheria kwanza? Umejuaje kama wasukuma tunahonga hivi unawajua wamakonde weweLabda Wachaga wa zamani, Wachaga siku hizi ndio wanaongoza kwa kuhonga wakifatiwa na Wasukuma
Baba Niko nyuma yako Sina kitanda Ata godoroNaam, huja kosea jf nzima Mimi Sina gari, Wala nyumba
Life experience ukiishi na hao jamaa utawajua sio hadi aoleweKwa ushahidi au utafiti upi kwani umewahi kuolewa na hao wote?
Umekaa na wakinga wewe? Wapare na waha?!!Sidhani kama ubahili una kabila. Nadhani kinachopishana ni priorities tu za mtu mmoja dhidi ya mtu mwingine.
Labda ungefafanua zaidi ubahili huo ni kwenye mambo yapi. u
1. ubahili kwenye kuhonga
2. ubahili kwenye kula vizuri
3. kuvaa vizuri
nk nk nk
Kwenye kula vizuri wasukuma watu toeSidhani kama ubahili una kabila. Nadhani kinachopishana ni priorities tu za mtu mmoja dhidi ya mtu mwingine.
Labda ungefafanua zaidi ubahili huo ni kwenye mambo yapi. u
1. ubahili kwenye kuhonga
2. ubahili kwenye kula vizuri
3. kuvaa vizuri
nk nk nk
Kwenye kuhonga wasukuma hawana mpinzani Pascal Mayalla si alishawahi gawa mshahara wote kwa mwanamke?Wachaga hawana ubahili wowote sema hawatoi pesa kizembe kwenye vitu ambavyo sio hobi yao kubwa, mfano mchaga sio rahisi kuhonga kizembe, kama kununua hata gari zima la pombe watu walewe mpaka wawe tusuuu, au kutoa pesa kununua gari kali na kujenga nyumba bora.
Hahahaha 🤣 🤣 wasukuma wanaongoza kutapeliwa na mademuKwenye kula vizuri wasukuma watu toe
😅Kwasababu ganiHahahaha 🤣 🤣 wasukuma wanaongoza kutapeliwa na mademu