Makabila yenye tabia ya Ubahili wa Kifedha kwa Wanaume Kikanda au Kimikoa hapa Tanzania

Makabila yenye tabia ya Ubahili wa Kifedha kwa Wanaume Kikanda au Kimikoa hapa Tanzania

Wachaga watoe apo hao ndio wazee wa kumwaga pesa hao wapare ukienda dukan kwao ata kama kitu kina expires atapandisha
 
1. Wapare
2. Wakinga
3. Waha
4. Wagogo
5. Wachagga
6. Wakurya
7. Wajita
8. Endeleeni na orodha kama Taifa tukubaliane kuwa Wapare, Wakinga na Waha hawana mpinzani

Naomba kuwasilisha

Pang Fung Mi
ni muhimu zaidi kujitosheleza kibinafsi kwanza kiuchumi.
Kumbuka, wema usizidi uwezo wako kiuchumi.

Na kua maskini au tajiri ni uamuzi wako binafsi Tanzania. Fanya kazi kwa bidii na ufanikiwe, ili uondokane na hali ya kuchunguza uchumi wa wenye bidii na waliofanikiwa 🐒
 
Utakuta mtu ni mpare, msabato halafu mfuasi wa Dr Janabi. Lazima moto wa ubahili uwake.
 
Back
Top Bottom