Almendezz
Senior Member
- Aug 17, 2020
- 160
- 405
Mzee baba siku pita katika club zao zinazoitwa MUJRA uone wanavyogombania kununua mauwa kwa ajili ya kuhonga mastripers. Uwa moja linafika hadi milioni. Na atayemvisha striper uwa la bei mbaya ndo anayeondoka naye. 😂Wahindi wa tz